Albino wazichapa kavukavu Ikulu
Na Asifiwe George, Dar es Salaam
KATIKA hali isiyokuwa ya kawaida, watu wenye ulemavu wa ngozi (Albino), wamepigana ngumi na mateke wakigombea kuingia kumwona Rais Jakaya Kikwete, Ikulu jijini Dar es Salaam.
Tukio hilo la aina yake lilitokea jana majira ya saa nne asubuhi ambapo lilianzia kwenye eneo la mapokezi Ikulu mara baada ya walemavu hao kukaguliwa na kuwekwa kwenye chumba maalumu cha kupumzikia wageni.
Baada ya muda, ofisa wa Ikulu alifika kwenye chumba walipokuwa walemavu hao akiwa...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/mJm3snXM0mxD6t1Ac7x8ehIwVYG3nYWjhZHLjXvHSDZ6hMMJjjQqX7daP6XTIe5uHSp-HXtypVzYsdGR4CmFVc-80LuC08Hd/Bodaboda.gif?width=650)
BODABODA WAZICHAPA KAVUKAVU
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/pwNUcGVK-dXXpVI1DQszZWGKtoc-l5DIuSMSzqHEB9froaqqKrRNFhdiUtSeZcFnGwbT9dhw1KOlzw7jmoU62jWj6tp1uCQ4/BACKRISASIJMOSI.gif?width=650)
NJEMBA WAZICHAPA KAVUKAVU STENDI
10 years ago
Mtanzania20 Jan
ACT wazichapa kavukavu Dar
Na Elizabeth Hombo, Dar es Salaam
VURUGU zimetokea jana kwenye ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa nchini baada ya makundi yanayopingana ndani ya Chama cha ACT-Tanzania kukutana ana kwa ana katika ofisi hiyo kwa ajili ya kikao cha usuluhishi.
Baada ya kukutana kwa makundi hayo, ghafla walitokea vijana wanaodaiwa kukodiwa na Mwenyekiti aliyesimamishwa, Kidawi Limbu na kumvamia Katibu Mkuu wa muda wa chama hicho, Samson Mwigamba.
Vurugu hizo zimetokea ikiwa ni siku chache baada ya Halmashauri...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/UQSvRDwuxJJ03nmrYCbFOwREdT0pTOCwU8LKpiWW0C9VACeOvFV-lUyGs*AP5uozNULD9tf2fQnjCEXoOpUGJ2-XWZRP-lXU/can.gif?width=650)
Cannavaro, Abdul wazichapa kavukavu Taifa
11 years ago
Dewji Blog25 Jul
Vijana wazichapa kavukavu eneo la stendi ya zamani manispaa ya Singida wakigombea abiria
Vijana wawili walikutwa na Kamera yetu wakipigana ngumi kavukavu zisizo kuwa na kiingilio katika eneo la stendi ya zamani wakigombea abiria wanaosafiri kuelekea Wilaya ya Ikungi, hata hivyo katika ngumi hizo zisizopimwa uzito , ziliishia kutoana damu kabla ya kukamatwa na askari na kupelekwa kituoni kwa kosa na kupigana hadharani.(PICHA NA HILLARY SHOO).
10 years ago
BBCSwahili05 Mar
Albino wazusha vurugu Ikulu - Tanzania
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-DfbooI4QZKU/VPh1F7PhkTI/AAAAAAABUwA/WNmtGKUX0GM/s72-c/KAMATA%2BHUYO.jpg)
Kizaazaa cha albino walipotifuana huko Ikulu
![](http://1.bp.blogspot.com/-DfbooI4QZKU/VPh1F7PhkTI/AAAAAAABUwA/WNmtGKUX0GM/s640/KAMATA%2BHUYO.jpg)
WATU wenye ulemavu wa ngozi (albino), leo walizusha vurugu katika viwanja vya Ikulu wakipinga baadhi ya wao kuonana na Rais Jakaya Kikwete.
Kundi la albino waliokuwa wamebaki nje walianza kupaza sauti na kudai waliopewa nafasi ya kuingia kuonana na Mhe. Rais si viongozi wao, jambo ambalo liliwalazimu maofisa usalama kuingilia kati.
Katika mkutano huo, Rais Kikwete alikutana na wawakilishi 15 huku wengine zaidi ya 30...
10 years ago
TheCitizen06 Mar
Albino group officials, members clash at Ikulu
10 years ago
Dewji Blog21 Feb
Albino kuandamana kwenda Ikulu kupinga vitendo vya mauaji dhidi yao
Mjumbe wa Chama cha Maalbino Tanzania, Sophia Mhando (katikati), akizungumza kwa uchungu katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam leo, kuhusu vitendo vya kikatili wanavyofanyiwa pamoja na maandamano hayo ya amani ya kwenda Ikulu. Kushoto ni Mkurugenzi wa Action on Disability & Development (ADD), Mathew Kawongo na Ofisa Habari Mahusiano ya Umma wa Chama cha Albino Tanzania Josephat Torner.
Ofisa Habari Mahusiano ya Umma wa Chama cha Albino Tanzania Josephat Torner...