Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


ARSENAL WAKIJIANDAA NA LIGI YA MABINGWA SIKU YA KESHO

Kocha wa Arsenal, Arsene Wenger, akiongea na wachezaji wake leo wakijiandaa na mchezo wa marudiano wa mchujo Ligi ya Mabingwa Ulaya dhidi ya Beskitas utakapigwa kesho . Jack Wilshere akiwaongoza wachezaji wenzake leo katika mazoezi.…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Arsenal wapewa Barca ligi ya mabingwa Ulaya

Arsenal ya Uingereza imepangwa na Barcelona ya Uhispania kwenye hatua ya 16 bora Ligi ya Klabu Bingwa Ulaya.

 

10 years ago

Mwananchi

LIGI KUU ENGLAND 2015/16: Je, msimu ujao mabingwa ni Arsenal au Manchester United?

>Baada ya wiki iliyopita Manchester United na Arsenal kutoka sare ya bao 1-1 kwenye Uwanja wa Old Trafford, timu hizi zilionyesha kwamba haziwezi kuitoa Manchester City katika nafasi ya pili katika msimamo wa Ligi Kuu England huku zikiwa zimeishakubali Chelsea kuwa bingwa.

 

10 years ago

GPL

ARSENAL 'OUT' LIGI YA MABINGWA ULAYA

Arsene Wenger na benchi lake wakiwa hawaamini kilichotokea mbali na ushindi wao wa 2-0. KIKOSI cha Arsenal kimetupwa nje ya michuano ya Ligi ya Mabingwa Ulaya licha ya ushindi wake wa mabao 2-0 iliyoupata ugenini dhidi ya Monaco ya Ufaransa usiku huu.Timu hiyo imeondolewa kwa bao la ugenini licha na matokeo ya jumla kuwa 3-3. Baadhi ya wachezaji na viongozi wa Monaco wakishangilia baada ya filimbi ya mwisho. Katika mchezo wa...

 

11 years ago

Dewji Blog

Arsenal mabingwa wa FA 2014

Timu ya Arsenal ya England imetwaa kombe la FA baada ya kubamiza Hull City kwa jumla ya magoli 3 – 2 kwenye fainali iliyofanyika katika uwanja wa Wembley siku ya jumamosi.

pics 1 arnesal

Wachezaji wa Arsenal wakishangilia ushindi

Katika mechi hiyo ya fainali Hull City ndio waliokuwa wa kwanza kuutikisa wavu wa Arsenal kwa magoli mawili ya haraka haraka yaliyofungwa ndani ya dakika 10 kipindi kwanza.

Goli la kwanza lilifungwa na James Chester dakika ya 3 huku goli la pili la Hull likifungwa katika dakika...

 

10 years ago

BBCSwahili

Arsenal yawashangaza mabingwa wa EPL

Santi Carzola alifunga bao moja na kutengeza jengine na kuisadia Arsenal kuicharaza Mancity mabao 2-0 nyumbani Manchester.

 

9 years ago

GPL

MAKUNDI YA LIGI YA MABINGWA ULAYA

Kundi A
1. Paris St-Germain
2. Real Madrid
3. Shakhtar Donetsk
4. Malmö FF
Kundi B
1. PSV Eindhoven
2. Manchester United
3. CSKA Moscow
4. Wolfsburg Kundi C
1. Benfica
2. Atlético Madrid
3. Galatasaray
4. Astana Kundi D
1. Juventus
2. Manchester City
3. Sevilla
4. B.Mö’gladbach Kundi E
1. Barcelona
2. Bayer Leverkusen
3. Roma
4. BATE Borisov
Kundi F
1. Bayern Munich
...

 

11 years ago

Mwananchi

CDA chupuchupu Ligi ya Mabingwa

>Klabu ya soka ya CDA ya Dodoma imenusurika kichapo mbele ya African Sports ya Tanga, huku Kiluvya FC ikiendeleza kugawa pointi katika Ligi ya Mabingwa wa mikoa inayoendelea kwenye Uwanja wa Jamhuri, Morogoro.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani