ALICHOKISEMA CHAMELEONE JUU YA MALAVIDAVE YA DIAMOND NA ZARI
![](http://img.youtube.com/vi/EhWzLGcbbkc/default.jpg)
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo31 Jan
DIAMOND ALICHOKISEMA KUHUSU EX WA ZARI
![](http://www.hashtagsquare.com/wp-content/uploads/2014/09/diamond-platnumz728d-710x837.jpg)
Stori: Musa Mateja/RisasiICON wa Bongo Fleva Nasibu Abdul ‘Diamond’, juzikati aliamua kumtolea uvivu, aliyewahi kuwa mpenzi wa mwandani wake wa sasa, Zarinah Hassani ‘Zari’, King lawrenc kwa kumuita mpuuzi anayetafuta kiki kwa vile kila kukicha kazi yake ni kumfuatafuata kwa maneno ya kejeli na kumtusi.
![](http://www.redpepper.co.ug/wp-content/uploads/2015/01/king-law.jpg?width=650)
X wa Zari, King lawrence akipozi.
Akipiga stori mbili tatu na gazeti hili hivi karibuni, staa huyo alisema mara nyingi amejitahidi kumpuuza kwa kitendo chake cha kumkejeli katika mitandao ya...
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/057dS8YV7Hw/default.jpg)
10 years ago
Vijimambo28 Nov
10 years ago
Bongo527 Nov
Exclusive: Diamond afunguka kuhusu Wema, Zari, Penny, Chameleone, Yemi Alade, Waje na mengine (Video)
10 years ago
CloudsFM18 Nov
CHAMELEONE AJA JUU BAADA YA KUANDIKWA KUWA AMEMWOMBA KOLABO DIAMOND
Msanii wa kimataifa kutoka nchini Uganda,Dr Jose Chameleone amekuja juu baada ya taarifa zilizoandikwa na baadhi ya mitandao ya nchini Uganda kuwa amemwomba kolabo staa wa Bongo Fleva,Diamond Platinumz,kwa kumtumia ujumbe kupitia ‘whatsap’.
Mitandao hiyo ya bigeye.ug na lockerdome.com imeandika kuwa Chameleone na Diamond walianza kufahamiana tangu Diamond akiwa anasoma katika chuo kikuu kimoja nchini Uganda.
Habari zinasema Diamond alipoombwa kolabo na chameleone akamjibu asubiri mpaka...
10 years ago
Africanjam.Com![](http://2.bp.blogspot.com/-4AWazcB9U-I/VUONB6vGraI/AAAAAAAABbc/BDzktArlrlE/s72-c/Africanjam2.jpg)
TANZANIA: KUELEKEA ZARI WHITE PARTY, DIAMOND AFUNGUKA KUHUSU NDOA YAKE NA ZARI
![](http://2.bp.blogspot.com/-4AWazcB9U-I/VUONB6vGraI/AAAAAAAABbc/BDzktArlrlE/s1600/Africanjam2.jpg)
Diamond Platnumz ambae ni miongoni mwa wasanii wa muziki wanaofanya vizuri sana Africa amefunguka kuhusu Ndoa yake na mwanamama Zari, Diamond amesema kwamba atakuwa ndani ya ndoa kabla ya mwaka huu kuisha.Diamond alifunguka hayo asubuhi ya tar 1 May. 2015 katika kuipigia promo Event ya Zari All All White Party itakayofanyika tar 1 May. Tamasha hilo linatarajiwa kuacha historia ya kipekee kwa kua na kiingilio cha gharama kubwa zaidi kwani ticket za VIP zimeuzwa kwa Millioni tatu na mpaka...
10 years ago
Vijimambo08 Jan
DIAMOND APEWA OFA YA $40,000 AMWACHE ZARI, NJEMBA LAPOST SCREENSHOT YA ZARI AKILIOMBA MKWANJA!
![](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/01/10888399_10205933029869831_1858120712732123108_n.jpg)
![](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/01/1b.jpg)
![](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/01/1a.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-64EYFkD91oE/VW2qL_Vzc-I/AAAAAAADp1M/s9M5YJGIE7o/s72-c/makongoro_nyerere.jpg)
MBIO ZA URAIS HIKI NDICHO ALICHOKISEMA MAKONGORO JUU YA WAGOMBEA WENZIE.
![](http://1.bp.blogspot.com/-64EYFkD91oE/VW2qL_Vzc-I/AAAAAAADp1M/s9M5YJGIE7o/s640/makongoro_nyerere.jpg)
Mbio za kusaka urais kwa makada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) zimezidi kushika kasi baada ya mtoto wa tano wa Hayati Baba wa Taifa, Mwalimu Nyerere, Charles Makongoro Nyerere kujitosa kwenye kinyang’anyiro hicho.Wakati Makongoro akichukua uamuzi huo kwa mara ya kwanza katika historia ya familia ya Mwalimu Nyerere, mkoani Mbeya Waziri wa Nchi,Ofisi ya Rais Kazi Maalumu, Profesa Mark Mwandosya naye ameingia kwenye mbio hizo.
Akitangaza nia yake katika eneo la Mwitongo kijijini Butiama jana,...