Wastaafu Anglikana kupewa pensheni
KANISA la Anglikana Dayosisi ya Tanga, limeanzisha mfuko wa malipo ya uzeeni (pensheni), kwa watumishi wake yatakayowasidia baada ya kustaafu. Hayo yalisemwa na Askofu wa Kanisa hilo, Mahimbo Mndolwa alipozungumza...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima09 Aug
Mafao ya pensheni ya wastaafu juu
KILIO cha muda mrefu cha wastaafu kutofautina mafao ya pensheni katika Mifuko ya Hifadhi ya Jamii, sasa kimepatiwa majibu baada ya Serikali kuamua kuanzisha fomula mpya ya kukokotoa. Fomula hiyo mpya...
11 years ago
Habarileo09 Aug
Wastaafu serikalini kupata pensheni haraka
WASTAAFU wanaotegemea pensheni inayotolewa na Hazina ama wanufaika wa mirathi ya waliokuwa wafanyakazi wa serikali, wakitoa taarifa mapema na kutunza kumbukumbu muhimu watapata haraka malipo yao.
10 years ago
Mwananchi12 Jan
Wastaafu Mwenge kupewa maeneo
10 years ago
Habarileo05 Nov
Wastaafu wafanya vurugu kushinikiza pensheni zao
WASTAAFU kutoka taasisi mbalimbali za Serikali, walifanya vurugu katika ofisi ya Wizara ya Fedha (Hazina) juzi baada ya kutolipwa pensheni zao za Oktoba na kushinikiza wapatiwe stahiki zao kwa wakati.
10 years ago
Habarileo04 Feb
Mbunge ataka pensheni kuongezwa kwa wastaafu
MBUNGE wa Mbeya Vijijini, Mchungaji Luckson Mwanjale (CCM), ameitaka Serikali kuongeza kiwango cha pensheni kwa wastaafu kwani kiwango wanacholipwa hivi sasa ni kidogo na hakikidhi mahitaji yao.
10 years ago
Dewji Blog17 Aug
CWT Singida yapinga rasimu ya Wizara ya kazi na ajira juu ya kuimarisha Mifuko ya Hifadhi za Jamii na kuboresha Viwango vya Mafao ya Pensheni kwa Wastaafu
Mwenyekiti wa CWT Mkoa wa Singida Aran Jumbe, akizungumza na waandishi wa habari kwenye ofisi za chama hicho kuhusiana na tamko la chama juu ya kupinga rasimu ya Wizara ya kazi na ajira juu ya kuimarisha Mifuko ya Hifadhi za Jamii na kuboresha Viwango vya Mafao ya Pensheni kwa Wastaafu.
Na Hillary Shoo, SINGIDA.
Chama cha Walimu CWT kimetoa tamko la kupinga rasimu ya Wizara ya kazi na ajira juu ya kuimarisha Mifuko ya Hifadhi ya Jamii na kuboresha Viwango vya Mafao ya Pensheni kwa...
10 years ago
BBCSwahili01 May
Anglikana kukabiliana na hewa ya Carbon
10 years ago
Tanzania Daima11 Oct
Chilongani awa askofu Anglikana
KANISA la Anglikana Dayosisi ya Central Tanganyika (Dodoma), limemchagua Mchungaji Dk. Dickson Chilongani kuwa Askofu wa sita wa Dayosisi hiyo katika mkutano Maalum. Dk .Chilongani amechaguliwa kufuatia kifo cha aliyekuwa...
10 years ago
Habarileo05 Jan
Membe apongeza Kanisa Anglikana
WAZIRI wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe amelipongeza Kanisa la Anglikana nchini kwa kusimama kidete bila hofu kupinga ndoa za jinsia moja, hata pale makanisa mengine ya Anglikana duniani, yalipoamua kufanya hivyo.