Waziri Membe akiwa katika uzinduzi wa miaka 50 ya Anglikana dayosis ya Dar es salaa
Maadhimisho ya Miaka 50 ya Anglikana Dayosis ya Dar es salaam iliyofanyika katika Kanisa la Mt. Albano, jijini Dar es salaam.
Mhe. Bernard Membe akifuatilia Ibada ya miaka 50 ya Angligana Dayosis ya Dar es Salam siku ya Jumapili Januari 4, 2015
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-5UghBPVk7Jk/VKl06cG6-1I/AAAAAAAG7Pk/xy171pLLWJU/s72-c/Bernard-Membe.jpg)
HOTUBA YA MHESHIMIWA BERNARD MEMBE KWENYE MAADHIMISHO YA MIAKA 50 YA KANISA ANGLIKANA, DAYOSISI YA DAR ES SALAAM LEO
![](http://2.bp.blogspot.com/-5UghBPVk7Jk/VKl06cG6-1I/AAAAAAAG7Pk/xy171pLLWJU/s1600/Bernard-Membe.jpg)
10 years ago
Habarileo03 Jan
Anglikana Dar kesho kuzindua maadhimisho ya miaka 50
KANISA la Anglikana Tanzania, Dayosisi ya Dar es Salaam, kesho linatarajia kuzindua maadhimisho ya miaka 50 ya Dayosisi hiyo ya utoaji huduma za kiroho, kiuchumi na kijamii yatakayokwenda sambamba na shughuli mbalimbali yakiwemo makongamano yatakayohusisha makundi mbalimbali.
10 years ago
Habarileo05 Jan
Membe apongeza Kanisa Anglikana
WAZIRI wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe amelipongeza Kanisa la Anglikana nchini kwa kusimama kidete bila hofu kupinga ndoa za jinsia moja, hata pale makanisa mengine ya Anglikana duniani, yalipoamua kufanya hivyo.
10 years ago
Vijimambo05 Jan
MEMBE APONGEZA ANGLIKANA KUPINGA USHOGA
10 years ago
MichuziMEMBE APONGEZA KANISA LA ANGLIKANA KUPINGA USHOGA
10 years ago
MichuziWAZIRI MEMBE MGENI RASMI MAADHIMISHO YA MIAKA 25 YA UHURU WA NAMIBIA
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-tNMlTIGrs4w/VH8oRl_6SgI/AAAAAAAG0-4/38cumNMz0_c/s72-c/unnamed%2B(40).jpg)
Waziri wa Maliasili na Utalii akiwa katika mikoa ya Arusha na Kilimanjaro
![](http://2.bp.blogspot.com/-tNMlTIGrs4w/VH8oRl_6SgI/AAAAAAAG0-4/38cumNMz0_c/s1600/unnamed%2B(40).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-SUsbMZ53kN8/VH8oRb7BKiI/AAAAAAAG0-0/b0d45cVtgpQ/s1600/unnamed%2B(41).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-YIC1HwD0kAM/VH8oRaiDWdI/AAAAAAAG0-w/u8XhwEeHC8E/s1600/unnamed%2B(42).jpg)
10 years ago
Vijimambo21 Apr
Waziri Membe: Hakuna Mtanzania katika mauaji ya Wageni Afrika Kusini