Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


AU yapongeza uchaguzi Nigeria

Mkuu wa Umoja wa Afrika ,Nkosana Dlamini Zuma anasema kuwa uchaguzi wa Muhammadu Buhari ni ukuwaji wa Demokrasi nchini Nigeria.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Habarileo

UN yapongeza uchaguzi Tanzania

KATIBU Mkuu wa Umoja wa Mataifa (UN), Ban Kimoon, ametuma salamu za pongezi kwa Watanzania, Serikali na vyama vya siasa, kwa namna walivyoshirikiana katika mchakato wa Uchaguzi Mkuu uliofanyika Oktoba 25, mwaka huu na kumpata Rais Mteule wa Awamu ya Tano, Dk John Magufuli.

 

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

Yaliojiri wiki hii kwa ufupi:UN yapongeza Maandalizi ya Uchaguzi

NEC Mashine za Kura hazitakaguliwa UKAWA wataishia kunawa tu. Wakati vyama vya upinzani hususan vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), vikiwa na matumaini ya wataalam wao kuruhusiwa kukagua mfumo na mashine zitakazotumika kuhesabia kura kwenye […]

The post Yaliojiri wiki hii kwa ufupi:UN yapongeza Maandalizi ya Uchaguzi appeared first on Mzalendo.net.

 

10 years ago

BBCSwahili

Joto la Uchaguzi Nigeria

Joto la Uchaguzi limeikumba Nigeria siku chache kabla ya upigaji kura.

 

10 years ago

BBCSwahili

Uchaguzi mkuu waahirishwa Nigeria

Tume ya uchaguzi nchini Nigeria imeahirisha uchaguzi kutokana na sababu za kiusalama.

 

10 years ago

BBCSwahili

Uchaguzi wa Nigeria hauna uhakika

Uchaguzi mkuu wa Nigeria huenda ukaakhirishwa iwapo majadiliano ya tume ya uchaguzi na pande husika yataafikiana

 

10 years ago

BBCSwahili

Maandalizi ya Uchaguzi nchini Nigeria

Maandalizi ya Uchaguzi mkuu wa Nigeria yamekamilika na mwandishi wetu wa BBC Salim Kikeke yuko huko

 

10 years ago

BBCSwahili

Nigeria:Ratiba ya Uchaguzi ni ileile

Serikali ya Nigeria imesema inaendelea na Ratiba ya uchaguzi ile ile

 

10 years ago

BBCSwahili

Aomba uchaguzi ucheleweshwe Nigeria

Mshauri wa masuala ya usalama nchini Nigeria ameiambia tume ya uchaguzi nchini humo kuchelewesha uchaguzi wa mwezi ujao

 

10 years ago

BBCSwahili

Wapinzani walalamikia uchaguzi Nigeria

Upinzani nchini Nigeria umekosoa hatua ya kuahirishwa kwa uchaguzi hadi mwishoni mwa Mwezi March.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani