Alikiba na Jacqueline Mengi waungana na serikali na shirika la WildAid katika kampeni dhidi ya Ujangili (Video)
Alikiba na Jacqueline Mengi wameungana na serikali ya Tanzania pamoja na shirika la kimataifa la WildAid katika kampeni dhidi ya ujangili. Mastaa hao pamoja ni miongoni mwa mabalozi wa kampeni hiyo yenye kauli mbiu isemayo ‘Ujangili Unatuumiza Sote.’ Lengo la kampeni hiyo ni kukomesha biashara haramu ya wanyama pori kwa kupungiza mahitaji ya bidhaa zitokanazo […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili23 Feb
Jacqueline Ntuyabaliwe Mengi: Mkewe Reginald Mengi adai kuzuiwa kuona kaburi la mumewe Tanzania
10 years ago
MichuziWATU WA CHINA WAZINDUA KAMPENI YA KUWALINDA WANYAMA DHIDI YA UJANGILI
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/q34XLvoT5Yig5s6TYxp1q93I3igoTApACtS3C*u1q*jjXc0YMkPTNoVkcaiJfsNBSW68ZIo2do5mVGlib8Mm2-i*I-0PlnJu/michelle.jpg)
MASTAA WAUNGANA KATIKA KAMPENI YA #BRINGBACKOURGIRLS
10 years ago
GPLWATU WA CHINA WAZINDUA KAMPENI YA KUWALINDA WANYAMA DHIDI YA UJANGILI
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-iiRYqmUu5JA/VkMf6vcEcCI/AAAAAAAIFTg/GUu_wmfyLYQ/s72-c/unnamed%2B%252835%2529.jpg)
Alikiba atua Los Angeles kutengeneza video ya kupinga ujangili wa tembo
![](http://1.bp.blogspot.com/-iiRYqmUu5JA/VkMf6vcEcCI/AAAAAAAIFTg/GUu_wmfyLYQ/s640/unnamed%2B%252835%2529.jpg)
Katika kutimiza jukumu lake jipya kama balozi wa kimataifa wa Wildaid, shirika la kimataifa la uhifadhi wanyamapori, mwanamuziki maarufu Mtanzania – Alikiba amesafiri kuelekea jiji la Los Angeles nchini Marekani ili kutengeneza...
9 years ago
Bongo512 Nov
Alikiba atumbuiza mbele ya mastaa wa Marekani wakiwemo Maggie Q na Fergie kwenye hafla ya WildAid, LA
![11296896_513436305489308_1449570678_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/11296896_513436305489308_1449570678_n-300x194.jpg)
Shirika la WildAid wikiendi iliyopita lilifanya hafla ya kwanza ya ukusanyaji wa fedha huko Los Angeles nchini Marekani na kufanikiwa kukusanya dola milioni 2.5.
Alikiba akiwa na muimbaji wa zamani wa kundi la The Black Eyed Peas, Fergie
Katika hafla iliyofanyika kwenye hoteli ya Montage Beverly Hill, kupewa jina ‘An Evening in Africa’ na kuhudhuriwa na mastaa kibao wa Hollywood, Alikiba alitumbuiza.
Alikiba akiwa na muigizaji wa series ya Nikita, Maggie Q
Mastaa waliohudhuria ni pamoja na...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-nFUhlOE1n1c/XrLxqNI-8DI/AAAAAAALpUQ/H0f1mbCczIQEv2EaLesiUYrightVsk5RQCLcBGAsYHQ/s72-c/605ce68d-9c08-45a1-88ea-c5cafaf475fe.jpg)
Fashion Association of Tanzania(FAT) waungana na serikali mapambano dhidi ya maambukizi Covid-19
• Wabunifu waonyesha kwa vitendo mapigano dhidi ya maambukizi ya Covid-19
Fashion Association of Tanzania (FAT) chaendesha mchakato wa uchangiaji wa vitakasa ikiwa sehemu ya mchango wao dhidi ya maambukizi ya homa ya mapafu inayosababishwa na kirusi cha Corona (Covid-19).
Jumla ya wabunifu, wanamitindo na wadau wa sekta hiyo 66, wameweza kuchangia katoni 80 (sawa na lita 1,600) za vitakasa, katoni 60 kati ya hizo zikiwa ni “lit lavender disinfectant” na 20 zikiwa ni “zap bleach regular”...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-50c04-gCrjQ/U53IrVfdUzI/AAAAAAACjbk/d7xSwbas9LU/s72-c/hc1.jpg)
Serikali yapokea msaada wa Helkopta kwa ajili ya kuimarisha mapambano dhidi ya ujangili
![](http://2.bp.blogspot.com/-50c04-gCrjQ/U53IrVfdUzI/AAAAAAACjbk/d7xSwbas9LU/s1600/hc1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-FHwljsc8yWs/U53JJc_iPPI/AAAAAAACjb0/HKfhhYB-LUQ/s1600/hc3.jpg)