Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


APNAC kuandaa muswada wa rushwa

Chama cha Wabunge wanaopambana na Rushwa (APNAC) kimesema kinaandaa muswada binafsi wa kufanyia marekebisho Sheria ya Rushwa ili pamoja na mambo mengine watu wanaopatikana na mashtaka wanyang’anywe mali zao.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

USHAHIDI WA RUSHWA WALIYO TOA SOUTH AFRICA NA KUPEWA NAFASI YA KUANDAA KOMBE LA DUNIA 2010


Kwa takribani wiki mbili sasa neno ‘rushwa’ limekuwa likiliandama sana shirikisho la soka duniani FIFA.Wiki iliyopita maafisa 10 wa shirikisho hilo walikamatwa na serikali ya Marekani kwa kujihusisha na skendo ya ubadhirifu wa £100m, jambo ambalo lilipelekea wadau mbalimbali kumuomba Rais wa shirikisho hilo Sepp Blatter kujiuzulu. Jerome Valcke
Jerome Valcke Hata hivyo Blatter amegoma kufanya hivyo, lakini ikiwa suala la ubadhirifu wa £100m likiwa bado la moto, leo hii umetolewa ushahidi...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Mla rushwa atamkamataje mtoa rushwa?

‘SIASA’ yaweza kutafsiriwa hivi: shughuli za serikali, wanachama wa asasi za kutunga sheria au watu wanaojaribu kufanya maamuzi kuhusiana na jinsi nchi inavyotawaliwa. Pia mkakati wa kuendesha jambo kwa kutumia...

 

10 years ago

Vijimambo

WAKUU WA TAASISI ZA KUZUIA RUSHWA BARANI AFRIKA WAKUTANA ARUSHA KUANGALIA JINSI WATAKAVYOWEZA KUPAMBANA NA KUFIKIA MALENGO YA KUTOKOMEZA RUSHWA NDANI YA BARA LA AFRICA

SAM_2509Mwenyekiti wa bodi ya ushauri ya kupambana na maswala ya rushwa katika umoja wa Africa kutoka Ghana Mh.Daniel Batidam akizungumza na waandishi wa habari kutoka vyombo mbalimbali vya habari jijini Arusha katika ukumbi wa mikutano AICC katika kuangalia jinsi gani wataweza kupambana na kufikia malengo ya kutokomeza Rushwa ndani ya Bara La Africa.(Habari picha na Pamela Mollel wa jamiiblog)SAM_2498Makamu Mwenyekiti bodi ya ushauri ya kupambana na maswala ya rushwa katika umoja wa Africa Mh.Florince...

 

10 years ago

Vijimambo

WAZUWIA RUSHWA NI WALARUSHWA WAKUBWA!!!! HII INACHEKESHA - NCHI HII IMEKWISHA - RUSHWA TOP TO BOTTOM!!!

Dk Edward Hoseah, Mkurugenzi wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru)Licha Kama hajatawala mwendawazimu mmoja na akawafyeka vitanzi akina Chenge na wenziwe, nchi hii itabakia na rushwa milele! Wamo pia maofisa TRA, mahakimu na majaji Vyombo vya habari vyapongezwa�'vikaze buti'ya Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru), kutakiwa kuzuia rushwa, maofisa wake wametajwa kuwa vinara wa kula rushwa, utafiti umebaini.Aidha, utafiti uliofanywa na Afrobarometer umebaini kuwa...

 

10 years ago

BBCSwahili

Rwanda kuandaa CECAFA

Rwanda imeteuliwa kuandaa fainali za kombe la CECAFA Novemba mwaka huu

 

11 years ago

Mwananchi

Muswada kupinga ushoga

>Mbunge wa Jimbo la Nyamagana, Ezekia Wenje amewasilisha bungeni kusudio la kupeleka muswada wa kukataza na kudhibiti vitendo vya ushoga nchini.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Muswada wa kodi Novemba

SERIKALI imesema italeta bungeni muswada wa Kodi ya Ongezeko la Thamani (VAT) Novemba ili Bunge liweze kuupitisha kuwa sheria. Kauli hiyo ilitolewa bungeni mjini hapa jana na Waziri wa Fedha...

 

10 years ago

Habarileo

Muswada wa petroli wapita

Spika wa Bunge, Anna Makinda.WABUNGE jana walipitisha Muswada wa Sheria ya Petroli wa Mwaka 2015, ambao ni miongoni mwa miswaada ya sekta ya mafuta na gesi iliyokuwa ikipigiwa kelele na wabunge wa upinzani.

 

11 years ago

BBCSwahili

Afrika Kusini kuandaa michezo ya JM

Afrika Kusini kuwasilisha ombi la kuandaa mashindano ya Jumuiya ya madola au Commonwealth mwaka wa 2022

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani