Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Yaliojiri wiki hii kwa ufupi:UN yapongeza Maandalizi ya Uchaguzi

NEC Mashine za Kura hazitakaguliwa UKAWA wataishia kunawa tu. Wakati vyama vya upinzani hususan vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), vikiwa na matumaini ya wataalam wao kuruhusiwa kukagua mfumo na mashine zitakazotumika kuhesabia kura kwenye […]

The post Yaliojiri wiki hii kwa ufupi:UN yapongeza Maandalizi ya Uchaguzi appeared first on Mzalendo.net.

Mzalendo Zanzibar

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo5

#NjeyaBongo (Habari 10 kwa ufupi zilizojiri Jumatano hii, Jan 7

Hizi ni habari 10 kwa ufupi kutoka vyanzo mbalimbali vya habari duniani zilizoandikwa Jumatano hii. 1.Dr. Dre na Jimmy Lovine washtakiwa na partner wao wa zamani wa Beats Electronic Producer Dr. Dre na mwenzie Jimmy Iovine wameshtakiwa na partner wao wa zamani kwenye kampuni ya Beats Electronics. Noel Lee, mwanzilishi wa Monster Llc, amewasilisha madai […]

 

9 years ago

Habarileo

UN yapongeza uchaguzi Tanzania

KATIBU Mkuu wa Umoja wa Mataifa (UN), Ban Kimoon, ametuma salamu za pongezi kwa Watanzania, Serikali na vyama vya siasa, kwa namna walivyoshirikiana katika mchakato wa Uchaguzi Mkuu uliofanyika Oktoba 25, mwaka huu na kumpata Rais Mteule wa Awamu ya Tano, Dk John Magufuli.

 

10 years ago

BBCSwahili

AU yapongeza uchaguzi Nigeria

Mkuu wa Umoja wa Afrika ,Nkosana Dlamini Zuma anasema kuwa uchaguzi wa Muhammadu Buhari ni ukuwaji wa Demokrasi nchini Nigeria.

 

11 years ago

BBCSwahili

Afrika wiki hii kwa picha

Udi watumiwa kutengeza manukato Somalia na picha nyinginezo kutoka Afrika

 

9 years ago

Michuzi

Malope kuwasili Alhamisi wiki hii tayari kwa Tamasha la Krismasi

03MWIMBAJI nguli wa muziki wa Injili Afrika, Rebecca Malope anatarajia kuwasili nchini kesho saa tisa alasiri kwenye uwanja wa Kimataifa wa Julius Kambarage Nyerere jijini Dar es Salaam kwa ajili ya Tamasha la Krismasi linalotarajia kufanyika keshokutwa kwenye ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es Salaam.
Kwa mujibu wa Mwenyekiti wa Kamati ya maandalizi ya tamasha hilo, Alex Msama kabla ya kuwasili kwa Malope leo watawasili watangulizi wake ambao watafika kwa ajili ya kufanya...

 

5 years ago

CCM Blog

KAMATI KUU YAMPONGEZA RAIS DK. MAGUFULI KWA UMAHIRI ALIOTUMIA KATIKA MAPAMBANO DHIDI YA CORONA, YARIDHISHWA NA MAANDALIZI YA UCHAGUZI MKUU 2020

Dodoma, Tanzania
Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), imempongeza Rais Dk. John Magufuli kwa Uongozi imara, msimamo thabiti na usioyumba katika kipindi chote cha mapambano dhidi ya ugonjwa wa Virusi vya Corona vinavyosababisha ugonjwa wa Covid 19.

Pongezi hizo zimetolewa na Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM, katika kikao chake kilichofanyika jana katika Ikulu ya Chamwino jijini Dodoma, chini ya Mwenyekiti wa CCM, Rais Dk. John Magufuli.

Pamoja na pongezi hizo Kamati...

 

10 years ago

BBCSwahili

Michezo kwa ufupi

Kunea kwa ugonjwa wa Ebola umefanya fainali za Kombe la mataifa ya Afrika kuwa mashakani.

 

10 years ago

Vijimambo

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani