Yaliojiri wiki hii kwa ufupi:UN yapongeza Maandalizi ya Uchaguzi
NEC Mashine za Kura hazitakaguliwa UKAWA wataishia kunawa tu. Wakati vyama vya upinzani hususan vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), vikiwa na matumaini ya wataalam wao kuruhusiwa kukagua mfumo na mashine zitakazotumika kuhesabia kura kwenye […]
The post Yaliojiri wiki hii kwa ufupi:UN yapongeza Maandalizi ya Uchaguzi appeared first on Mzalendo.net.
Mzalendo Zanzibar
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo507 Jan
#NjeyaBongo (Habari 10 kwa ufupi zilizojiri Jumatano hii, Jan 7
9 years ago
Habarileo31 Oct
UN yapongeza uchaguzi Tanzania
KATIBU Mkuu wa Umoja wa Mataifa (UN), Ban Kimoon, ametuma salamu za pongezi kwa Watanzania, Serikali na vyama vya siasa, kwa namna walivyoshirikiana katika mchakato wa Uchaguzi Mkuu uliofanyika Oktoba 25, mwaka huu na kumpata Rais Mteule wa Awamu ya Tano, Dk John Magufuli.
10 years ago
BBCSwahili01 Apr
AU yapongeza uchaguzi Nigeria
11 years ago
BBCSwahili24 Mar
9 years ago
Michuzi22 Dec
Malope kuwasili Alhamisi wiki hii tayari kwa Tamasha la Krismasi
![03](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/12/03.gif)
Kwa mujibu wa Mwenyekiti wa Kamati ya maandalizi ya tamasha hilo, Alex Msama kabla ya kuwasili kwa Malope leo watawasili watangulizi wake ambao watafika kwa ajili ya kufanya...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-NEF6FsL7N-E/XuHkzT2PzdI/AAAAAAACM8c/o5_ZJl4bCm8yS81uRG3E1gG4SMA0J6bNgCLcBGAsYHQ/s72-c/5.jpeg)
KAMATI KUU YAMPONGEZA RAIS DK. MAGUFULI KWA UMAHIRI ALIOTUMIA KATIKA MAPAMBANO DHIDI YA CORONA, YARIDHISHWA NA MAANDALIZI YA UCHAGUZI MKUU 2020
![](https://1.bp.blogspot.com/-NEF6FsL7N-E/XuHkzT2PzdI/AAAAAAACM8c/o5_ZJl4bCm8yS81uRG3E1gG4SMA0J6bNgCLcBGAsYHQ/s400/5.jpeg)
Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), imempongeza Rais Dk. John Magufuli kwa Uongozi imara, msimamo thabiti na usioyumba katika kipindi chote cha mapambano dhidi ya ugonjwa wa Virusi vya Corona vinavyosababisha ugonjwa wa Covid 19.
Pongezi hizo zimetolewa na Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM, katika kikao chake kilichofanyika jana katika Ikulu ya Chamwino jijini Dodoma, chini ya Mwenyekiti wa CCM, Rais Dk. John Magufuli.
Pamoja na pongezi hizo Kamati...
10 years ago
BBCSwahili17 Oct
Michezo kwa ufupi
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/ODodsbr0Sj4/default.jpg)