CHAMELEONE AJA JUU BAADA YA KUANDIKWA KUWA AMEMWOMBA KOLABO DIAMOND
Msanii wa kimataifa kutoka nchini Uganda,Dr Jose Chameleone amekuja juu baada ya taarifa zilizoandikwa na baadhi ya mitandao ya nchini Uganda kuwa amemwomba kolabo staa wa Bongo Fleva,Diamond Platinumz,kwa kumtumia ujumbe kupitia ‘whatsap’.
Mitandao hiyo ya bigeye.ug na lockerdome.com imeandika kuwa Chameleone na Diamond walianza kufahamiana tangu Diamond akiwa anasoma katika chuo kikuu kimoja nchini Uganda.
Habari zinasema Diamond alipoombwa kolabo na chameleone akamjibu asubiri mpaka...
CloudsFM
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/EhWzLGcbbkc/default.jpg)
10 years ago
CloudsFM15 Jan
BOB JUNIOR, CHAMELEONE KUFANYA KOLABO
Staa wa Bongo Fleva,Bob Junior anatarajia kufanya kolabo na msanii wa kimataifa wa nchini Uganda,Jose Chameleone.
10 years ago
Vijimambo03 Jan
BAADA YA KUACHANA NA DIAMOND AAMUA KUFANYA HAYA JUU YA MALI ALIZOPEWA NA DIAMOND
![](http://api.ning.com/files/1R1gqINM7bxlzUrR3WwslSL-E8TbeHC1JSrbNDKpWvHYhQ*hGsLGGlY*A*9JAwMlII53Jl2VqX4dOUldYfKBDNEL-SD2so7n/wemadivorce.jpg)
![](http://api.ning.com/files/1R1gqINM7bz7AKto1dpaLHEYWo3ihKmTixd6dZOKAzYW*KwQGpjSAHyza2*sj6WKBsjqykFpWvzTTL2JhnqKgb5SZ7UKGZYW/murano111.jpg)
10 years ago
Bongo514 Jan
Bob Junior azungumzia kuchelewa kwa kolabo yake na Chameleone, pamoja na ujio wa ablam ya ‘Ukweli Wangu’
11 years ago
GPL19 Mar
MEZA YA WAKULU; NI KWELI, DIAMOND ANAWATUMIA WAREMBO ILI AENDELEE KUWA JUU?
11 years ago
CloudsFM10 Jun
MAFIKIZOLO WAMUOMBA KOLABO DIAMOND
Kundi la Mafikizolo la Afrika Kusini limemuomba kolabo Staa wa Bongo Fleva,Diamond Platnumz ambapo jana (June 9) waliingia katika studio ya Oskido iliyoko Johannesburg kurekodi wimbo huo.
“We doing a collaboration with Diamond,the song is sounding awesome yes” aliandika Theo Kgosinkwe wa Mafikizolo katika moja ya picha wakiwa studio na Diamond.
Collabo hiyo ya Mafikizolo na Diamond itampa nafasi nzuri zaidi Platnumz sababu ya ukubwa walionao wanamuziki hao wa Afrika Kusini.
Mafikizolo ni...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/lET3ABatHUlfWFUFFlkMZQGCa*aBoVPTYf*NTyUb7PT3vdfZeIUCpJrI8425HH6r2aqUe09D0764I5OC5pbQoz9mxwmDwTxb/c.jpg)
DAYNA: SINA MPANGO WA KOLABO NA DIAMOND
11 years ago
Tanzania Daima22 Jul
Kopa kufanya kolabo na Alikiba, Diamond
MALKIA wa mipasho nchini, Khadija Kopa, amesema katika kuchanganya ladha ya muziki kwa wapenzi wake, amepanga kufanya kolabo na wasanii wa muziki wa kizazi kipya, wakiwemo Alikiba na Diamond Platinumz....
11 years ago
Tanzania Daima03 Feb
Ali Kiba: ‘Kolabo’ na Diamond haitatokea
NYOTA wa muziki wa kizazi kipya nchini, Ali Kiba, amesema haitakuja kutokea kufanya ‘kolabo’ na msanii wa muziki huo, Naseeb Abdul ‘Diamond Platinum’ katika maisha yake. Kauli hiyo ya Ali...