Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


ANNA ANDREA: Binti mwenye ndoto kisoka

KILA mtu kazaliwa na kipaji chake kinachomvutia kufanya kile anachokiona kinamfaa na sio kulazimishwa na kushinikizwa kupenda jambo ambalo hana malengo nalo. Hapa namzungumzia Anna Andrea (18), mchezaji wa mpira...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

Dkt Mwele: Kutoka binti mwenye ndoto kuwa mtafiti hadi mwanasayansi wa kimataifa hadi mwania #Urais2015

Mapema wiki hii, mwanasanyansi wa kimataifa Mtanzania, mwanamama Dokta Mwelecele (Mwele) Malecela, alitangaza nia ya kuwania urais wa Tanzania kwa kuomba ridhaa ya kupitishwa na Chama Cha Mapinduzi CCM. Dokta Mwele ambaye hadi wakati anatangaza uamuzi huo ni Mkurugenzi wa Taasisi ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu (NIMR), ana historia ya kipekee ambayo nilibahatika kuifahamu kupitia chapisho moja lililopo katika blogu hii. Hata hivyo, chapisho hilo ambalo lilisomwa na maelfu ya watu,...

 

10 years ago

Tanzania Daima

PROFESA ANNA KAJUMULO TIBAIJUKA: Mwanzilishi wa Bawata mwenye sura mbili

LEO katika safu yetu ya Mwana Mama, tunawaletea Profesa Anna Kajumulo Tibaijuka. Ni wazi habari juu ya Profesa Tibaijuka, zimeandikwa sana. Siandiki juu ya Profesa Tibaijuka Mbunge, mjumbe wa NEC...

 

11 years ago

Mwananchi

Mwimbaji nyimbo za Injili mwenye ndoto za uigizaji

Kuna watu wanaoamini kwamba wanaweza kupitia katika njia ya mawazo ya ndoto zao, pasipo kujishughulisha na mambo mengine tofauti na wanayowaza.

 

10 years ago

Mwananchi

Kutana na kijana mwenye ndoto ya kuunda chopa

Ubunifu ni kufanya jambo kwa namna tofauti na jinsi lilivyozoeleka, hivyo mtu akifanya jambo hilo linalofanana na uundaji wa kitu kinacholeta maana, mtu huyo ataitwa mbunifu.

 

10 years ago

Dewji Blog

UN yataka kipaumbele kumsaka binti mwenye albinism aliyetekwa

DSC_0019

Mtaalam wa Mahusiano na Mawasiliano wa Umoja wa Mataifa (UN) Tanzania, Hoyce Temu akimtambulisha Mratibu Mkazi wa mashirika ya Umoja wa Mataifa na mwakilishi wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP) nchini, Alvaro Rodriguez (katikati) alipoitishia mkutano na waandishi wa habari jijini Mwanza mara baada kuhitimisha ziara zake Kanda ya ziwa. Kushoto ni Mshauri wa masuala ya haki za binadamu kutoka ofisi ya mratibu mkazi wa UN Tanzania, Bi. Chitralekha Massey.

Na Mwandishi wetu,...

 

5 years ago

Michuzi

Mlemavu mwenye ndoto ya kusimama kwa ‘miguu yake’










**************************

NA MWANDISHI WETU

KILA binaadam katika dunia hii ana matatizo yake ya kimaisha, hali ambayo inasababisha kila mmoja kusaka namna ya kufikia malengo kupitia kwa wadau mbalimbali ambao ndio kimbilio la ufanikishwaji huo.

Kwa mazingira ya sasa, wadau wanaweza kutoa msaada kwa jamii ama mdau mmoja mmoja kwa mujibu wa hitaji la mhusika.

Boniface Mokami (25), mlemavu wa miguu ambaye ni mmoja wa mfano wa wadau wenye uhitaji wa kuwezeshwa kwa usafiri aweze kushiriki...

 

10 years ago

Mwananchi

Fundi bomba mwenye ndoto ya kuwa mwanamuziki mashuhuri

“Msanii mdogo kutoka ni kazi sana hatukubaliki kirahisi, inahitaji nguvu ya ziada na fedha kama huna fedha ndiyo kabisa hutasomeka kwenye vyombo vya habari”.

 

11 years ago

Michuzi

BINTI SELITIAN NATA,MWENYE UVIMBE ANAOMBA MSAADA WA MATIBABU

Na John Gagarini, Bagamoyo.   MSICHANA Selitian Nata (25) mkazi wa Kijiji cha Kisogo kata ya Vigwaza Wilayani Bagamoyo mkoani Pwani yuko kwenye hali mbaya ya kiafya baada ya kuvimba mguu na kuwa kwenye maumivu makali.Ugonjwa huo uvimbe huo ulianza kama kipele kidogo miaka zaidi ya 10  iliyopita lakini kadiri siku zilivyokuwa zikienda ndipo uvimbe huo ulizidi kuongezeka na kufikia usawa wa mbavu.   Akizungumza na waandishiw ahabari ambao walimtembelea nyumbani kwao alisema kuwa uvimbe...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani