Muswada wa petroli wapita
WABUNGE jana walipitisha Muswada wa Sheria ya Petroli wa Mwaka 2015, ambao ni miongoni mwa miswaada ya sekta ya mafuta na gesi iliyokuwa ikipigiwa kelele na wabunge wa upinzani.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Raia Tanzania10 Jul
Muswada Tume ya Walimu wapita
BUNGE limepitisha Muswada wa Sheria ya Tume ya Walimu ya Mwaka 2015.
Hata hivyo, Kamati ya Bunge ya Huduma za Jamii na baadhi ya wabunge waliwasilisha marekebisho kutuka mishahara ya walimu ilipwe na tume hiyo, ambayo hayakupitishwa.
Muswada huo ulipitishwa jana bungeni mjini Dodoma. Dk. Hamisi Kigwangalla (Nzega –CCM), aliomba mwongozo wa Spika Anne Makinda, akiomba muswada huo usipite kwa kuwa akidi haikuwa imetimia.
Dk. Kigwangalla alisema kanuni za Bunge haziruhusu muswada...
11 years ago
Mwananchi19 Jun
1,281 wapita mchujo wa kazi Uhamiaji
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-CrKJbVPILDw/VZwIkG9lRRI/AAAAAAAHnmU/l7cZ_qeTrMw/s72-c/DSC_0353.jpg)
SHIMO HILI NI HATARI KWA WAPITA NJIA
![](http://3.bp.blogspot.com/-CrKJbVPILDw/VZwIkG9lRRI/AAAAAAAHnmU/l7cZ_qeTrMw/s640/DSC_0353.jpg)
10 years ago
VijimamboMWAKALEBELA, LUKUVI NA MGIMWA WAPITA KWENYE KURA ZA MAONI
![](http://1.bp.blogspot.com/-Dx_PrzJ33Mc/Vb41uWltfFI/AAAAAAAB_a8/zJI3Aw5tbU4/s640/4.jpg)
Jimbo la Iringa Mjini.
Jimbo la Iringa mjini lilikuwa na wagombea 13 ambao ni FredrickMwakalebela ameshinda kwa kura 40388, Jesca...
10 years ago
Mwananchi27 Oct
Harusi za Mbeya lazima ulishe wapita njia eneo lako
11 years ago
GPLAJALI TANDALE; WEZI WAIBA MILANGO, TAA ZA GARI NA KUWAPORA WAPITA NJIA
10 years ago
Vijimambo01 Jul
Petroli haishikiki.
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Felix-01July2015.jpg)
Kuendelea kuporomoka kwa thamani ya shilingi dhidi ya dola ya Marekani kumeendelea kuongeza makali ya maisha baada ya Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) kulazimika kuongeza bei elekezi ya petroli, dizeli na mafuta ya taa kuanzia leo licha ya bidhaa hiyo kushuka bei katika soko la dunia.
Taarifa iliyotolewa na EWURA jijini Dar es Salaam jana ilitaja bei mpya elekezi ya rejareja itakayotumika kuanzia leo Julai 1, 2015 kuwa ni...
10 years ago
Mtanzania12 Jun
Mafuta ya petroli bei juu
SERIKALI imependekeza kuongeza tozo ya mafuta ya petrol na dizeli kutoka Sh 50 kwa lita hadi Sh 100 kwa lita, ikiwa ni ongezeko la Sh 50 kwa lita.
Akizungumzia kuhusu ongezeko hilo wakati akiwasilisha Bajeti ya Serikali ya mwaka 2015/16 bungeni mjini Dodoma jana, Waziri wa Fedha, Saada Mkuya, alisema mafuta ya taa yanapaa kutoka Sh 50 kwa lita hadi Sh 150 kwa lita, ikiwa ni ongezeko la shilingi 100 kwa lita ili kuondoa uwezekano wa kuchakachua.
“Hatua ya kuongeza tozo ya mafuta ya petroli...
10 years ago
Habarileo12 Jun
Kodi ya petroli, dizeli juu
SERIKALI imetangaza kuongeza tozo ya mafuta ya petroli na dizeli ili fedha zitakazopatikana, zikatunishe mfuko wa kusambaza nishati vijijini.