MEMBE APONGEZA ANGLIKANA KUPINGA USHOGA
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Mhe. Bernard Kamillius Membe akizindua sherehe ya miaka 50 ya Kanisa la Anglikana Dayosisi ya Dar es salaam, katika Kanisa Kuu la Mtakatifu Albano, jijini Dar es salaam jana Jumapili, Januari 4, 2015, akishuhudiwa na Dk. Valentine Mokiwa, Askofu wa Dayosisi ya Dar es Salaam.
Waziri Membe akizungumza katika sherehe hiyo
Wachungaji wakimsikiliza Mheshimiwa Membe kwa makini wakati akiongea.
Masista nao wakifuatilia
Askofu Mokiwa akitoa...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziMEMBE APONGEZA KANISA LA ANGLIKANA KUPINGA USHOGA
10 years ago
Habarileo05 Jan
Membe apongeza Kanisa Anglikana
WAZIRI wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe amelipongeza Kanisa la Anglikana nchini kwa kusimama kidete bila hofu kupinga ndoa za jinsia moja, hata pale makanisa mengine ya Anglikana duniani, yalipoamua kufanya hivyo.
11 years ago
Mwananchi21 Mar
Muswada kupinga ushoga
10 years ago
VijimamboWaziri Membe akiwa katika uzinduzi wa miaka 50 ya Anglikana dayosis ya Dar es salaa
11 years ago
Habarileo30 Jun
Membe apongeza Kanisa Katoliki
KANISA Katoliki limepongezwa kwa kusaidia nchi kudumisha amani na utulivu kwa njia ya sala na kauli za huruma juu ya uvumilivu wa kidini.
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-5UghBPVk7Jk/VKl06cG6-1I/AAAAAAAG7Pk/xy171pLLWJU/s72-c/Bernard-Membe.jpg)
HOTUBA YA MHESHIMIWA BERNARD MEMBE KWENYE MAADHIMISHO YA MIAKA 50 YA KANISA ANGLIKANA, DAYOSISI YA DAR ES SALAAM LEO
![](http://2.bp.blogspot.com/-5UghBPVk7Jk/VKl06cG6-1I/AAAAAAAG7Pk/xy171pLLWJU/s1600/Bernard-Membe.jpg)
11 years ago
Habarileo21 Feb
Membe apongeza CCM kuadhibu wasaka urais
WAZIRI wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe, amepongeza hatua ya CCM kumpa onyo kali na kumweka chini ya uangalizi kwa mwaka mmoja, kutokana na kubainika kuanza kampeni za urais kabla ya muda. Membe aliyeelezea sababu za kutokea kwa utovu huo wa nidhamu, amesifu utaratibu huo wa CCM kuadhibu makada wake kuwa ni sahihi na mfumo mzuri wa kutengeneza nidhamu ndani ya chama.
11 years ago
Mwananchi21 Feb
Membe apongeza Kamati Kuu CCM kwa kuwatia ‘kifungoni’
10 years ago
Tanzania Daima08 Dec
Wastaafu Anglikana kupewa pensheni
KANISA la Anglikana Dayosisi ya Tanga, limeanzisha mfuko wa malipo ya uzeeni (pensheni), kwa watumishi wake yatakayowasidia baada ya kustaafu. Hayo yalisemwa na Askofu wa Kanisa hilo, Mahimbo Mndolwa alipozungumza...