Albino wazusha vurugu Ikulu - Tanzania
walemavu wa ngozi wamefanya vurugu Ikulu ya Tanzania na hivyo kuahirishwa kwa kikao cha viongozi wao na Rais Jakaya Kikwete.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog06 Mar
Rais akutana na uongozi wa Chama cha Albino Tanzania Ikulu jijini Dar
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiongea na viongozi wa Chama Cha Albino Tanzania Ikulu jijini Dar es salaam jana. Walioketi kushoto ni Waziri wa Sheria na Katiba Dkt Asha Rose Migiro, Waziri wa Mambo ya Ndani Mhe Mathias Chikawe na Mwanasheria Mkuu wa Serikali Mhe George Mcheche Masaju Kamishna wa Ustawi wa Jamii Bw. Rabirika Mushi na Kaimu Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto Bw. Emmanuel Achayo.
![](http://4.bp.blogspot.com/-s2tOLC1_jU0/VPieM-t8vlI/AAAAAAAHH6M/tQ6A2Oa6tEA/s1600/a2.jpg)
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akifafanua jambo wakati akiongea na viongozi...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-hbNYqeDDwQU/VPieIQWMSzI/AAAAAAAHH58/F5dkcxNFsXU/s72-c/a3.jpg)
JK akutana Na viongozi Wa Chama Cha Albino Tanzania Ikulu jijini Dar es salaam leo
![](http://3.bp.blogspot.com/-hbNYqeDDwQU/VPieIQWMSzI/AAAAAAAHH58/F5dkcxNFsXU/s1600/a3.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-s2tOLC1_jU0/VPieM-t8vlI/AAAAAAAHH6M/tQ6A2Oa6tEA/s1600/a2.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-OPDqSRIGX5o/VPhVRhNjU9I/AAAAAAADbh8/L1_yrhR8mFQ/s72-c/al01.jpg)
RAIS KIKWETE AKUTANA NA VIONGOZI WA CHAMA CHA ALBINO TANZANIA IKULU JIJINI DAR ES SALAAM LEO
![](http://4.bp.blogspot.com/-OPDqSRIGX5o/VPhVRhNjU9I/AAAAAAADbh8/L1_yrhR8mFQ/s1600/al01.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-IWjoVee_HAk/VPhVRirs4aI/AAAAAAADbh4/Szv-peHw1ts/s1600/al1.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/AlF29i7dC3Ls-ddE9I8PImWW2g1chvHrvwziMmVP04uGibLkqQye9T7c7eJdBuqFkwxcYiI6NfL6E9oAu68hxDhcqETggkQf/al01.jpg?width=750)
RAIS KIKWETE AKUTANA NA VIONGOZI WA CHAMA CHA ALBINO TANZANIA IKULU JIJINI DAR ES SALAAM LEO
10 years ago
Mtanzania06 Mar
Albino wazichapa kavukavu Ikulu
Na Asifiwe George, Dar es Salaam
KATIKA hali isiyokuwa ya kawaida, watu wenye ulemavu wa ngozi (Albino), wamepigana ngumi na mateke wakigombea kuingia kumwona Rais Jakaya Kikwete, Ikulu jijini Dar es Salaam.
Tukio hilo la aina yake lilitokea jana majira ya saa nne asubuhi ambapo lilianzia kwenye eneo la mapokezi Ikulu mara baada ya walemavu hao kukaguliwa na kuwekwa kwenye chumba maalumu cha kupumzikia wageni.
Baada ya muda, ofisa wa Ikulu alifika kwenye chumba walipokuwa walemavu hao akiwa...
10 years ago
TheCitizen06 Mar
Albino group officials, members clash at Ikulu
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-DfbooI4QZKU/VPh1F7PhkTI/AAAAAAABUwA/WNmtGKUX0GM/s72-c/KAMATA%2BHUYO.jpg)
Kizaazaa cha albino walipotifuana huko Ikulu
![](http://1.bp.blogspot.com/-DfbooI4QZKU/VPh1F7PhkTI/AAAAAAABUwA/WNmtGKUX0GM/s640/KAMATA%2BHUYO.jpg)
WATU wenye ulemavu wa ngozi (albino), leo walizusha vurugu katika viwanja vya Ikulu wakipinga baadhi ya wao kuonana na Rais Jakaya Kikwete.
Kundi la albino waliokuwa wamebaki nje walianza kupaza sauti na kudai waliopewa nafasi ya kuingia kuonana na Mhe. Rais si viongozi wao, jambo ambalo liliwalazimu maofisa usalama kuingilia kati.
Katika mkutano huo, Rais Kikwete alikutana na wawakilishi 15 huku wengine zaidi ya 30...
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/n7Vr5lDn5dE/default.jpg)
10 years ago
Dewji Blog21 Feb
Albino kuandamana kwenda Ikulu kupinga vitendo vya mauaji dhidi yao
Mjumbe wa Chama cha Maalbino Tanzania, Sophia Mhando (katikati), akizungumza kwa uchungu katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam leo, kuhusu vitendo vya kikatili wanavyofanyiwa pamoja na maandamano hayo ya amani ya kwenda Ikulu. Kushoto ni Mkurugenzi wa Action on Disability & Development (ADD), Mathew Kawongo na Ofisa Habari Mahusiano ya Umma wa Chama cha Albino Tanzania Josephat Torner.
Ofisa Habari Mahusiano ya Umma wa Chama cha Albino Tanzania Josephat Torner...