Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


ANGALIA PICHA DIAMOND PLATINUMZ ALIVYOFUNIKA KWENYE VIBE PARTY RWANDA PROJECT YAKE YAENDELEA KUFUNIKA

Usiku wa mkesha wa mwaka mpya Diamond Platnumz amefanya yake katika Vibe Party huko jijini Kigali, Rwanda akiambatana na mpenzi wake mpya Zarinah aka thebosslady kutoka Uganda pamoja na timu nzima ya wasafi na mameneja wake. ALICHOKIANDIKA Diamond dakika chache zilizopita!Hii ilikuwa ni Vibe Party tu ya kusalimiana jana... dah! Nawashukuru sana Rwanda kwa Mapenzi yenu kwangu...najiuliza sijui leo kwenye show itakuwaje pale kwenye Uwanja wa Amahoro.. 

( Imagine that was jus, meet and Greet...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo5

Tazama picha ambazo hujaziona kutoka kwenye show ya Diamond, Rwanda

Diamond Platnumz amefanikiwa kupiga show ya kufa mtu jijini Kigali katika siku ya mwaka mpya, January 1. Diamond alitumbuiza na live band na alipewa support na muimbaji wa Yamoto Band, Aslay. Kwenye show hiyo, Diamond alisindikizwa na wasanii wakubwa wa huko wakiwemo King James, Urban Boyz, Jay Polly na Knowles. Hizi ni picha za show […]

 

10 years ago

Vijimambo

PICHA,MWIGULU NCHEMBA AENDELEA KUFUNIKA MIKUTANO YAKE,LEO RULENGA

Naibu Katibu Mkuu CCM Bara akisalimiana na Wananchi wa Rulenga hii leo alipofika Kufunga Kampeni.za Uchaguzi wa serikali za mitaa.Mwigulu Nchemba akisisitiza Wananchi kuwasimamia Viongozi watakao wachagua,kufuatilia mienendo yao.Hakuna kiongozi wa Nchi hii atakaye iba mali ya
Umma na akajisifia kuwa yeye ni Kiongozi Mwema na tajiri,Viongozi wabadhilifu wachukuliwe hatua kali ikiwamo kufilisiwa.Mwigulu Nchemba akiwaelezea Wananchi athari za kushindanisha Vyma kwenye chaguzi bila...

 

10 years ago

CloudsFM

DIAMOND PLATINUMZ,ZARI WATEMBELEA MAKUMBUSHO YA TAIFA YA MAUAJI YA KIMBARI,RWANDA

STAA wa Bongo Fleva, Diamond Platinumz na mpenzi wake Zari wametembelea Makumbusho ya taifa nchini Rwanda na kushuhudia mabaki ya miili ya mamia ya watu waliofariki kwenye vita ya wenyewe kwa wenyewe ya Mauaji ya Kimbari.

 

10 years ago

CloudsFM

Diamond Platnumz kuzindua Tv yake kwenye Zari White Party,Mlimani City,Ijumaa hii

Staa wa Bongo Fleva, Diamond Platnumz anatarajia kuzindua tv yake kwenye Zari White Party itakayofanyika Ijumaa hii pande za Mlimani City,Mwenge,jijini Dar.

Pamoja na vitu vingi vitakavyokuwepo siku hiyo mashabiki watashuhudia uzinduzi wa tv hiyo kwa mara ya kwanza ambapo Diamond atataja rasmi jina la tv hiyo. ZARI ALL WHITE PARTY ,performance kutoka kwa @diamondplatnumz akisindikizwa na @shettatz pamoja na @akaworldwide kwa mtonyo wa Tsh 50,000/= na VIP ni Tsh 100,000/= Utakosa...

 

10 years ago

Africanjam.Com

PICHA: TAZAMA PICHA 37 ZA YALIYOJIRI KWENYE "ZARI ALL WHITE PARTY"

Tweet





Wasanii wa Yamoto Band wakiwa wametulia tayari kwa shoo

Mpiga Picha Mkuu wa Global Publishers, Richard Bukos (kati) akipozi na watangazaji Sauda Mwilima wa Star TV(kulia) na Khadija Shaibu 'Dida' wa Times FM.

Wanausalama wakiwaondoa baadhi ya watu waliokosa tiketi



DSC_2862IMG_4432DSC_2512IMG_4344DSC_2824IMG_4407DSC_2765IMG_4299
.IMG_4300IMG_4304
Khamis DakotaIMG_4306
.IMG_4307
IMG_4313
.IMG_4325IMG_4347DSC_3307WCB IIWCB IIIDSC_2777DSC_2788DSC_2803DSC_2837DSC_2821DSC_2859DSC_2862DSC_2592DSC_2869DSC_3131DSC_2713



Source : www.globalpublishers.info               www.millardayo.com

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani