Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Apanda cheo baada ya kuiibia shule

OFISI ya Mkurugenzi wa Manispaa ya Ilemela mkoani Mwanza, imeingia kwenye kashfa ya kumpandisha cheo mkuu wa shule ya msingi Muungano, Gasper Mujinja anayedaiwa kupora mali za shule, lakini ameteuliwa...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

BAADA YA SHULE YA SEKONDARI YA IFUNDA KUFUNGWA KWA VURUGU UONGOZI WA SHULE HIYO WAWAITA WANAFUNZI 28

 Mkuu wa shule ya sekondari ya Ifunda akizungumza na wanafunzi hao hivi karibuni. Wanafunzi wa shule ya sekondari ya Ufundi Ifunda. Uongozi wa shule ya sekondari ya Ufundi Ifunda  mkoani  Iringa  imewaita wanafunzi 28 kufika shuleni hapo octoba 2 ikiwa ni baada ya  shule  hiyo …

 

10 years ago

Vijimambo

FNB YAKABIDHI MADARASA BAADA YA KUFANYIA UKARABATI NA MADAWATI NA MIKOBA YA SHULE KWA WANAFUNZI WA SHULE YA MSINGI MSASANI B

Mkuu wa Idara ya ukaguzi wa Mahesabu FNB Baraka Thomas (kushoto) akikata utepe kwa ajili ya kumkabidhi MwalimuMkuu wa Shule ya Msingi Msasani B, Bw.Victor Kamuli madarasa baada ya kufanyiwa ukarabati pia ilikabidhi madawati na mikoba ya shule hivi karibuni jijini Dar as Salaam. Mfanyakazi wa FNB Bi Dora Bundala akimuelekeza kuchora mwanafunzi wa darasa la kwanza wakati FNB ilipokabidhi madarasa , mikoba ya shule , vitabu ,na rangi Katika shule ya Msingi Msasani B hivi karibuni jijini...

 

10 years ago

Habarileo

Kizimbani kwa kuiibia NHIF

MFANYABIASHARA William Daud (22) amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Mwanzo Kariakoo, katika Manispaa ya Ilala, Dar es Salaam akikabiliwa na mashitaka ya kujipatia fedha kupitia bima ya Afya.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kortini wakidaiwa kuiibia TPB mil. 550/-

WATU wa wawili wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam jana, wakikabiliwa na shitaka la wizi wa zaidi ya sh. milioni 550 mali ya Benki...

 

10 years ago

Mwananchi

Mafanikio ya Shule ya Sekondari Shemsanga baada kupandisha ada

“Siku Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi ya Chama cha Mapinduzi, Abdallah Bulembo alipofanya ziara katika shule yetu na kuamuru tupandishe ada, wengi hatukumwelewa, tulidhani ndiyo mwisho wa shule yetu.”

 

9 years ago

Mwananchi

Wanafunzi 70 wapoteza mwelekeo wa shule baada ya bomoabomoa Dar

 Zaidi ya wanafunzi 70 wa shule za msingi na sekondari huenda wakashindwa kuendelea na masomo, baada ya familia zao kukumbwa na bomoabomoa kwenye Bonde la Mto Msimbazi, na kukosa mahali pa kushi.

 

10 years ago

Dewji Blog

FNB yakabidhi madarasa baada ya ukarabati shule ya msingi Msasani B

IMG_8488fnb

Mkuu wa Idara ya ukaguzi wa Mahesabu FNB Baraka Thomas (kushoto)  akikata utepe  kwa ajili ya kumkabidhi Mwalimu Mkuu wa Shule ya Msingi  Msasani  B,  Bw.Victor  Kamuli madarasa baada ya kufanyiwa ukarabati  pia ilikabidhi madawati na mikoba ya shule  hivi karibuni jijini Dar as Salaam.

IMG_8950fnb

Mfanyakazi wa FNB Bi Dora Bundala akimuelekeza kuchora mwanafunzi wa darasa la kwanza wakati FNB ilipokabidhi madarasa , mikoba ya shule , vitabu ,na rangi  Katika shule ya Msingi Msasani B hivi karibuni...

 

11 years ago

Mwananchi

Shule yafungwa Bunda baada ya watu kujisaidia ovyo madarasani

>Shule ya Msingi Kibara B, iliyoko wilayani Bunda mkoani Mara, imefungwa na wananchi kwa muda kutokana na watu wasiofahamika kujisaidia kwenye vyumba vya madarasa, hali inayohatarisha afya za wanafunzi.

 

5 years ago

BBCSwahili

Mkanyagano shule ya Kakamega: Wanafunzi 6 walifariki baada ya kukosa hewa

Matokeo ya upasuaji yanaonesha kwamba wanafunzi sita kati ya 14 waliofariki katika mkanyagano siku ya Jumatatu jioni Magharibi mwa Kenya walifariki baada ya kukosa hewa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani