Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Alikiba atumbuiza mbele ya mastaa wa Marekani wakiwemo Maggie Q na Fergie kwenye hafla ya WildAid, LA

11296896_513436305489308_1449570678_n

Shirika la WildAid wikiendi iliyopita lilifanya hafla ya kwanza ya ukusanyaji wa fedha huko Los Angeles nchini Marekani na kufanikiwa kukusanya dola milioni 2.5.

11296896_513436305489308_1449570678_n
Alikiba akiwa na muimbaji wa zamani wa kundi la The Black Eyed Peas, Fergie

Katika hafla iliyofanyika kwenye hoteli ya Montage Beverly Hill, kupewa jina ‘An Evening in Africa’ na kuhudhuriwa na mastaa kibao wa Hollywood, Alikiba alitumbuiza.

12070818_496734503820870_1026274219_n
Alikiba akiwa na muigizaji wa series ya Nikita, Maggie Q

Mastaa waliohudhuria ni pamoja na...

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo5

Alikiba na Jacqueline Mengi waungana na serikali na shirika la WildAid katika kampeni dhidi ya Ujangili (Video)

Alikiba na Jacqueline Mengi wameungana na serikali ya Tanzania pamoja na shirika la kimataifa la WildAid katika kampeni dhidi ya ujangili. Mastaa hao pamoja ni miongoni mwa mabalozi wa kampeni hiyo yenye kauli mbiu isemayo ‘Ujangili Unatuumiza Sote.’ Lengo la kampeni hiyo ni kukomesha biashara haramu ya wanyama pori kwa kupungiza mahitaji ya bidhaa zitokanazo […]

 

10 years ago

Vijimambo

MHE. BALOZI WA TANZANIA NCHINI MAREKANI ANAWAKARIBISHA WATANZANIA WOTE WAISHIO MAREKANI KATIKA HAFLA YA KUWAAGA ITAKAYOFANYIKA JUMAMOSI TAREHE 25 JULAI 2015.





 The Ambassador of the United Republic of Tanzania


                                                      to the United States of America
 H.E. Ambassador Liberata Mulamula

 


has the pleasure to cordially invite you
 to a Barbeque Farewell


 Saturday, July 25th 2015
from Three - Seven in the evening (3:00 – 7:00pm)

at 


 Ambassador’s Residence


1 Highboro Court
Bethesda, MD...

 

9 years ago

GPL

MASTAA WAKATA MAUNO MBELE YA JK

Mwandishi wetu Acha kabisa! Baadhi ya mastaa wa sinema na muziki Bongo, wamejiachia na kujikuta wakikata mauno mbele ya Rais Dk. Jakaya Mrisho Kikwete aliyekuwa mgeni rasmi aliyeambatana na Waziri wa Katiba na Sheria, Dk. Asha-Rose Migiro hali iliyozua minong’ono kwa waalikwa. soma zaidi===>http://goo.gl/REn7EC

 

11 years ago

Michuzi

THT YAANDAA HAFLA YA KUMUAGA MSANII LINAH,AZINDUA VIDEO MPYA MBELE YA MASUPASTAA KIBAO JIJINI DAR

  Mkurugenzi wa Tanzania House Of Talent (THT) Ruge Mutahaba akifafanua jambo mbele ya wageni waalikwa mbalimbali wakiwemo  wanahabari,wadau na wasanii wa filamu na muziki,katika hafla ya kumuaga msanii Linah jana Julai 16, 2014 kutoka kwao na kuelekea kampuni ya No Fake Zone (NFZ) ambao ndiyo wanaanza kumsimamia msanii huyo pamoja na kazi zake.Linah pia alizindua video yake mpya chini ya kampuni NFZ iitwayo OLe Themba.MKurugenzi wa Kampuni ya NO FAKE ZONE,Abby akizungumza jambo mbele ...

 

9 years ago

MillardAyo

Mastaa wa muziki walivyoongoza kuuza mitandaoni >> Alikiba, Christian Bella, Vee Money na Weusi..

Nafasi ya muziki kwa sasa imekua kubwa sana kiasi kwamba wasanii wetu wa Tanzania mbali na kutotoa album tena lakini wamekua na nafasi ya kuuza singo moja moja, mitandaoni na huko ndio zinakusanywa pesa nyingine pia na matunda ya muziki wao. Sasa tovuti inayouza ngoma za wasanii mitandaoni,  Mkito.com wametupa list kamili ya wasanii waliiongoza […]

The post Mastaa wa muziki walivyoongoza kuuza mitandaoni >> Alikiba, Christian Bella, Vee Money na Weusi.. appeared first on...

 

9 years ago

Bongo5

Alikiba atua L.A kushoot video mpya, amtumia choreographer wa Chris Brown, Rihanna, Nicki Minaj na mastaa wengine

12224510_1076638059047429_2140552011_n

Alikiba yupo jijini Los Angeles, Marekani alikoenda kushoot video ya wimbo wake mpya ‘Lupela.’

12224510_1076638059047429_2140552011_n
Alikiba akiwa na Oththan Burnside (anayeonesha alama ya peace) na dancers kwenye set ya video hiyo jijini Los Angeles, California

Kiba anamtumia choreographer maarufu zaidi nchini humo, Oththan Burnside. Amepost video kwenye Instagram na kuandika, “In L.A And We Are Getting Ready For My Upcoming New Video . In The Makeup Room With My Leading Lady @aliya_janell #kingkiba.”
ALIKIBA KUFANYA KAZI NA...

 

11 years ago

Mwananchi

Man Utd kumpa kisogo Fergie

Kocha wa zamani wa Manchester United, Sir Alex Ferguson, atapewa nafasi finyu au asipewe kabisa nafasi tena ya kumchagua mrithi wake baada ya kutimuliwa kwa aliyempendekeza, David Moyes.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani