Alikiba kuzindua mbili Uwanja wa Taifa
MKALI wa muziki wa kizazi kipya nchini, Ali Kiba ‘Alikiba’, anatarajia kulitumia Tamasha la Matumaini 2014 kuzindua rasmi nyimbo zake mbili zinazotikisa anga la Bongo Flava kwa sasa za ‘Mwana’...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
9 years ago
MichuziSERIKALI YAKANUSHA CHADEMA KUTUMIA UWANJA WA TAIFA KUZINDUA KAMPENI ZAKE.
Na Benedict Liwenga, MAELEZO.SERIKALI imekanusha taarifa zilizojitokeza kwenye Vyombo vya habari yakiwemo magazeti na mitandao ya kijamii kwamba Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kitafanya mkutano hadhara Uwanja wa Taifa Dar es Salaam tarehe 22 Agosti, 2015.
Akizungumza na vyombo vya habari jana, Mkurugenzi wa Idara ya Habari (MAELEZO), Assah Mwambene alisema serikali haijatoa ruhusa kwa chama chochote cha siasa kutumia uwanja wa taifa kwa ajili ya shughuli za kisiasa.
Alikiri kwamba...
Akizungumza na vyombo vya habari jana, Mkurugenzi wa Idara ya Habari (MAELEZO), Assah Mwambene alisema serikali haijatoa ruhusa kwa chama chochote cha siasa kutumia uwanja wa taifa kwa ajili ya shughuli za kisiasa.
Alikiri kwamba...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-bamPl0F4gD4/VedwDuHAupI/AAAAAAAH180/eafkYYR-PSM/s72-c/unnamed%2B%252834%2529.jpg)
Mazishi ya kiongozi wa kikosi cha wataalamu wa China katika mpango wa ushirikiano wa ujenzi wa uwanja wa taifa na uwanja wa Uhuru
![](http://3.bp.blogspot.com/-bamPl0F4gD4/VedwDuHAupI/AAAAAAAH180/eafkYYR-PSM/s640/unnamed%2B%252834%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-3k7c5DsJyWk/VedwDiNjdPI/AAAAAAAH184/VQqEyitF_Ks/s640/unnamed%2B%252835%2529.jpg)
10 years ago
GPLQ-CHILLA KUZINDUA MBILI KWA MPIGO
Abubakar Katwila 'Q-Chilla' (kulia) akizungumza kuhusiana na ujio wake mpya katika ukumbi wa Idara ya habari (Maelezo) jijini Dar. Msanii wa zamani wa muziki wa Bongo fleva, MB DOG, Mkurugenzi wa QS, Joseph Mhonda ambaye ndiye meneja wao akielezea jambo kwa wanahabari ( hawapo pichani) pamoja na Abubakar Katwila (Q-Chilla).…
10 years ago
Bongo514 Nov
Mirror kuzindua video mbili kwa mpigo November 30
Msanii ambaye anasimamiwa na kampuni ya Endless Fame Films ya Wema Sepetu, Mirror anatarajia kuchia video mbili mpya kwa mpigo baada ya kutoonekana kwenye runinga na video mpya toka mwaka huu umeanza. Kupitia Instagram Endlessfame wameandika: “Novemba 30 ndani ya New Maisha Club Dar es salaam @mirror26 kutoka @endlessfame atadondosha Video viwili Vipyaaaaa me nawe […]
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-YFSAOLE0D-A/VDqqTUqZhqI/AAAAAAAGpl0/SWlOON-qJBI/s72-c/MMGM1084.jpg)
Taifa Stars yatakata Uwanja wa Taifa leo,Yaitungua Bao 4-1 Benin
![](http://4.bp.blogspot.com/-YFSAOLE0D-A/VDqqTUqZhqI/AAAAAAAGpl0/SWlOON-qJBI/s1600/MMGM1084.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-NlUWrOLm_MY/VDqqSciQUQI/AAAAAAAGplo/WDumNWIiiQQ/s1600/MMGM1095.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-rw1cH6fb7bA/VDqqSY43IwI/AAAAAAAGpls/oJNT5cTcrZ0/s1600/MMGM1119.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-JgZ7IQqwkHA/VDqqUA2wFKI/AAAAAAAGpl8/O9cNCzaZok4/s1600/MMGM1140.jpg)
9 years ago
GPL06 Sep
10 years ago
Vijimambo06 Dec
MASHINDANO YA WAZI YA UBINGWA WA TAIFA YANAVYO ENDELEA KATIKA UWANJA WA NDANI WA TAIFA
11 years ago
Tanzania Daima31 Jan
Dar Modern kuzindua mbili kwa mpigo Valentine’s Day
BAADA ya kundi la Dar Modern Taarab kuwatambulisha waimbaji wapya watano jana, linatarajia kufanya uzinduzi mpya wa albamu mbili kwa mpigo katika Ukumbi wa Travertine Magomeni jijini Dar es Salaam,...
10 years ago
GPLMKESHA MKUU WA KULIOMBEA DUA TAIFA KUFANYIKA DESEMBA 31-2014 UWANJA WA TAIFA JIJINI DAR
 Mwenyekiti wa Mkesha Mkuu wa Kuliombea Taifa (Dua maalumu), Askofu Godfrey Mallassy (kushoto), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam leo, kuhusu mkesha huo utakaofanyika Uwanja wa Taifa, Desemba 31 mwaka huu. Kulia ni Askofu William Mwamalanga wa Kanisa la Kiinjili la Kipentecoste Tanzania.  Mwenyekiti wa Mkesha Mkuu wa Kuliombea Taifa (Dua Maalumu), Askofu Godfrey Mallassy. Kutoka kulia...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania