Kizimbani kwa kuiibia NHIF
MFANYABIASHARA William Daud (22) amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Mwanzo Kariakoo, katika Manispaa ya Ilala, Dar es Salaam akikabiliwa na mashitaka ya kujipatia fedha kupitia bima ya Afya.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo20 May
Ofisa NHIF apandishwa kizimbani
OFISA wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF), Godius Masilango, amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, akikabiliwa na mashitaka ya kusababisha hasara ya Sh milioni 51.
11 years ago
Tanzania Daima26 Apr
Apanda cheo baada ya kuiibia shule
OFISI ya Mkurugenzi wa Manispaa ya Ilemela mkoani Mwanza, imeingia kwenye kashfa ya kumpandisha cheo mkuu wa shule ya msingi Muungano, Gasper Mujinja anayedaiwa kupora mali za shule, lakini ameteuliwa...
11 years ago
Tanzania Daima23 Jul
Kortini wakidaiwa kuiibia TPB mil. 550/-
WATU wa wawili wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam jana, wakikabiliwa na shitaka la wizi wa zaidi ya sh. milioni 550 mali ya Benki...
10 years ago
MichuziWAJASIRIMALI TUMIENI FURSA YA KUJIUNGA NA NHIF KWA KUCHANGIA SH.78,600 KWA MWAKA
10 years ago
MichuziNHIF LINDI WATOA ELIMU KATA KWA KATA KWA WANACHAMA WAKE,SANJARI NA UPIMAJI WA AFYA BURE KWA WANANCHI WILAYANI RUANGWA
11 years ago
Michuzi10 Feb
news alert: watano wapanda kizimbani kwa mashtaka ya usambazaji wa Dawa feki za kurefusha maisha kwa waathirika wa Ukimwi
10 years ago
Uhuru Newspaper09 Sep
Kizimbani kwa ubakaji
NA EMMANUEL MOHAMED
MKAZI wa Dar es Saalam Juma Omary, amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Wilaya ya Kinondoni kujibu shitaka la ubakaji.
Omary (65), alisemewa shitaka hilo jana, mahakamani hapo na Mwendesha Mashitaka Faustine Sylvester mbele ya Hakimu Boniphace Lihamwike.
Sylvester alidai kuwa mshitakiwa alitenda kosa hilo Agosti 19, mwaka huu, muda usiofahamika, katika mtaa wa Mkunguni, Kinondoni.
Mshitakiwa alikana shitaka hilo na alirudishwa rumande, baada ya kushindwa kutimiza...
11 years ago
Habarileo02 Mar
36 kizimbani kwa kesi za mauaji
WATUHUMIWA 36 wa kesi 11 za mauaji, wanatarajiwa kupandishwa katika Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Tabora, ambayo inaendelea na kikao chake mkoani hapa.
10 years ago
Habarileo04 Sep
Kizimbani kwa mashitaka ya mauaji
WAKAZI wawili wa Dar es Salaam, wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Wilaya ya Ilala, wakikabiliwa na mshitaka ya mauaji. Washitakiwa hao ni Habibu Mohammed (28) ambaye hati ya mashitaka ilimtambulisha kuwa ni Dereva na Said Kassimu (29) ambaye ni mfanyabiashara.