Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mwenendo huu hautatupatia Katiba tuliyoitarajia

Mwenendo wa Bunge Maalumu la Katiba tangu lianze shughuli zake mjini Dodoma wiki iliyopita umeonyesha dalili za kuwapo uwezekano mkubwa wa Bunge hilo kushindwa kutunga Katiba Mpya ambayo wananchi wengi waliitarajia.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Anza mwaka kwa kufuata mwenendo huu

Mara nyingi inapofika mwisho wa mwaka kila mmoja wetu hufanya tathmini ya mambo aliyoshiriki kwa mwaka mzima, pia hupata wasaa wa kupanga ratiba ya mambo yake anayotarajia kufanya kwa mwaka unaofuta.

 

10 years ago

Mwananchi

Kwa mwenendo huu, michezo haitafanikiwa Tanzania

Kuondolewa kwa timu ya taifa ya netiboli kwenye harakati za kutafuta tiketi ya kufuzu kushiriki fainali za Kombe la Dunia ni mwendelezo wa matukio ya kusikitisha yanayoendelea kuzikumba timu za taifa za Tanzania.

 

10 years ago

Mwananchi

‘Mwenendo Bunge la Katiba safi’

Mahakama Kuu imebariki mwenendo wa Bunge la Katiba kuwa liliendeshwa kulingana na mamlaka yake kisheria.

 

11 years ago

Habarileo

Baraza la Vyama lajadili mwenendo Bunge la Katiba

BARAZA la vyama vya siasa linatarajia kukutana kesho ambapo pamoja na mambo mengine, litazungumzia mustakabali wa Bunge Maalumu la Katiba.

 

10 years ago

Michuzi

TAARIFA YA WAWAKILISHI WA TAASISI ZA DINI WA BUNGE MAALUM LA KATIBA TOKA WAJUMBE 201 KUHUSU MWENENDO WA SHUGHULI ZA BUNGE MAALUM LA KATIBA

 Sisi Wawakilishi wa Jumuiya na Taasisi za Dini, tuliopendekezwa na Taasisi zetu na baadaye kuteuliwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, baada ya kushauriana na Rais wa Zanzibar kuwa Wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba, na kula kiapo cha utekelezaji wa jukumu hili kubwa.Tukiamini kuandaa Katiba Mpya kwa maridhiano ya Kitaifa kwa wananchi wote, tulipokea jukumu hili kama wajibu wetu Kitaifa.  Aidha tunaamini kwamba katika kupata maridhiano ya Kitaifa ni muhimu kuheshimu kila wazo na...

 

11 years ago

Michuzi

LHRC YATOA TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI KUHUSU MWENENDO WA MCHAKATO WA UTUNGAJI WA KATIBA MPYA TANZANIA UNAOENDELEA DODOMA

Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC), Dk.Helen Kijo-Bisimba (kulia), akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam leo, kuhusu mwenendo wa mchakato wa utungaji wa Katiba Mpya ya Tanzania unaoendelea Dodoma. Kushoto ni Mtetezi wa Haki za Wanawake, Ananilea Nkya.
Mtetezi wa Haki za Wanawake, Ananilea Nkya (katikati), akizungumza katika mkutano huo. Kushoto ni Ofisa Mipango kutoka Taasisi ya Sikika, Patrick Kinemo na Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha...

 

10 years ago

Mwananchi

Utaratibu huu wa kupitisha Katiba haufai

Marekebisho yaliyofanywa juzi na Bunge la Katiba kwenye baadhi ya kanuni zake ili kuruhusu wajumbe wake watakaokuwa nje ya Bunge wapige kura za kuamua sura au ibara za Rasimu ya Katiba umelalamikiwa na wananchi wengi.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mtindo huu hauwezi kutoa katiba ya wananchi

KUPINGWA kwa mchakato wa katiba mpya unaoendelea mjini Dodoma  na makundi mbalimbali ya wanajamii, ni ishara tosha kwamba mtindo wa uendeshaji wa Bunge Maalumu la Katiba (BMK) unaotumika hauwezi kutoa...

 

10 years ago

Mwananchi

Utata huu wa upitishaji Katiba unahitaji ufafanuzi

Pamoja na Bunge la Katiba kupitisha ‘Katiba Inayopendekezwa’, utata mkubwa umezidi kugubika kura mbili zilizowezesha kupitisha Katiba hiyo. Utata huo unatokana na kura za wajumbe wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) upande wa Zanzibar, wajumbe waliokuwa Hijja nchini Saudi Arabia na zile za baadhi ya wajumbe wanaodaiwa kuhamishwa kinyemela ili wapige kura kama wajumbe wa kundi linalotoka Bara au Zanzibar.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani