Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


APC YAENDELEZA USHINDI WA MAGAVANA NA WABUNGE NCHINI NIGERIA

Rais mteule wa Nigeria Jenerali Muhhamadu Buhari akishangilia baada ya APC kushinda majimbo makuu ya Lagos kaduna na Katsina katika uchaguzi wa Mgavana na Wabunge uliofanyika jumamosi na jumapili.
Mfanyakazi wa tume ya uchaguzi nchini Nigeria INEC akiwaelekeza jambo wapiga kura.…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Nigeria kuchaguwa magavana na wabunge

Wapiga kura nchini Nigeria watapiga kura leo kuchagua magavana wa majimbo pamoja na wabunge.

 

10 years ago

GPL

NIGERIA KUCHAGUWA MAGAVANA NA WABUNGE LEO

Masanduku ya kupigia kura nchini Nigeria. Rais mteule wa Nigeria Bw. Muhammadu Buhari. Wapiga kura nchini Nigeria wanapiga kura leo kuchagua magavana wa majimbo pamoja na wabunge. Chama cha APC kinatarajiwa kupata ushindi mkubwa baaada ya mgombea wake wa urais aliyekuwa kiongozi wa zamani wa kijeshi Muhammadu Buhari kumshinda aliyekuwa rais wan chi hiyo Goodluck Jonathan kwa kura zaidi ya millioni 2 katika uchaguzi mkuu wa nchi...

 

10 years ago

BBC

Nigeria APC party anger over raid

Nigeria's main opposition party condemns a weekend raid of its offices ahead of February's elections and calls for an independent inquiry.

 

10 years ago

BBCSwahili

Nigeria:APC yatwaa Lagos,Kaduna,Katsina

Chama cha rais mteule wa Nigeria APC, kimeshinda majimbo makuu ya Lagos Kaduna na Katsina katika uchaguzi mkuu wa Nigeria

 

10 years ago

Mwananchi

Ushindi wa upinzania nchini Nigeria kwenye Uchaguzi wa Majimbo na mafunzo kwa Tanzania

Ndugu wasomaji wangu sikuweza kuwa nanyi kwa takribani wiki sita kutokana na sababu za kiufundi kwani gazeti lilikuwa na masuala muhimu ya uchaguzi ambayo ilikuwa lazima wayachapishe

 

10 years ago

BBCSwahili

Boko:H yaendeleza mashambulizi Nigeria

Hali ya vurugu na mauaji inazidi kuwa mbaya Nigeria siku hadi siku.

 

9 years ago

Michuzi

UK DIASPORA YAMPONGEZA RAIS MTEULE< WABUNGE NA MADIWANI WA CCM KWA USHINDI MNONO


CHAMA CHA MAPINDUZI NCHINI UINGEREZA, WALES NA SCOTLAND "CCM UK DIASPORA" TUNATOA HONGERA NA PONGEZI KWA JOHN POMBE JOSEPH MAGUFULI KWA KUCHAGULIWA KWAKE KUWA RAIS WA TANO WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA NA BI, SAMIA SULUHU HASSAN KUWA MAKAMU WA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA.
PIA WABUNGE, MADIWANI NA WANACCM NA WASIO WANACCM WALIOFANIKISHA KWA NAMNA MOJA AU NYINGINE KUFANIKISHA USHINDI ULIOPATIKANA. UMOJA NI USHINDI, SASA ‪#‎HAPA‬ KAZI TU!

TUNAKUAHIDI USHIRIKIANO WA HALI YA JUU...

 

10 years ago

BBCSwahili

Ushindi wa Buhari ni wa kihistoria Nigeria

Ushindi wa Buhari unaadhimisha wakati muhimu katika historia ya Nigeria iliojawa na misukosuko.

 

10 years ago

BBCSwahili

Buhari:Ni ushindi wa kidemokrasi Nigeria

Muhammadu Buhari anasema kuwa ushindi wake unamaanisha kuwa taifa hilo linafuata mfumo wa kidemokrasi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani