Kinachochochea ushoga kijamii
Ukifanya utafiti katika jamii mbalimbali duniani utabaini kuwa suala la ushoga linaongezeka kwa kasi.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi21 Mar
Muswada kupinga ushoga
11 years ago
Habarileo10 Apr
NGO ya ushoga yafutwa
WIZARA ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto imelifutia usajili Shirika la Tanzania Sisi kwa Sisi Foundation (TSSF), kwa tuhuma ya kujihusisha na kuhamasisha ushoga nchini.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/yl8XiM-qOZbU7afPnaG4t12G-qjcGayCeOBsixNEqQj1tOx6nStnvEFK9Lj-MIyOMCqEB-wGgxOik00Zwbmigvn1BARlFZ-z/diamond.jpg?width=650)
DIAMOND ATAMANI USHOGA!
10 years ago
BBCSwahili17 Oct
Makasisi wanaounga mkono ushoga
11 years ago
Mtanzania02 Aug
Mahakama yaruhusu ushoga Uganda
![Rais wa Uganda, Yoweri Museveni](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/08/Yoweri-Museveni.jpg)
Rais wa Uganda, Yoweri Museveni
KAMPALA, Uganda
MAHAKAMA ya Kikatiba nchini Uganda imefutilia mbali sheria dhidi ya wapenzi wa jinsia moja, ambayo ilisababisha mataifa kadhaa ya magharibi kuinyima misaada.
Sheria hiyo ilizua mjadala si tu nchini Uganda bali kote duniani, kiasi cha kuyafanya mataifa ya magharibi yalazimike kuingilia kati.
Mahakama ilisema muswada uliopitishwa kabla ya kuidhinishwa na rais kuwa sheria ulipitishwa na wabunge ambao idadi yao haikutosha kuupitisha na kwa hivyo...
11 years ago
Tanzania Daima27 Feb
Ushoga washika kasi nchini
WAKATI Uganda imepitisha sheria ya kuzuia mapenzi ya jinsia moja, hapa nchini hali ni mbaya zaidi kutokana na kuwepo kwa asilimia kubwa ya watu wanaojihusisha na ushoga. Kwa mujibu wa...
11 years ago
Tanzania Daima28 Feb
Ushoga wawatisha wajumbe wa Katiba
WAKATI Rais wa Uganda , Yoweri Museveni, akikataa nchi hiyo kuruhusu mapenzi ya jinsia moja, Bunge Maalumu la Katiba jana lilitawaliwa na mjadala huo. Aliyeliibua mjadala huo ni Asha Bakari...
11 years ago
Mwananchi08 Mar
Kenya wataka sheria ya ushoga
11 years ago
BBCSwahili15 Jan
Washukiwa wa Ushoga matatani Nigeria