Maandalizi ya Uchaguzi nchini Nigeria
Maandalizi ya Uchaguzi mkuu wa Nigeria yamekamilika na mwandishi wetu wa BBC Salim Kikeke yuko huko
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL
MTANDAO WA TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI NCHINI NIGERIA WAINGILIWA NA WAHALIFU
Mtandao wa tume ya uchaguzi nchini Nigeria. Huku mamilioni ya raia wa Nigeria wakipiga kura kumchagua rais mpya,tovuti ya tume ya uchaguzi nchini Nigeria imeingiliwa na wahalifu wa mtandaoni. Kundi linalojiita Jeshi la mtandaoni la Nigeria limeweka ujumbe katika tovuti hiyo likiionya tume ya uchaguzi ya Nigeria dhidi ya kufanya udanganyifu katika uchaguzi huo. kufikia sasa haijulikani iwapo wahalifu hao wameingia zaidi ya...
10 years ago
GPL
KISA BOKO HARAM, UCHAGUZI MKUU NCHINI NIGERIA WAAHIRISHWA
Wananchi wakiwa na mabango ya kupinga kuahirishwa kwa uchaguzi huo. TUME ya uchaguzi nchini Nigeria imeahirisha uchaguzi mkuu ambao ulikuwa ufanyike tarehe 14 mwezi huu kutokana na sababu za kiusalama. Uchaguzi huo sasa utafanyika Machi 28 mwaka huu. Mkuu wa tume hiyo Attahiru Jega alisema kuwa amejulishwa na maofisa wa usalama kuwa wanajeshi hawatakuwepo kulinda vituo vya kupigia kura kwa kuwa watakuwa wakipigana na wanamgambo...
10 years ago
Mwananchi14 Jun
Ushindi wa upinzania nchini Nigeria kwenye Uchaguzi wa Majimbo na mafunzo kwa Tanzania
Ndugu wasomaji wangu sikuweza kuwa nanyi kwa takribani wiki sita kutokana na sababu za kiufundi kwani gazeti lilikuwa na masuala muhimu ya uchaguzi ambayo ilikuwa lazima wayachapishe
11 years ago
BBCSwahili19 May
Malawi:Maandalizi ya uchaguzi yakamilika
Maandalizi ya uchaguzi Mkuu wa Malawi yamekamilika huku wagombea 12 wakikabana koo kuwania urais. Tathmini ya Baruan Muhuza
10 years ago
BBCSwahili23 Oct
Tume Uchaguzi TZ: maandalizi tayari
Tume ya uchagazi ya Tanzania imesema maandalizi yote yapo tayari.
11 years ago
Dewji Blog21 Oct
Ratiba ya maandalizi ya uchaguzi wa serikali za mitaa ndani ya CCM
2014 20.10.2014 RATIBA YA MAANDALIZI YA UCHAGUZI WA.doc by moblog
11 years ago
Michuzi
WAZIRI MKUU: MAANDALIZI YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA YANAENDELEA

Ametoa kauli hiyo leo mchana (Jumatatu, Juni 30, 2014) wakati akizungumza na Mameya wa Majiji, Manispaa na Wenyeviti wa Halmashauri za Miji na Wilaya Tanzania katika kikao cha siku moja kilichofanyika kwenye ukumbi wa Regal Naivera jijini Tanga.
Waziri Mkuu yuko Tanga kwa...
10 years ago
Vijimambo
MAANDALIZI YA UCHAGUZI MKUU KANDA YA ZIWA YAENDELEA VIZURI




Na Mwandishi Wetu, Kanda ya Ziwa
Imefahamika kwamba maandalizi muhimu ya uchaguzi mkuu kwa mikoa ya kanda ya ziwa yanaendelea...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
08-May-2025 in Tanzania