Muswada kupinga ushoga
>Mbunge wa Jimbo la Nyamagana, Ezekia Wenje amewasilisha bungeni kusudio la kupeleka muswada wa kukataza na kudhibiti vitendo vya ushoga nchini.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo05 Jan
MEMBE APONGEZA ANGLIKANA KUPINGA USHOGA
10 years ago
MichuziMEMBE APONGEZA KANISA LA ANGLIKANA KUPINGA USHOGA
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Bernard Membe, amelipongeza Kanisa la Anglikana Tanzania kwa kusimama kidete kupinga ndoa za jinsia moja, hata pale makanisa mengine ya Anglikana duniani yalipounga mkono suala hilo.Akizindua sherehe za Miaka Hamsini tangu kuanzishwa kwa Dayosisi ya Dar es Salaam ya Kanisa hilo jana, Mhe. Membe alisema msimamo huo wa Kanisa na Watanzania uliipa serikali nguvu kukataa shinikizom kutoka nchi za Magharibi kwamba iidhinishe ushoga hapa...
10 years ago
Mwananchi27 May
Moat yatuma timu bungeni kupinga muswada wa habari
>Chama cha Wamiliki wa vyombo vya Habari Tanzania (Moat) kimeunda timu maalumu itakayokwenda bungeni Dodoma kuwashawishi wabunge wasiupitishe muswada wa sheria wa vyombo vya habari baada ya kubaini umejaa kasoro.
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-XS0VdRDz2qA/U2NPpWh4jmI/AAAAAAAFe2A/IyWNMyNtB7c/s72-c/unnamed.png)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/yl8XiM-qOZbU7afPnaG4t12G-qjcGayCeOBsixNEqQj1tOx6nStnvEFK9Lj-MIyOMCqEB-wGgxOik00Zwbmigvn1BARlFZ-z/diamond.jpg?width=650)
DIAMOND ATAMANI USHOGA!
NYOTA wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ amewashangaza watu kufuatia kuvaa wigi (nywele bandia) la mpenzi wake, Wema Isaac Sepetu, kitendo kilichotafsiriwa kuwa ni dalili ya kutamani mambo ya ushoga. Diamond alinaswa akiwa amevaa wigi hilo kichwani kisha kupiga nalo picha. ILIVYOKUWA
Hivi karibuni, Diamond alinaswa akiwa amevaa wigi hilo kichwani kisha kupiga nalo picha huku Wema akilitafuta ili...
9 years ago
Mwananchi21 Aug
Kinachochochea ushoga kijamii
Ukifanya utafiti katika jamii mbalimbali duniani utabaini kuwa suala la ushoga linaongezeka kwa kasi.
11 years ago
Habarileo10 Apr
NGO ya ushoga yafutwa
WIZARA ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto imelifutia usajili Shirika la Tanzania Sisi kwa Sisi Foundation (TSSF), kwa tuhuma ya kujihusisha na kuhamasisha ushoga nchini.
11 years ago
Mwananchi17 Feb
Maaskofu wakataa ushoga Uingereza
>Maaskofu wakuu nchini Uingereza wamewaambia viongozi wa dini kwamba hawataruhusiwa kuingia katika ndoa za jinsia moja.
11 years ago
BBCSwahili15 Jan
Washukiwa wa Ushoga matatani Nigeria
Wanaume 11 wanaoshukiwa kushiriki mapenzi ya jinsia moja wamefikishwa katika mahakama ya kiisilamu Kaskazini mwa nchi
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania