Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ali Kiba, Isha Mashauzi, Msaga Sumu jukwaa moja Pasaka

Ali ...NA MWANDISHI WETU
MSANII Ali Kiba anatarajiwa kufanya onyesho lake la pili ‘live’ siku ya Sikukuu ya Pasaka katika ukumbi wa burudani wa Dar Live uliopo Mbagala jijini Dar es Salaam.
Onyesho hilo lililopewa jina la Mwana Dar Live, litakuwa la pili kwa msanii huyo kuimba ‘live’ na bendi ambapo mara ya kwanza aliimba mwanzoni mwa mwaka huu wakati wa Tamasha la Sauti za Busara katika Ukumbi wa Ngome Kongwe visiwani Zanzibar.
Mratibu wa onyesho hilo, Abdallah Mrisho, alisema wasanii...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

Ali Kiba, Isha Mashauzi, Msaga Sumu na wengineo kupagawisha Pasaka Dar Live leo

MwanaDarIle shoo kubwa  na ya kijanja iliyokuwa ikisubiriwa na mashabiki wengi wa burudani imewadia ambapo leo Aprili, 5 (Sikukuu ya Pasaka) ndani ya Uwanja wa Taifa wa Burudani, Dar Live uliopo Mbagala-Zakhem jijini Dar mastaa wa muziki Bongo kama, Ali Kiba ‘Mwana Dar Live’, Isha Mashauzi, Msaga Sumu na wengineo wanatarajiwa kutikisa vilivyo mashabiki watakaojitokeza. 

Kwa mujibu wa  Mratibu wa burudani katika ukumbi huo, Abdallah Mrisho ‘Abby Cool’ aliawaomba mashabiki wote kufika kwa wingi...

 

10 years ago

GPL

MWANA DAR LIVE CONCERT: ALI KIBA, MSAGA SUMU, ISHA ‘LIVE’ NA WAANDISHI LEO

MFALME wa Bongo Fleva, Ali Kiba, Mfalme wa Vigodoro, Msaga Sumu pamoja na Malkia wa Masauti, Isha Mashauzi wanatarajiwa kukutana na waandishi wa habari leo katika Hoteli ya Atriums iliyopo Sinza-Africasana, jijini Dar kabla ya kufanyika kwa shoo ya Mwana Dar Live Aprili 5, mwaka huu (Pasaka) ndani ya Uwanja wa Taifa wa Burudani, Dar Live uliopo Mbagala-Zakhem, jijini Dar. Mfalme wa Bongo Fleva, Ali Kiba. Akizungumza na Showbiz,...

 

10 years ago

Mtanzania

Jokha Kassim, Msaga Sumu jukwaa moja

NA MWALI IBRAHIM
WAIMBAJI wa taarabu, Jokha Kassim na Msaga Sumu, wanatarajiwa kunogesha onyesho maalumu la kundi la taarabu la Wakali wao Modern Taradansa, litakalofanyika Ijumaa hii katika ukumbi wa JM Hotel, Manzese, jijini Dar es Salaam.
Mkurugenzi wa kundi la Wakali wao, Thabit Abdul, alisema usiku huo ni maalumu kwa ajili ya kuukaribisha mfungo wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani, unaotarajiwa kuanza Juni 19.
“Tumewaandalia mashabiki wetu zawadi ya wimbo mpya ambao tutauzindua siku hiyo...

 

10 years ago

GPL

MWANA DAR LIVE CONCERT, ALI KIBA, ISHA WATAMBIANA

MASTAA wa muziki Bongo, Msaga Sumu, Ali Kiba pamoja na Isha Mashauzi juzikati walitambiana kufunika katika shoo inayotambulika kama Mwana Dar Live itakayofanyika Aprili 5, mwaka huu (Pasaka) ndani ya Uwanja wa Taifa wa Burudani, Dar Live uliopo Mbagala-Zakhem jijini Dar. Wakizungumza na Centre Spread, kwa nyakati tofauti-tofauti mkali wa nyimbo za Mchiriku, Msaga Sumu alisema kuwa siku hiyo atahakikisha anatoa burudani ya...

 

10 years ago

Michuzi

MZEE YUSSUF NA ISHA MASHAUZI WATHIBITISHA RASMI MTANANGE WA JAHAZI NA MASHAUZI CLASSIC

Hatimaye wakurugenzi wa Mashauzi Classic na Jahazi Modern Taarab, wamefanya mkutano na waandishi wa habari na kuthibitisha kuwepo kwa onyesho la pamoja la makundi hayo yenye nguvu katika muziki wa taarab.
 Onyesho hilo litafanyika mwezi huu Jumapili tarehe 22 ndani ya ukumbi wa Travertine Hotel Magomeni. Mkurugenzi wa Jahazi, Mzee Yussuf na mkurugenzi wa Mashauzi Classic, Isha Ramadhan maarufu kama Isha Mashauzi, wamesema siku hiyo hatumwi mtoto dukani. 
 Wakiongea katika mkutano huo wa...

 

10 years ago

Michuzi

JAHAZI MODERN TAARAB NA MASHAUZI CLASSIC JUKWAA MOJA MACHI 22 …ni Usiku wa Baba na Mwana

Hatimaye makundi mawili yanayoaminika kuwa na mashabiki wengi zaidi katika taarab, Jahazi Modern Taarab na Mashauzi Classic yatafanya onyesho la pamoja mwezi ujao.Onyesho hilo litafanyika Travertine Hotel Magomeni jijini Dar es Salaam, Jumapili ya tarehe 22 mwezi Machi.Hii inakuwa ni mara ya pili kwa makundi hayo mawili kufanya onyesho la pamoja (bila kushirikishwa makundi mengine).Onyesho la kwanza lililopewa jina la Usiku wa Baba na Mwana lilifanyika miaka minne iliyopita ndani ya ukumbi...

 

10 years ago

GPL

WAFALME WAWILI, MALKIA MMOJA, JUKWAA MOJA PASAKA DAR LIVE

MACHO na masikio ya wapenda burudani wote yamehamia ndani ya Uwanja wa Taifa wa Burudani, Dar Live uliopo Mbagala-Zakhem, jijini Dar ambapo wafalme wawili wa muziki Bongo, Mfalme wa Vigodoro, Msaga Sumu pamoja na Mfalme wa Bongo Fleva, Ali Kiba wataungana na Malkia wa Masauti, Isha Mashauzi katika kuandika historia kwa mara ya kwanza. Mfalme wa Bongo Fleva, Ali Kiba. Akizungumza na Showbiz, mratibu wa burudani wa ukumbi huo,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani