WATU WA CHINA WAZINDUA KAMPENI YA KUWALINDA WANYAMA DHIDI YA UJANGILI
Balozi wa China nchini Tanzania, Dk.Lu Youqing (katikati), akihutubia wakati akizindua kampeni ya kupambana na ujangili viwanja vya Leaders Club Dar es Salaam leo asubuhi. Kampeni hiyo imeanzishwa na watu wa China kwa ajili ya kuunga jitihada za watanzania katika mapambano hayo ya kuwalinda wanyama dhidi ya ujangili hasa tembo.
Balozi wa China nchini Tanzania, Dk.Lu Youqing (kulia), akimpa zawadi ya mpira kwa niaba ya wanafunzi wa Shule ya Msingi ya Kinondoni, Faudhia Eddy katika uzinduzi...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLWATU WA CHINA WAZINDUA KAMPENI YA KUWALINDA WANYAMA DHIDI YA UJANGILI
10 years ago
GPLMAREKANI, CHINA KUSAIDIA VITA DHIDI YA UJANGILI
10 years ago
Bongo519 Jun
Alikiba na Jacqueline Mengi waungana na serikali na shirika la WildAid katika kampeni dhidi ya Ujangili (Video)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-hkfoaJlwRpE/XoRkIRb4VEI/AAAAAAALlvM/FZwe1lhRPVwwyEsCnHOmKTK2PiV0ssJTgCLcBGAsYHQ/s72-c/unnamed.jpg)
RC MAKONDA AAPA KUWALINDA WAKAZI WA DAR ES SALAAM DHIDI YA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-hkfoaJlwRpE/XoRkIRb4VEI/AAAAAAALlvM/FZwe1lhRPVwwyEsCnHOmKTK2PiV0ssJTgCLcBGAsYHQ/s400/unnamed.jpg)
*Aruhusu bodaboda kuingia katikati ya Mji
Na Leandra Gabriel, Michuzi TV
MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda amesema ataendelea kuchukua hatua za kila namna katika kuhakikisha anawalinda wakazi wa Dar es Salaam dhidi ya mlipuko wa virusi vya Corona na hiyo ni pamoja na kupuliza madawa katika maeneo mbalimbali.
Akizungumza na wananchi katika kituo cha mabasi cha Makumbusho leo jijini Dar es Salaam Makonda amesema kuwa upuliziaji wa madawa katika maeneo mbalimbali unaendeleaje na...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-DNdssgOfNFE/VCJ3KgmkbQI/AAAAAAAGlb0/E1PpqB39weU/s72-c/MMGN9097.jpg)
Ndovu Special Malt yakabidhi vifaa vitakavyosaidia kukabiliana na Ujangili katika Hifadhi za Wanyama nchini
![](http://2.bp.blogspot.com/-DNdssgOfNFE/VCJ3KgmkbQI/AAAAAAAGlb0/E1PpqB39weU/s1600/MMGN9097.jpg)
9 years ago
Dewji Blog20 Oct
Ewe Mgombea, wekeza katika kuwalinda watoto wachanga na wasichana dhidi ya VVU
Moja ya mikutano ya watoto wakiwa wanatoa mada juu ya haki na usawa kwa watoto kwa kuwataka wanasiasa na wagombea wa uchaguzi mkuu kuzingatia na kutekeleza mipango ya watoto. (Picha ya Maktaba yetu).
5 years ago
Michuzi![](https://img.youtube.com/vi/YMtPI4SNIOc/default.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-kpn-XL6JNEU/XpGlke-04wI/AAAAAAALmyM/oUdtQiWs2_ES5i0WGiwgBPzXIppmwuewwCLcBGAsYHQ/s72-c/DKT%2BMAT.jpg)
WAZAZI NA WALEZI WASHAURIWA KUWALINDA WATOTO WAO DHIDI YA UGONJWA WA CORONA (COVID-19).
WAZAZi na walezi wameshauriwa kuwalinda watoto wao ili wasiweze kupata maambukizi ya ugonjwa wa covid -19 ambao unaweza kuhatarisha maisha yao.
Rais wa Chama Cha Madaktari Tanzania (MAT), Dr Elisha Osati amesema kuwa, mzazi au mlezi ana jukumu la kumlinda mtoto wake ili asiweze kupata maambukizo hayo hasa katika kipindi hiki ambacho Dunia imekumbwa na ugonjwa huo.
"Watoto walio chini ya miaka 8, bado wadogo, wanahitaji msaada wa ulinzi na usalama kutoka kwa wazazi au...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Fti2MBZBnhk/XrqJ7R9j9UI/AAAAAAAAJVc/rP7f8gDFR5csyDd_VFfpx7dfdD2g5FowQCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200512_121139_693.jpg)
WAWILI MBARONI KWA KUJARIBU KUINGIA MBUGA ZA WANYAMA KWA UJANGILI HUKU WENGINE WAKIMBILIA NCHI JIRANI YA KENYA Inbox x
![](https://1.bp.blogspot.com/-Fti2MBZBnhk/XrqJ7R9j9UI/AAAAAAAAJVc/rP7f8gDFR5csyDd_VFfpx7dfdD2g5FowQCLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200512_121139_693.jpg)
Bunduki ya kivita aina ya AK47 ambayo imekamatwa wilayani Ngorongoro na Jeshi la polisi wakishirikiana pamoja na kikosi cha ujangili kanda ya Ziwa huko Oloshoo Kata ya Enguserosambu picha Zote na Ahmed Mahmoud Arusha.
![](https://1.bp.blogspot.com/-kF7ADwejNSQ/XrqJ6wo15hI/AAAAAAAAJVY/vJ8T8dL1jfMi6ZBfpk5PKehi5EChsGLAQCLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200512_121206_549.jpg)
Sehemu ya risasi zilizokutwa kwenye magazine ya bunduki hiyo baada ya msako mkali wilayani Ngorongoro
![](https://1.bp.blogspot.com/-EuYjl9UP5CM/XrqJ6urwQ4I/AAAAAAAAJVU/6EP41pjeNvgqFVNLpdpfzbiSbaO9VsCPQCLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200512_121228_443.jpg)
Askari wa kikosi kazi cha Jeshi la Polisi akijaribu Silaha hiyo mbele ya waandishi wa habari kabla kamanda wa Jeshi hilo hajaongea nao leo jijini hapa
![](https://1.bp.blogspot.com/-RlT6LsGqBrg/XrqJ-uGDhEI/AAAAAAAAJVk/XE2kMqs5mb8Ne8ApERrqF-GH8n0ZSjQnwCLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200512_121409_797.jpg)
Kamanda Shana akiwa na...