Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Aomba uchaguzi ucheleweshwe Nigeria

Mshauri wa masuala ya usalama nchini Nigeria ameiambia tume ya uchaguzi nchini humo kuchelewesha uchaguzi wa mwezi ujao

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Dewji Blog

Mkurugenzi wa Apex Group aomba wananchi kudumisha Amani na Utulivu katika Uchaguzi Mkuu utakao fanyika kesho nchini kote

Mkurugenzi Mkuu wa Makampuni ya Apex Group na Mwanaharakati,  Joseph Mhonda (kushoto), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam jana, kuhusu amani na utulivu kuelekea uchaguzi mkuu utakaofanyika kesho nchini kote. Kulia ni Ofisa Habari wa Makampuni hayo, Pipino Sudi.

Mkurugenzi Msaidizi wa Idara Habari Maelezo, Vicent Tiganya (kushoto), akizungumza katika mkutano huo. Kulia ni Ofisa Habari wa Makampuni hayo, Pipino Sudi na Mkurugenzi Mkuu wa Makampuni ya Apex...

 

9 years ago

Vijimambo

MKURUGENZI WA MAKAMPUNI YA APEX GROUP AOMBA WANANCHI KUDUMISHA AMANI NA UTULIVU KATIKA UCHAGUZI MKUU UTAKAO FANYIKA KESHO KUTWA KOTE NCHINI

Mkurugenzi Mkuu wa Makampuni ya Apex Group na Mwanaharakati,  Joseph Mhonda (kushoto), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam leo, kuhusu amani na utulivu kuelekea uchaguzi mkuu utakaofanyika kesho nchini kote. Kulia ni Ofisa Habari wa Makampuni hayo, Pipino Sudi. Mkurugenzi Msaidizi wa Idara Habari Maelezo, Vicent Tiganya (kushoto), akizungumza katika mkutano huo. Kulia ni Ofisa Habari wa Makampuni hayo, Pipino Sudi na Mkurugenzi Mkuu wa Makampuni ya Apex Group na...

 

5 years ago

CCM Blog

MWENYEKITI WA ZAMANI WA TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI ZANZIBAR (ZEC), JECHA SALUM JECHA AOMBA KUWANIA URAIS ZANZIBAR


Aliyekuwa Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi visiwani Zanzibar (ZEC), Ndg, Jecha Salum Jecha leo hii Amechukua fomu ya kuwania kugombea Urais wa Zanzibar kupitia Tiketi ya Chama Cha Mapinduzi



 

10 years ago

BBCSwahili

AU yapongeza uchaguzi Nigeria

Mkuu wa Umoja wa Afrika ,Nkosana Dlamini Zuma anasema kuwa uchaguzi wa Muhammadu Buhari ni ukuwaji wa Demokrasi nchini Nigeria.

 

10 years ago

BBCSwahili

Joto la Uchaguzi Nigeria

Joto la Uchaguzi limeikumba Nigeria siku chache kabla ya upigaji kura.

 

10 years ago

BBCSwahili

Nigeria:Ratiba ya Uchaguzi ni ileile

Serikali ya Nigeria imesema inaendelea na Ratiba ya uchaguzi ile ile

 

10 years ago

BBCSwahili

Uchaguzi mkuu waahirishwa Nigeria

Tume ya uchaguzi nchini Nigeria imeahirisha uchaguzi kutokana na sababu za kiusalama.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wapinzani walalamikia uchaguzi Nigeria

Upinzani nchini Nigeria umekosoa hatua ya kuahirishwa kwa uchaguzi hadi mwishoni mwa Mwezi March.

 

10 years ago

BBCSwahili

Uchaguzi wa Nigeria hauna uhakika

Uchaguzi mkuu wa Nigeria huenda ukaakhirishwa iwapo majadiliano ya tume ya uchaguzi na pande husika yataafikiana

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani