Alikiba atumbuiza mbele ya mastaa wa Marekani wakiwemo Maggie Q na Fergie kwenye hafla ya WildAid, LA
Shirika la WildAid wikiendi iliyopita lilifanya hafla ya kwanza ya ukusanyaji wa fedha huko Los Angeles nchini Marekani na kufanikiwa kukusanya dola milioni 2.5.
Alikiba akiwa na muimbaji wa zamani wa kundi la The Black Eyed Peas, Fergie
Katika hafla iliyofanyika kwenye hoteli ya Montage Beverly Hill, kupewa jina ‘An Evening in Africa’ na kuhudhuriwa na mastaa kibao wa Hollywood, Alikiba alitumbuiza.
Alikiba akiwa na muigizaji wa series ya Nikita, Maggie Q
Mastaa waliohudhuria ni pamoja na...
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo519 Jun
Alikiba na Jacqueline Mengi waungana na serikali na shirika la WildAid katika kampeni dhidi ya Ujangili (Video)
10 years ago
Vijimambo24 Jul
MHE. BALOZI WA TANZANIA NCHINI MAREKANI ANAWAKARIBISHA WATANZANIA WOTE WAISHIO MAREKANI KATIKA HAFLA YA KUWAAGA ITAKAYOFANYIKA JUMAMOSI TAREHE 25 JULAI 2015.
![](http://vip-adventuretours.com/german/files/2012/08/Tansania-Emblem.png)
The Ambassador of the United Republic of Tanzania
to the United States of America
H.E. Ambassador Liberata Mulamula
has the pleasure to cordially invite you
to a Barbeque Farewell
Saturday, July 25th 2015
from Three - Seven in the evening (3:00 – 7:00pm)
at
Ambassador’s Residence
1 Highboro Court
Bethesda, MD...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ge9WkNua4TrIj1XiuyTi-iv6DWHXHXZPe0B*lBsmG5H*MSdeEdTRBvMaMXfJk*IQ6vci1GyBXc1nRGB9k6vPsqtozGTAcb9H/Mastaa.jpg)
MASTAA WAKATA MAUNO MBELE YA JK
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-3DTEhRAn2PM/U8bntBMMmJI/AAAAAAAClk0/NdjgBcY5dbw/s72-c/13.jpg)
THT YAANDAA HAFLA YA KUMUAGA MSANII LINAH,AZINDUA VIDEO MPYA MBELE YA MASUPASTAA KIBAO JIJINI DAR
![](http://4.bp.blogspot.com/-3DTEhRAn2PM/U8bntBMMmJI/AAAAAAAClk0/NdjgBcY5dbw/s1600/13.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-LGuH7vxjOkM/U8bn2HBso9I/AAAAAAACllc/OgPLiPnj1d4/s1600/18.jpg)
9 years ago
MillardAyo30 Dec
Mastaa wa muziki walivyoongoza kuuza mitandaoni >> Alikiba, Christian Bella, Vee Money na Weusi..
Nafasi ya muziki kwa sasa imekua kubwa sana kiasi kwamba wasanii wetu wa Tanzania mbali na kutotoa album tena lakini wamekua na nafasi ya kuuza singo moja moja, mitandaoni na huko ndio zinakusanywa pesa nyingine pia na matunda ya muziki wao. Sasa tovuti inayouza ngoma za wasanii mitandaoni, Mkito.com wametupa list kamili ya wasanii waliiongoza […]
The post Mastaa wa muziki walivyoongoza kuuza mitandaoni >> Alikiba, Christian Bella, Vee Money na Weusi.. appeared first on...
9 years ago
Bongo507 Nov
Alikiba atua L.A kushoot video mpya, amtumia choreographer wa Chris Brown, Rihanna, Nicki Minaj na mastaa wengine
![12224510_1076638059047429_2140552011_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/12224510_1076638059047429_2140552011_n-300x194.jpg)
Alikiba yupo jijini Los Angeles, Marekani alikoenda kushoot video ya wimbo wake mpya ‘Lupela.’
Alikiba akiwa na Oththan Burnside (anayeonesha alama ya peace) na dancers kwenye set ya video hiyo jijini Los Angeles, California
Kiba anamtumia choreographer maarufu zaidi nchini humo, Oththan Burnside. Amepost video kwenye Instagram na kuandika, “In L.A And We Are Getting Ready For My Upcoming New Video . In The Makeup Room With My Leading Lady @aliya_janell #kingkiba.”
ALIKIBA KUFANYA KAZI NA...
11 years ago
Mwananchi23 Apr
Man Utd kumpa kisogo Fergie