Aliyefiwa na ndugu sita kupewa tiba ya kisaikolojia
>Familia ya kijana Emmanuel Mpilla (27), aliyepoteza ndugu sita katika ajali ya moto, imepanga kumpa tiba ya kisaikolojia ili kuirudisha akili yake katika hali ya kawaida.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-oXwaCHOQje0/VNryTtNk56I/AAAAAAAHC_I/bQkZXz-nkT4/s72-c/unnamed%2B(54).jpg)
TBN WATOA UBANI KWA MWANAHABARI CONRAD MPILA ALIYEFIWA NA WATU SITA WA FAMILIA MOJA
![](http://1.bp.blogspot.com/-oXwaCHOQje0/VNryTtNk56I/AAAAAAAHC_I/bQkZXz-nkT4/s1600/unnamed%2B(54).jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-49A13IAlirM/Vc4BfnjgFjI/AAAAAAAHwqo/rMDqA7ofCpI/s72-c/cow.jpg)
MTOTO CHINI YA MIEZI SITA HAWATAKIWI KUPEWA MAZIWA YA NG'OMBE-TFNC
![](http://4.bp.blogspot.com/-49A13IAlirM/Vc4BfnjgFjI/AAAAAAAHwqo/rMDqA7ofCpI/s640/cow.jpg)
Na Chalila Kibuda,Globu ya Jamii.
IMEELEZWA kuwa Mtoto chini ya mwezi hatakiwi kunywa maziwa yeyote isipokuwa ya mama yake, kutokana na maziwa ya ng’ombe kuwa mazito na hayawezi kumsaidia mtoto katika kukua kwake.
Hayo ameyasema mtaalam wa lishe wa Taasisi ya Chakula lishe nchini (TFNC),Neema Joshua wakati wa semina ya waandishi wa habari ya kuwajengea uwezo wa masuala ya Lishe,amesema maziwa ya ng’ombe yanatumika tu pale hakuna namna ya kuweza kupata maziwa mengine.
Amesema watoto chini ya...
10 years ago
CloudsFM11 Feb
Makamu wa rais, Dk. Bilal ahudhuria mazishi ya ndugu sita waliokufa kwa ajali ya moto Dar.
MAKAMU wa Rais, Dk. Gharib Bilal leo amewaongoza mamia ya wakazi wa Jiji la Dar es Salaam katika mazishi ya watu sita wa familia moja waliofariki dunia katika ajali ya moto iliyotokea wiki iliyopita huko Kipunguni jijini Dar es Salaam.
Mazishi hayo yamefanyika leo katika makaburi ya Airwing, Keko jijini Dar e s Salaam huku yakiuhudhuriwa na watu mbalimbali wakiwemo viongozi wa vyama na serikali, taasisi na makampuni binafsi.
Akizungumza kwa huzuni wakati akiwapa pole ndugu, majirani, marafiki...
10 years ago
Dewji Blog06 Oct
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana awasili Mkoani Iringa kwa ziara ya siku sita
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akivishwa skafu mara baada ya kuwasili mkoani Iringa kuanza ziara ya siku sita ya kukagua utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM ya mwaka 2010 na kuhimiza wananchi kushiriki katika shughuli za maendeleo ikiwa ni pamoja na kukagua uhai wa chama. Katika ziara hiyo Katibu Mkuu Abdulrahman Kinana anaongozana na Nape Nnauye Katibu wa NEC Siasa, Itikadi na Uenezi, Kulia ni Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Iringa Ndugu Jesca Msambatavangu na katikati ni Katibu...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Yf63UQvT_64/VX8fUsG_EgI/AAAAAAAHfyM/qdr7-oAlmXg/s72-c/3.jpg)
KATIBU MKUU WA CCM NDUGU KINANA NA MSAFARA WAKE WAWASILI LEO MKOANI GEITA NA KUANZA ZIARA YA SIKU SITA
![](http://4.bp.blogspot.com/-Yf63UQvT_64/VX8fUsG_EgI/AAAAAAAHfyM/qdr7-oAlmXg/s640/3.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-C3u2IVT-euM/VX8fBnwFhiI/AAAAAAAHfwQ/H9viT7ppeqw/s640/1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-jJUIJGg0nY4/VX8fSVHbxqI/AAAAAAAHfxw/M659oGqgWLY/s640/20.jpg)
11 years ago
Mwananchi30 Apr
Mama aliyefiwa na mtoto atoa ya moyoni
9 years ago
StarTV15 Aug
Ukosefu wa vifaa tiba hospitali wachangia watu kutumia tiba za jadi.
Tiba ya Asili ilipitishwa na Bunge la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania mwaka 2002 baada ya sheria namba 23 ya Tiba Mbadala kupitishwa.
Katika Kituo cha Afya cha Jamii Mjini Kahama,...
11 years ago
Mwananchi31 Jan
TIBA MBADALA: Kunywa maji ya moto ni tiba ya magonjwa mengi