Muswada Tume ya Walimu wapita
BUNGE limepitisha Muswada wa Sheria ya Tume ya Walimu ya Mwaka 2015.
Hata hivyo, Kamati ya Bunge ya Huduma za Jamii na baadhi ya wabunge waliwasilisha marekebisho kutuka mishahara ya walimu ilipwe na tume hiyo, ambayo hayakupitishwa.
Muswada huo ulipitishwa jana bungeni mjini Dodoma. Dk. Hamisi Kigwangalla (Nzega –CCM), aliomba mwongozo wa Spika Anne Makinda, akiomba muswada huo usipite kwa kuwa akidi haikuwa imetimia.
Dk. Kigwangalla alisema kanuni za Bunge haziruhusu muswada...
Raia Tanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo06 Jul
Muswada wa petroli wapita
WABUNGE jana walipitisha Muswada wa Sheria ya Petroli wa Mwaka 2015, ambao ni miongoni mwa miswaada ya sekta ya mafuta na gesi iliyokuwa ikipigiwa kelele na wabunge wa upinzani.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-NeZSb8inmZg/XsNwbcdl5GI/AAAAAAALqtU/fB7I1rBmzecoLfLGFJIJnH212rT3ZKKxwCLcBGAsYHQ/s72-c/873cfe13-d758-4251-8b9e-f44638d623d6.jpg)
JAFO AITAKA TUME YA UTUMISHI WA WALIMU KUTATUA CHANGAMOTO ZA WALIMU NCHINI
Kauli hiyo ameitoa jijini Dodoma wakati wa kuapishwa wajumbe wa Tume ya Utumishi wa Walimu .
Jafo amesema kuwa Tume hiyo ndani ya wiki moja ikafanyie kazi mashauri ya rufaa 110 ili walimu waweze kutekeleza majukumu yao katika ubora unaohitajika.
Akizungumza amesema kuwa Tume inatakiwa kufanya kazi kwa weledi wa hali...
11 years ago
Habarileo20 Jun
Walimu kuundiwa Tume
WAZIRI Mkuu, Mizengo Pinda, ametangaza uamuzi wa Serikali wa kuunda Tume ya Elimu, itakayoshughulika na ajira na nidhamu ya walimu, kukabili changamoto zinazowakabili walimu nchini.
10 years ago
Habarileo08 Feb
Tume ya Walimu kuanza kazi Julai
SERIKALI imesema Tume ya Utumishi wa Walimu itaanza kazi Julai mwaka huu na kuhudumia walimu katika masuala mbalimbali huku muundo wa utumishi wa tume hiyo umehusisha ngazi za chini na juu.
10 years ago
Habarileo13 Sep
Oluoch ataka Tume ya Utumishi wa Walimu katiba mpya
MJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba, Ezekiah Oluoch ameshawishi wajumbe wenzake kuhakikisha Tume ya Utumishi wa Walimu, inaundwa na inatambuliwa na Katiba mpya.
11 years ago
Mwananchi19 Jun
1,281 wapita mchujo wa kazi Uhamiaji
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-CrKJbVPILDw/VZwIkG9lRRI/AAAAAAAHnmU/l7cZ_qeTrMw/s72-c/DSC_0353.jpg)
SHIMO HILI NI HATARI KWA WAPITA NJIA
![](http://3.bp.blogspot.com/-CrKJbVPILDw/VZwIkG9lRRI/AAAAAAAHnmU/l7cZ_qeTrMw/s640/DSC_0353.jpg)
10 years ago
VijimamboMWAKALEBELA, LUKUVI NA MGIMWA WAPITA KWENYE KURA ZA MAONI
![](http://1.bp.blogspot.com/-Dx_PrzJ33Mc/Vb41uWltfFI/AAAAAAAB_a8/zJI3Aw5tbU4/s640/4.jpg)
Jimbo la Iringa Mjini.
Jimbo la Iringa mjini lilikuwa na wagombea 13 ambao ni FredrickMwakalebela ameshinda kwa kura 40388, Jesca...
10 years ago
Mwananchi27 Oct
Harusi za Mbeya lazima ulishe wapita njia eneo lako