Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Muswada Tume ya Walimu wapita

BUNGE limepitisha Muswada wa  Sheria ya Tume ya Walimu ya Mwaka 2015.

Hata hivyo, Kamati ya Bunge ya Huduma za Jamii na baadhi ya wabunge waliwasilisha marekebisho kutuka mishahara ya walimu ilipwe na tume hiyo, ambayo hayakupitishwa.

Muswada huo ulipitishwa jana bungeni mjini Dodoma. Dk. Hamisi Kigwangalla (Nzega –CCM), aliomba mwongozo wa Spika Anne Makinda, akiomba muswada huo usipite kwa kuwa akidi haikuwa imetimia.

Dk. Kigwangalla alisema kanuni za Bunge haziruhusu muswada...

Raia Tanzania

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Muswada wa petroli wapita

Spika wa Bunge, Anna Makinda.WABUNGE jana walipitisha Muswada wa Sheria ya Petroli wa Mwaka 2015, ambao ni miongoni mwa miswaada ya sekta ya mafuta na gesi iliyokuwa ikipigiwa kelele na wabunge wa upinzani.

 

5 years ago

Michuzi

JAFO AITAKA TUME YA UTUMISHI WA WALIMU KUTATUA CHANGAMOTO ZA WALIMU NCHINI

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais- TAMISEMI, Selemani Jafo ameutaka uongozi mpya wa Tume ya Utumishi wa Walimu kutatua changamoto za walimu ili kuwatia moyo katika kutimiza majukumu yao.

Kauli hiyo ameitoa jijini Dodoma wakati wa kuapishwa wajumbe wa Tume ya Utumishi wa Walimu .

Jafo amesema kuwa Tume hiyo ndani ya wiki moja ikafanyie kazi mashauri ya rufaa 110 ili walimu waweze kutekeleza majukumu yao katika ubora unaohitajika.

Akizungumza amesema kuwa Tume inatakiwa kufanya kazi kwa weledi wa hali...

 

11 years ago

Habarileo

Walimu kuundiwa Tume

WAZIRI Mkuu, Mizengo Pinda, ametangaza uamuzi wa Serikali wa kuunda Tume ya Elimu, itakayoshughulika na ajira na nidhamu ya walimu, kukabili changamoto zinazowakabili walimu nchini.

 

10 years ago

Habarileo

Tume ya Walimu kuanza kazi Julai

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Celina Kombani.SERIKALI imesema Tume ya Utumishi wa Walimu itaanza kazi Julai mwaka huu na kuhudumia walimu katika masuala mbalimbali huku muundo wa utumishi wa tume hiyo umehusisha ngazi za chini na juu.

 

10 years ago

Habarileo

Oluoch ataka Tume ya Utumishi wa Walimu katiba mpya

MJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba, Ezekiah Oluoch ameshawishi wajumbe wenzake kuhakikisha Tume ya Utumishi wa Walimu, inaundwa na inatambuliwa na Katiba mpya.

 

11 years ago

Mwananchi

1,281 wapita mchujo wa kazi Uhamiaji

Watu 1,281 wamepita katika mchujo wa awali kati ya zaidi ya 10,800 waliojitokeza kwenye usaili wa kuwania nafasi 70 za ajira kwenye Idara ya Uhamiaji, kwa mujibu wa taarifa ya Idara ya Uhamiaji.

 

10 years ago

Michuzi

SHIMO HILI NI HATARI KWA WAPITA NJIA

Wakazi wa mtaa wa Togo Kinondoni Jiji Dar es Salaam wakikatiza kando kando ya Shimo kama lionekanavyo pichani,hali ambayo ni hatari  hasa kwa wapita njia

 

10 years ago

Vijimambo

MWAKALEBELA, LUKUVI NA MGIMWA WAPITA KWENYE KURA ZA MAONI

MKUU wa wilaya ya Wanging’ombe, Frederick Mwakalebela ameibuka kidedea katika kura za maoni za kutafuta kuteuliwa kugombea ubunge jimbo la Iringa Mjini kwa kuwabwaga vibaya washindani wenzake 12. (Picha na Friday Simbaya)Iringa: ZOEZI la kuhesabu kura za kuwania ubunge kwa tiketi ya chama cha mapinduzi CCM Mkoa wa Iringa kwa majimbo matatu limeendelea vizuri.
Jimbo la Iringa Mjini.
Jimbo la Iringa mjini lilikuwa na wagombea 13 ambao ni FredrickMwakalebela ameshinda kwa kura 40388, Jesca...

 

10 years ago

Mwananchi

Harusi za Mbeya lazima ulishe wapita njia eneo lako

Ama kweli duniani kuna mambo. Sikutarajia kuona gharama kubwa zaidi za harusi kwenye eneo masikini.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani