Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Arsenal kumnunua Wanyama na Mitrovic

Arsene Wenger anapanga kumnunua kiungo wa kati wa Southampton Mkenya Victor Wanyama na mshambuliaji wa Anderlecht Aleksandr Mitrovic

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Dewji Blog

Pires amwagia sifa Wanyama, asema ana sifa zote za kucheza Arsenal

robert-pires_3068381k

Robert Pires.

Na Rabi Hume, Modewjiblog

Mchezaji wa zamani wa Arsenal, Robert Pires amemsifia mchezaji wa timu ya taifa ya Kenya na Southampton, Victor Wanyama na kuwa ana sifa za kucheza Arsenal kutokana na ubora alionao.

Pires aliulizwa na mwandishi wa habari wa Kenya kuhusu uwezo wa Wanyama na kusema kuwa amekuwa akimwangalia mchezaji huyo na anamwona kama mchezaji mwenye uwezo mzuri ambao kama akiongeza juhudi anaweza katika ubora wa wachezaji bora wa dunia.

“Namjua Wanyama, ni balozi...

 

11 years ago

BBCSwahili

Liverpool kumnunua Origi na Markovic

Liverpool imekubaliana na Lille kumsajili Origi na Markovic kabla ya kushiriki ligi ya mabingwa

 

10 years ago

BBCSwahili

Ombi la kumnunua Sterling lakataliwa

Liverpool imekataa ombi la kitita cha pauni milioni 25 na nyongeza ya pauni milioni 5 kutoka kwa Manchester City ili kumnunua Raheem Sterling.

 

10 years ago

BBCSwahili

Man U yapiku vilabu kumnunua Falcao

Manchester United imeweka kufuli kwenye dirisha la usajili kwa kumnunua Radamel Falcao.

 

10 years ago

BBCSwahili

Man City yatoa milioni 35m kumnunua Sterling

Klabu ya Manchester City imeimarisha ombi la kumsajili mashambulizi machachari wa Liverpool Raheem Sterling hadi dola milioni 55

 

10 years ago

Vijimambo

UBABAISHAJI WA VIONGOZI WA TIMU ZA TANZANIA UNAWEZAJE KUMNUNUA MCHEZAJI KWA PESA NYINGI BILA KUPIMWA NA KUJUA KAMA ANATATIZO KABLA YA KUSAJILIWA?

Mchezaji wa timu ya Simba, Paul Raphael Kiongera.
Daktari huyo amesema kama Kiongera amekuwa na ugonjwa sugu wa goti, ni nadra kama atanusurika kufanyia upasuaji.
“Ugonjwa wa goti una mambo mengi, siwezi kusema kila kitu kwa kuwa majibu ya tatizo la Kiongera sijayaona.“Kama ni ugonjwa sugu, asilimia kubwa ni upasuaji na mara nyingi inakuwa ni nje ya nchi,” alisema daktari huyo bingwa.
“Lakini bado inawezekana hata hapa nyumbani ingawa mara nyingi watu hukwepa tu gharama lakini nje ni sahihi,”...

 

5 years ago

BBC

Arsenal 3-2 Everton: Aubameyang nets twice as Arsenal beat Everton in thriller

Mikel Arteta's encouraging rebuilding job at Arsenal continues with a win over a stubborn Everton, which could have a big say in the race for European football.

 

10 years ago

BBC

Wanyama 'could be out for weeks'

Southampton and Kenya midfielder Victor Wanyama is set to be sidelined for up to five weeks with a hamstring injury.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wanyama walio tofauti

Wanyama walio tofauti

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani