Alipewa jina hilo kwa sababu ya kuwa na miguu myembamba, mirefu
Kwa Watanzania wenye umri mkubwa waliopata kusoma historia au kusikia hadithi za makabila, hasa ya Wasukuma na Wanyamwezi, hawakukosa kusikia habari ya Ng’wanamalundi.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo503 Oct
Bushoke aweka wazi kuwa wimbo wa ‘Mume Bwege’alipewa na mtu
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-H8aUxDqAvXY/VZIn-m23v_I/AAAAAAAAAQ0/DGHiKJnOI3Y/s72-c/IMG-20150629-WA0023.jpg)
Dkt MUSA MDEDE apata Baraka za kuwa mbunge wa jimbo la kalenga kutoka kwa vijana wa kikatoliki wa jimbo hilo
![](http://4.bp.blogspot.com/-H8aUxDqAvXY/VZIn-m23v_I/AAAAAAAAAQ0/DGHiKJnOI3Y/s640/IMG-20150629-WA0023.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-g-ZjtBCePtU/VZIn-k8ZFlI/AAAAAAAAAQ4/3G0CBsckKqE/s640/IMG-20150629-WA0022.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-96NBLMdE52Q/VZIn9hKjxlI/AAAAAAAAAQ8/X1_08v68uh8/s640/IMG-20150629-WA0020.jpg)
BOFYA HAPA
9 years ago
Bongo Movies15 Nov
Bozi Namchukia Jokate kwa Sababu ya Kuwa na Ali Kiba!
KAMA kawaida ya kolamu hii kuwaletea wasanii mbalimbali na kuwabananisha na maswali kedekede ambayo yamekuwa yakiwaumiza vichwa wasomaji wa gazeti hili kwa kushindwa kuelewa undani wake.
Alhamisi ya leo tunaye msanii wa filamu Bongo, Fatuma Ayubu ‘Bozi’ ambaye amefungukia mswali mbalimbali kama ifuatavyo:
Msomaji: Nakukubali sana hauna makuu, ila nilisikia umetembea na mastaa wengi, ni kweli na huwa unatumia kinga?
Bozi: Kama ulivyosikia ndivyo ilivyo, kinga ni muhimu huwa nazingatia sana...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-dYLrpk-c-H8/VaUKqktO8JI/AAAAAAAAAOE/tuhgf3-m-EY/s72-c/9.jpg)
Dr. Wilibrod Slaa amesema kuwa akiwa Rais wa Tanzania atamfunga Dr. John Magufuli kwa sababu alisimamia mchakato wa uuzwaji wa nyumba za Serikali kwa bei ya kutupwa
![](http://3.bp.blogspot.com/-dYLrpk-c-H8/VaUKqktO8JI/AAAAAAAAAOE/tuhgf3-m-EY/s640/9.jpg)
Dr. Wilibrod Slaa amesema kuwa akiwa Rais wa Tanzania atamfunga Dr. John Magufuli kwa sababu alisimamia mchakato wa uuzwaji wa nyumba za Serikali kwa bei ya kutupwaDr. Slaa akihojiwa na Radio five ya Arusha jioni hii nini maoni yake kuhusu uteuzi wa Magufuli kuwania Urais.
Ameongelea mengi lakini amesema iwapo UKAWA wakimpa nafasi na Watanzania wakampa kura za kutosha kushinda Urais atamtia Magufuri ndani ili kujibu tuhuma za uuzwaji wa Nyumba kwa bei ya kutupa.
Chanzo: Radio five,...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/--IZUqOM6wZg/Vbjfdh4ws9I/AAAAAAABS48/BKhVCR7NXnQ/s72-c/Nape-Nnauye.jpg)
CCM YATOA SABABU SABA (7) ZILIZOFANYA KUMKATA JINA MHE. LOWASA ASIGOMBEE URAIS 2015
![](http://4.bp.blogspot.com/--IZUqOM6wZg/Vbjfdh4ws9I/AAAAAAABS48/BKhVCR7NXnQ/s640/Nape-Nnauye.jpg)
Kwa mara ya kwanza wananchama 41 waliomba kuteuliwa na chama. Hii inaonyesha kwamba demokrasia imekuwa ndani ya chama. Kati ya wanachama wa CCM waliochukua fomu alikuwa ni mheshimiwa waziri mkuu mstaafu Ndugu Edward Lowasa. Utaratibu wa chama ulifuatwa ili kumpata mgombea ikiwa ni pamoja kamati ya maadili, kamati kuu na halmashauri kuu ya taifa...
9 years ago
MillardAyo23 Dec
Baada ya miaka 11 bila taji la EPL, hizi ndio sababu 5 za Arsenal kupewa nafasi ya kutwaa taji hilo msimu wa 2015/2016
Headlines za Arsenal kufanya vizuri bado zinagonga vichwa vya habari vya magazeti mengi ya michezo dunini, Arsenal kwa sasa ndio timu inayopewa nafasi ya kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu Uingereza msimu wa 2015/2016. Sababu za Arsenal kupewa nafasi ya kutwaa ubingwa sio kwa sababu kaifunga Man City. Hizi ndio sababu tano za Arsenal kupewa nafasi […]
The post Baada ya miaka 11 bila taji la EPL, hizi ndio sababu 5 za Arsenal kupewa nafasi ya kutwaa taji hilo msimu wa 2015/2016 appeared first on...
9 years ago
Mwananchi06 Nov
Siri ya jina la Janeth kuwa wake wa marais
9 years ago
Michuzi30 Aug
Amina Karuma achaguliwa kuwa Mwenyekiti wa Chama cha Mpira wa Miguu wa Wanawake nchini
![](http://tff.or.tz/images/Canada.png)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-iMOTCLDUKeE/VFc_N0nbQ0I/AAAAAAAGvM8/OHob-J-H71M/s72-c/unnamed%2B(75).jpg)
Wabunge Bunge la SADC wamchagua Mh. Makinda kuwa Rais mpya wa Bunge hilo
![](http://4.bp.blogspot.com/-iMOTCLDUKeE/VFc_N0nbQ0I/AAAAAAAGvM8/OHob-J-H71M/s1600/unnamed%2B(75).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-qhzB6g8qpxo/VFc_L1If9tI/AAAAAAAGvMo/1uS6w7Hl_-8/s1600/unnamed%2B(71).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-CneLcA4uUac/VFc_MeY1BMI/AAAAAAAGvMs/GftZGY0yGEI/s1600/unnamed%2B(72).jpg)