Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Petroli haishikiki.

Mkurugenzi Mkuu wa Ewura, Felix Ngamlagosi.
Kuendelea kuporomoka kwa thamani ya shilingi dhidi ya dola ya Marekani kumeendelea kuongeza makali ya maisha baada ya Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) kulazimika kuongeza bei elekezi ya petroli, dizeli na mafuta ya taa kuanzia leo licha ya bidhaa hiyo kushuka bei katika soko la dunia.

Taarifa iliyotolewa na EWURA jijini Dar es Salaam jana ilitaja bei mpya elekezi ya rejareja itakayotumika kuanzia leo Julai 1, 2015 kuwa ni...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Chelsea haishikiki Ligi Kuu England

Timu ya Chelsea imeendeleza dhamira yake ya kutwaa ubingwa wa ligi kuu ya England kwa kuirarua Tottenham 3-0

 

10 years ago

Vijimambo

Kwa mpango huu, Yanga itakuwa haishikiki kwa Utajiri

KATIBU Mkuu wa Klabu ya Yanga, Dr. Jonas Tiboroa akizungumza na waandishi wa habari, Dar es Salaam, kulia ni Mkuu wa kitengo cha habari na Mawasiliano wa Yanga, Jerry Muro.
Na. Richard Bakana, Dar Es Salaam
Kwa miaka mingi sasa klabu Kongwe za Simba na Yanga zimekuwa zikiibiwa bila kujua zinapoteza mamilioni ya pesa kila mwaka kupitia uuzwaji wa jezi zenye nembo ya klabu yao (Logo), Lakini kama kweli mpango huu hautaishia midomo tu basi Yanga itakuja kuwa bonge la Timu Tajiri Tanzania kupitia...

 

10 years ago

Habarileo

Muswada wa petroli wapita

Spika wa Bunge, Anna Makinda.WABUNGE jana walipitisha Muswada wa Sheria ya Petroli wa Mwaka 2015, ambao ni miongoni mwa miswaada ya sekta ya mafuta na gesi iliyokuwa ikipigiwa kelele na wabunge wa upinzani.

 

9 years ago

Mwananchi

Bei ya petroli, dizeli yashuka

Bei ya mafuta ya taa, petroli na dizeli zimeshuka kuanzia leo. Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (Ewura) imetangaza jana kuwa bei za rejareja zimepungua kwa Sh79 kwa lita ya petroli sawa na asilimia 4.01, dizeli Sh76 kwa lita sawa na asilimia 4.20 na mafuta ya taa Sh66 kwa lita sawa na asilimia 3.73.

 

10 years ago

Mwananchi

Majeruhi wa moto wa petroli wasimulia

Wakati mtu mmoja kati ya majeruhi walioungua moto juzi kutokana na mlipuko wa lori la petroli akifariki dunia na kufanya waliopoteza maisha kufikia watano, majeruhi wawili jana wamesimulia jinsi mkasa huo ulivyowakuta.

 

10 years ago

Mwananchi

Bei ya Petroli yazidi kupaa

Dar es Salaam. Bei ya petroli imeendelea kushika kasi ya kupanda tangu ilipopungua kwa kiasi kikubwa mwezi Februari baada ya Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (Ewura) kutangaza ongezeko la Sh111 wakati dizeli ikipanda kwa Sh23.

 

10 years ago

Habarileo

Kodi ya petroli, dizeli juu

Mauzo ya mafuta kabla ya bajeti ya mwaka huu. Kwa mujibu wa bajeti ya mwaka huu mafuta ya taa ndio yatakuwa ghali zaidi kuliko yote.SERIKALI imetangaza kuongeza tozo ya mafuta ya petroli na dizeli ili fedha zitakazopatikana, zikatunishe mfuko wa kusambaza nishati vijijini.

 

10 years ago

GPL

MJANE ALIPULIWA KWA PETROLI

Stori: Haruni Sanchawa  na Makongoro Oging’ MAMA mmoja mjane, Mwajuma Hamisi Lissu (42) ameteketea kwa moto baada ya nyumba aliyokuwa amelala eneo la Kibamba Hondogo A maarufu Miti Mirefu jijini Dar es Salaam, kulipuliwa kwa petroli usiku wa  Agosti 24, mwaka  huu. Marehemu Mwajuma Hamisi Lissu Enzi za uhai wake. Tukio hilo la kusikitisha inadaiwa linahusishwa  na ugomvi baada ya mama  huyo kuachana na...

 

10 years ago

Mtanzania

Mafuta ya petroli bei juu

SERIKALI imependekeza kuongeza tozo ya mafuta ya petrol na dizeli kutoka Sh 50 kwa lita hadi Sh 100 kwa lita, ikiwa ni ongezeko la Sh 50 kwa lita.
Akizungumzia kuhusu ongezeko hilo wakati akiwasilisha Bajeti ya Serikali ya mwaka 2015/16 bungeni mjini Dodoma jana, Waziri wa Fedha, Saada Mkuya, alisema mafuta ya taa yanapaa kutoka Sh 50 kwa lita hadi Sh 150 kwa lita, ikiwa ni ongezeko la shilingi 100 kwa lita ili kuondoa uwezekano wa kuchakachua.
“Hatua ya kuongeza tozo ya mafuta ya petroli...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani