Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Anza mwaka kwa kufuata mwenendo huu

Mara nyingi inapofika mwisho wa mwaka kila mmoja wetu hufanya tathmini ya mambo aliyoshiriki kwa mwaka mzima, pia hupata wasaa wa kupanga ratiba ya mambo yake anayotarajia kufanya kwa mwaka unaofuta.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Anza mwaka kwa mwonekano mpya

Mwaka unapomalizika, wengi huwa na matarajio makubwa hasa kubadilisha mfumo wa maisha kuendana na mabadiliko ya mwaka, lakini, pamoja na hayo, wapo wanaoona kuwa hakuna haja ya kufanya hivyo wakiamini, wanachotaka kufanya hakihitaji mabadiliko.

 

11 years ago

GPL

MWAKA UNAISHA, ANZA UPYA KWA MWENZI WAKO!

HUU ni msimu wa sikukuu! Juzi, tumesherehekea Sikukuu ya Krismasi na sasa tunaelekea Mwaka Mpya 2014. Kwa nguvu za Mungu tutafika salama. Ndugu zangu, hebu tutafakari vizuri kuhusu mwaka uliopita na kuangalia cha maana tulichofanya kwa wenzi wetu. Tuliwaumiza au tuliwapa furaha? Je, kupitia kona hii matatizo yameondoka, yamepungua au yameongezeka?  Nimeandika mada nyingi ambazo zimewagusa watu wengi. Ujumbe wenu na simu...

 

11 years ago

Mwananchi

Kwa mwenendo huu, michezo haitafanikiwa Tanzania

Kuondolewa kwa timu ya taifa ya netiboli kwenye harakati za kutafuta tiketi ya kufuzu kushiriki fainali za Kombe la Dunia ni mwendelezo wa matukio ya kusikitisha yanayoendelea kuzikumba timu za taifa za Tanzania.

 

9 years ago

MillardAyo

Anza weekend yako ya mwaka mpya kwa kutazama mechi 21 kali za kuvutia, kwa Tanzania, Uingereza na Hispania

Ligi Kuu soka Tanzania bara imesimama kwa muda kupisha michuano ya Kombe la Mapinduzi inayoanza January 3 2016 Zanzibar, lakini hiyo haimaanishi mtu wangu hakuna mechi kali za soka weekend ya January 2 na January 3. Najua bado unasherehekea mwaka mpya lakini, hizi ndio mechi 21 sio za kukosa siku ya Jumamosi ya January 2 […]

The post Anza weekend yako ya mwaka mpya kwa kutazama mechi 21 kali za kuvutia, kwa Tanzania, Uingereza na Hispania appeared first on TZA_MillardAyo.

 

9 years ago

MillardAyo

Anza weekend yako ya mwaka mpya kwa mechi 21 kali za kuvutia, kwa Tanzania, Uingereza na Hispania Jan 2 na 3…

Ligi Kuu soka Tanzania bara imesimama kwa muda kupisha michuano ya Kombe la Mapinduzi inayoanza January 3 2016 Zanzibar, lakini hiyo haimaanishi mtu wangu hakuna mechi kali za soka weekend ya January 2 na January. Najua bado unasherehekea mwaka mpya lakini, hizi ndio mechi 21 sio za kukosa siku ya Jumamosi ya January 2 na […]

The post Anza weekend yako ya mwaka mpya kwa mechi 21 kali za kuvutia, kwa Tanzania, Uingereza na Hispania Jan 2 na 3… appeared first on TZA_MillardAyo.

 

11 years ago

GPL

ANZA MWAKA MPYA NA KANUNI HIZI ZA MAFANIKIO

HERI ya mwaka mpya ndugu msomaji! Ni matumaini yangu kuwa umevuka salama na kuingia Mwaka Mpya 2014 ukiwa na ari kubwa ya mafanikio hususan kupitia ujasiriamali.
Nimeamua kuuanza mwaka huu kwa mada hii ambayo tulishawahi kuijadili siku za nyuma lakini siyo vibaya kama tukiijadili tena kwa kina. Mada yetu inahusu kanuni za mafanikio kwa mjasiriamali, ambapo tutachambua kwa kina kanuni  zitakazokuongoza unapoamua kujitosa...

 

11 years ago

Mwananchi

Mwenendo huu hautatupatia Katiba tuliyoitarajia

Mwenendo wa Bunge Maalumu la Katiba tangu lianze shughuli zake mjini Dodoma wiki iliyopita umeonyesha dalili za kuwapo uwezekano mkubwa wa Bunge hilo kushindwa kutunga Katiba Mpya ambayo wananchi wengi waliitarajia.

 

11 years ago

GPL

ANGALIA ALAMA HIZI, ANZA MWAKA NA FIKRA MPYA!-3

KAMA hutajitambua na kujithamini, hatatokea mtu wa kukujulisha kuwa wewe ni mwenye thamani. Maisha yako ni muhimu, afya yako pia ni muhimu sana. Kila kitu chako kina umuhimu wake, lakini usitegemee mtu akueleze, anza wewe! Marafiki zangu tunaangalia namna ya kugundua penzi la kweli na kusimamia katika uhusiano ulio sahihi. Nilieleza katika matoleo yaliyopita kuwa, ni vizuri kuwa kwenye uhusiano wenye malengo. Kwamba kudumu...

 

11 years ago

GPL

ANGALIA ALAMA HIZI, ANZA MWAKA NA FIKRA MPYA!

KUNA wakati unafikiria kufanya kitu fulani muhimu kwa ajili ya yule uliyemteua kuwa mwenzi wa maisha yako? Je, huwa unafikiria kama upo katika uhusiano sahihi au unakwenda tu mradi siku zinakwenda?
Wapo watu ambao wako tu kwenye uhusiano kabla ya uchumba lakini matukio kibao yametokea. Wameshafumaniana, wameshapigana, wameshatoleana maneno machafu, wameshadhalilishana nk. Je, ni sahihi kuendelea katika uhusiano huo? Jibu ni...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani