Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


ANGER TAINER AIBUKA UPYA AACHIA SINGLE MATATA

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Video: Adele aachia single mpya ‘Hello’ na tracklist ya album yake ijayo ‘25’

Mwimbaji wa Uingereza, Adele amerejea na wimbo mpya, video mpya pamoja na album mpya anayotarajia kuitoa mwezi ujao. ‘Hello’ ndio single yake ya kwanza aliyoiachia kutoka kwenye album yake mpya. Album hiyo iitwayo ‘25’ itatoka November 20. Track list to Adele’s ‘25’: 1. Hello 2. Send My Love (To Your New Lover) 3. I Miss […]

 

11 years ago

Dewji Blog

Mzungu Kichaa aachia single mpya “Together As One” ft Juma Nature and Karen Mukupa

mzungu kichaa ft juma nature

TOGETHER AS ONE – UMOJA NI NGUVU

Mzungu Kichaa atoa single yake ya pili kutoka kwenye CD yake mpya iitwayo RELAX. Katika wimbo huu amemshirikisha Juma Nature na Karen Mukupa. Mzungu Kichaa alikuwa na haya ya kusema kuhusu wimbo wake mpya.

“Juma Nature ndiye aliyenipa jina langu la kisanii nilivyokuwa nikifanya featuring kwenye nyimbo kadhaa za Bongo Flava mwaka 1999 na 2000. Pia niliweka vocals pamoja na TID kwenye wimbo wa Nature uitwao Hili Game. Kwahiyo nina furaha kubwa kupata fursa ya...

 

10 years ago

Bongo5

New Song: Chris Brown aachia single mpya inayobeba jina la album yake ‘X’

Kuelekea Septemba 16, tarehe ambayo Chris Brown anatarajia kuachia album yake mpya, Jana (August 22) ameachia single mpya inayobeba jina la album hiyo ‘X’. X imetengenezwa na producer aitwaye Diplo.

 

10 years ago

Vijimambo

MSANI ERICA LULAKWA AIBUKA NA SINGLE YAKE MPYA "HONGERA WANAWAKE"



Kwa ubora wa Single ya Hongera Wanawake pakua hapa  
iTune :- http://itunes.apple.com/album/id975646987
Mkito :- https://mkito.com/song/hongera-wanawake/13611

Maelezo zaidi kuhusu msani Erica tembelea tovuti yake binafsi  http://www.ericalulakwa.com  

 

10 years ago

Bongo5

Iggy Azalea aonesha dalili za kutotaka kufanya collabo na Snoop Dogg, aachia single mpya ‘Beg For It’ (Audio)

Inavyoonekana rapper wa ‘Fancy’ Iggy Azalea licha ya kumsamehe Snoop Dogg, lakini bado kuna kitu ameshikilia moyoni mwake. Rapper huyo wa Australia alipotua uwanja wa ndege wa Los Angeles Alhamisi usiku aliulizwa na paparazzi wa TMZ kama anaweza kuja kufanya collabo na Snoop baada ya beef yao ya hivi karibuni, na jibu la Iggy lilikuwa […]

 

10 years ago

BBC

EU anger over The Gambia expulsion

The European Union summons The Gambia's ambassador for an explanation after its representative, Agnes Guillaud, is ordered to leave the country.

 

11 years ago

TheCitizen

Controlling anger before it controls you

We all know what anger is, and we’ve all felt it: whether as a fleeting annoyance or as full-fledged rage.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani