APC YAENDELEZA USHINDI WA MAGAVANA NA WABUNGE NCHINI NIGERIA
![](http://api.ning.com:80/files/v6wcuBb1nvvFML4UoTQ5aH0n5MOFBn6mvZvNXPmAfWBmlfDHguYiKssXzBnkA8EReYTK-Q5HmAQaIet8XhMht5*UfyLQSaoN/150401155209_buhari_inec_certificate_640x360_bbc_nocredit.jpg?width=650)
Rais mteule wa Nigeria Jenerali Muhhamadu Buhari akishangilia baada ya APC kushinda majimbo makuu ya Lagos kaduna na Katsina katika uchaguzi wa Mgavana na Wabunge uliofanyika jumamosi na jumapili. Mfanyakazi wa tume ya uchaguzi nchini Nigeria INEC akiwaelekeza jambo wapiga kura.…
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili11 Apr
Nigeria kuchaguwa magavana na wabunge
Wapiga kura nchini Nigeria watapiga kura leo kuchagua magavana wa majimbo pamoja na wabunge.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/9whBoo1pTWNEI6k7-TZLIsrtcYAU2Wsa0hgP*wkqOyzc1dzvkQL12RB7DmiFY97YiDu3U*5OowyRzUBPurnqMXe3AWV8sBTv/Buhari.jpg?width=650)
NIGERIA KUCHAGUWA MAGAVANA NA WABUNGE LEO
Masanduku ya kupigia kura nchini Nigeria. Rais mteule wa Nigeria Bw. Muhammadu Buhari. Wapiga kura nchini Nigeria wanapiga kura leo kuchagua magavana wa majimbo pamoja na wabunge. Chama cha APC kinatarajiwa kupata ushindi mkubwa baaada ya mgombea wake wa urais aliyekuwa kiongozi wa zamani wa kijeshi Muhammadu Buhari kumshinda aliyekuwa rais wan chi hiyo Goodluck Jonathan kwa kura zaidi ya millioni 2 katika uchaguzi mkuu wa nchi...
10 years ago
BBC![](http://news.bbcimg.co.uk/media/images/79224000/jpg/_79224737_79222155.jpg)
Nigeria APC party anger over raid
Nigeria's main opposition party condemns a weekend raid of its offices ahead of February's elections and calls for an independent inquiry.
10 years ago
BBCSwahili13 Apr
Nigeria:APC yatwaa Lagos,Kaduna,Katsina
Chama cha rais mteule wa Nigeria APC, kimeshinda majimbo makuu ya Lagos Kaduna na Katsina katika uchaguzi mkuu wa Nigeria
10 years ago
Mwananchi14 Jun
Ushindi wa upinzania nchini Nigeria kwenye Uchaguzi wa Majimbo na mafunzo kwa Tanzania
Ndugu wasomaji wangu sikuweza kuwa nanyi kwa takribani wiki sita kutokana na sababu za kiufundi kwani gazeti lilikuwa na masuala muhimu ya uchaguzi ambayo ilikuwa lazima wayachapishe
10 years ago
BBCSwahili04 Dec
Boko:H yaendeleza mashambulizi Nigeria
Hali ya vurugu na mauaji inazidi kuwa mbaya Nigeria siku hadi siku.
9 years ago
Michuzi30 Oct
UK DIASPORA YAMPONGEZA RAIS MTEULE< WABUNGE NA MADIWANI WA CCM KWA USHINDI MNONO
CHAMA CHA MAPINDUZI NCHINI UINGEREZA, WALES NA SCOTLAND "CCM UK DIASPORA" TUNATOA HONGERA NA PONGEZI KWA JOHN POMBE JOSEPH MAGUFULI KWA KUCHAGULIWA KWAKE KUWA RAIS WA TANO WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA NA BI, SAMIA SULUHU HASSAN KUWA MAKAMU WA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA.
PIA WABUNGE, MADIWANI NA WANACCM NA WASIO WANACCM WALIOFANIKISHA KWA NAMNA MOJA AU NYINGINE KUFANIKISHA USHINDI ULIOPATIKANA. UMOJA NI USHINDI, SASA #HAPA KAZI TU!
TUNAKUAHIDI USHIRIKIANO WA HALI YA JUU...
10 years ago
BBCSwahili02 Apr
Ushindi wa Buhari ni wa kihistoria Nigeria
Ushindi wa Buhari unaadhimisha wakati muhimu katika historia ya Nigeria iliojawa na misukosuko.
10 years ago
BBCSwahili01 Apr
Buhari:Ni ushindi wa kidemokrasi Nigeria
Muhammadu Buhari anasema kuwa ushindi wake unamaanisha kuwa taifa hilo linafuata mfumo wa kidemokrasi.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania