Arsenal kumnunua Wanyama na Mitrovic
Arsene Wenger anapanga kumnunua kiungo wa kati wa Southampton Mkenya Victor Wanyama na mshambuliaji wa Anderlecht Aleksandr Mitrovic
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog07 Dec
Pires amwagia sifa Wanyama, asema ana sifa zote za kucheza Arsenal
Robert Pires.
Na Rabi Hume, Modewjiblog
Mchezaji wa zamani wa Arsenal, Robert Pires amemsifia mchezaji wa timu ya taifa ya Kenya na Southampton, Victor Wanyama na kuwa ana sifa za kucheza Arsenal kutokana na ubora alionao.
Pires aliulizwa na mwandishi wa habari wa Kenya kuhusu uwezo wa Wanyama na kusema kuwa amekuwa akimwangalia mchezaji huyo na anamwona kama mchezaji mwenye uwezo mzuri ambao kama akiongeza juhudi anaweza katika ubora wa wachezaji bora wa dunia.
“Namjua Wanyama, ni balozi...
11 years ago
BBCSwahili07 Jul
Liverpool kumnunua Origi na Markovic
10 years ago
BBCSwahili12 Jun
Ombi la kumnunua Sterling lakataliwa
10 years ago
BBCSwahili01 Sep
Man U yapiku vilabu kumnunua Falcao
10 years ago
BBCSwahili17 Jun
Man City yatoa milioni 35m kumnunua Sterling
10 years ago
Vijimambo04 Oct
UBABAISHAJI WA VIONGOZI WA TIMU ZA TANZANIA UNAWEZAJE KUMNUNUA MCHEZAJI KWA PESA NYINGI BILA KUPIMWA NA KUJUA KAMA ANATATIZO KABLA YA KUSAJILIWA?
![](http://api.ning.com/files/zLSzH-96bg-u5273lvDsNZSzcae-D0mzyTu5mRa6b1LS3LOcdWrk27IrZlHbpW6-JnnWm*g2W4wYkSnEUQHj9cgBn9sTmNOL/KIONGERA1.jpg?width=650)
Daktari huyo amesema kama Kiongera amekuwa na ugonjwa sugu wa goti, ni nadra kama atanusurika kufanyia upasuaji.
“Ugonjwa wa goti una mambo mengi, siwezi kusema kila kitu kwa kuwa majibu ya tatizo la Kiongera sijayaona.“Kama ni ugonjwa sugu, asilimia kubwa ni upasuaji na mara nyingi inakuwa ni nje ya nchi,” alisema daktari huyo bingwa.
“Lakini bado inawezekana hata hapa nyumbani ingawa mara nyingi watu hukwepa tu gharama lakini nje ni sahihi,”...
5 years ago
BBC24 Feb
Arsenal 3-2 Everton: Aubameyang nets twice as Arsenal beat Everton in thriller
10 years ago
BBC![](http://news.bbcimg.co.uk/media/images/80279000/jpg/_80279746_victorwanyama.jpg)
Wanyama 'could be out for weeks'
10 years ago
BBCSwahili17 Jun