Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mbunge ataka pensheni kuongezwa kwa wastaafu

Mbunge wa Mbeya Vijijini, Mchungaji Luckson MwanjaleMBUNGE wa Mbeya Vijijini, Mchungaji Luckson Mwanjale (CCM), ameitaka Serikali kuongeza kiwango cha pensheni kwa wastaafu kwani kiwango wanacholipwa hivi sasa ni kidogo na hakikidhi mahitaji yao.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Pensheni kuongezwa mwaka ujao wa fedha

Janeth MbeneWIZARA ya Fedha, inaangalia uwezekano wa kuongeza viwango vya pensheni katika mwaka wa fedha 2014/2015, ili kupunguza ukali na ugumu wa maisha kwa wastaafu.

 

10 years ago

Dewji Blog

CWT Singida yapinga rasimu ya Wizara ya kazi na ajira juu ya kuimarisha Mifuko ya Hifadhi za Jamii na kuboresha Viwango vya Mafao ya Pensheni kwa Wastaafu

jumbe

Mwenyekiti wa CWT Mkoa wa Singida Aran Jumbe, akizungumza na waandishi wa habari kwenye ofisi za chama hicho kuhusiana na tamko la chama juu ya kupinga rasimu ya Wizara ya kazi na ajira juu ya kuimarisha Mifuko ya Hifadhi za Jamii na kuboresha Viwango vya Mafao ya Pensheni kwa Wastaafu.

Na Hillary Shoo, SINGIDA.

Chama cha Walimu CWT  kimetoa tamko la kupinga  rasimu ya Wizara ya kazi na ajira juu ya kuimarisha Mifuko ya Hifadhi ya Jamii na kuboresha Viwango vya Mafao ya Pensheni kwa...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Wastaafu Anglikana kupewa pensheni

KANISA la Anglikana Dayosisi ya Tanga, limeanzisha mfuko wa malipo ya uzeeni (pensheni), kwa watumishi wake yatakayowasidia baada ya kustaafu. Hayo yalisemwa na Askofu wa Kanisa hilo, Mahimbo Mndolwa alipozungumza...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mafao ya pensheni ya wastaafu juu

KILIO cha muda mrefu cha wastaafu kutofautina mafao ya pensheni  katika Mifuko ya Hifadhi ya Jamii, sasa kimepatiwa majibu baada ya Serikali kuamua kuanzisha fomula mpya ya kukokotoa. Fomula hiyo mpya...

 

11 years ago

Habarileo

Wastaafu serikalini kupata pensheni haraka

WASTAAFU wanaotegemea pensheni inayotolewa na Hazina ama wanufaika wa mirathi ya waliokuwa wafanyakazi wa serikali, wakitoa taarifa mapema na kutunza kumbukumbu muhimu watapata haraka malipo yao.

 

10 years ago

Habarileo

Wastaafu wafanya vurugu kushinikiza pensheni zao

WASTAAFU kutoka taasisi mbalimbali za Serikali, walifanya vurugu katika ofisi ya Wizara ya Fedha (Hazina) juzi baada ya kutolipwa pensheni zao za Oktoba na kushinikiza wapatiwe stahiki zao kwa wakati.

 

11 years ago

Mwananchi

Mbunge Mnyika ataka kusitishwa kwa uwindaji

>Mbunge wa Ubungo, Dar es Salaam, John Mnyika amependekeza kusitishwa kwa muda kwa uwindaji wa tembo nchini kama njia muhimu ya kupambana na vitendo vya ujangili.

 

11 years ago

Habarileo

Mbunge ataka Wizara Maalumu kwa walimu

MBUNGE wa Viti Maalumu, Ester Bulaya (CCM), ameiomba Serikali iangalie uwezekano wa kuunda Wizara Maalum itakayoshughulikia masuala ya walimu, kuliko ilivyo sasa ambapo walimu hawana wizara yao maalum. Katika swali lake la nyongeza Bulaya alitaka kujua ni kwanini hadi sasa Serikali haijaona umuhimu wa kufanya hivyo.

 

10 years ago

Mwananchi

Bunge kuongezwa kwa siku 10 kujadili miswada

Dodoma/Arusha. Bunge la Bajeti lililokuwa livunjwe Juni 27, mwaka huu litaongezwa siku 10 ili kutoa nafasi ya kujadiliwa kwa miswada takriban 10 kinyume na historia yake.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani