Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Arsenal yawashangaza mabingwa wa EPL

Santi Carzola alifunga bao moja na kutengeza jengine na kuisadia Arsenal kuicharaza Mancity mabao 2-0 nyumbani Manchester.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

EPL: Arsenal yapaa kileleni

Washika bunduki wa London, Arsenal wamekaa kileleni mwa ligi ya England kwa pointi 39 baada ya kuichapa Bournemouth kwa mabao 2-0.

 

9 years ago

BBCSwahili

Arsenal, Man Utd wang’aa EPL

Arsenal wamefungua mwanya kileleni EPL baada ya kuandikisha ushindi dhidi ya Newcastle, Manchester United nao wakipanda kwa ushindi dhidi ya Swansea City.

 

11 years ago

TheCitizen

Liverpool put Arsenal to the sword in EPL

Liverpool demonstrated that their Premier League title credentials are alive and kicking with a stunning 5-1 demolition of leaders Arsenal at Anfield yesterday.

 

11 years ago

GPL

ARSENAL YASHIKWA EPL, YALAZIMISHWA SARE YA 1-1 NA EVERTON

Mesut Ozil akiifungia Arsenal bao la kuongoza katika dakika ya 80 ya mchezo. Ozil akishangilia na wachezaji wenzake baada ya kufunga bao.…

 

10 years ago

GPL

MAN CITY, CHELSEA, ARSENAL ZAFANYA KWELI EPL

Straika wa Manchester City, Sergio Aguero akiifungia timu yake bao la kwanza. Pablo Zabaleta akishangilia bao la tatu aliloifungia Man City kwa staili ya kuweka mpira tumboni ikiwa ni ishara ya ujauzito…

 

9 years ago

Bongo5

Thiery Henry adai Arsenal itatwaa ubingwa wa EPL msimu huu

THMchezaji wa zamani wa Arsenal, Thiery Henry ameda ana imani kuwa Arsenal wanapaswa kutwaa ubingwa wa EPL mwaka huu. Kwa sasa Arsenal wanashika nafasi ya pili katika msimamo wa ligi hiyo Manchester City lakini wakitofautiana kwa idadi ya magoli ya kufungwa na kufunga huku wakishinda michezo yao yote minne ya mwisho ya ligi. Alipokuwa akiongea […]

 

5 years ago

Bleacher Report

Pierre-Emerick Aubameyang, Arsenal Cruise Past Newcastle in 4-0 EPL Win

Pierre-Emerick Aubameyang, Arsenal Cruise Past Newcastle in 4-0 EPL Win  Bleacher ReportHave Arteta's Arsenal just clicked? Pepe & Ceballos revive Champions League hopes  Goal.comArsenal press conference live: Mikel Arteta on Nicolas Pepe, Alexandre Lacazette and Newcastle  Football.LondonOpinion – Why I believe Arsenal will win well against Newcastle  Just Arsenal News'I am not conflicted at all' - Arteta eyes Champions League for Arsenal after Man City ban  Goal.comView Full coverage on...

 

11 years ago

Dewji Blog

Arsenal mabingwa wa FA 2014

Timu ya Arsenal ya England imetwaa kombe la FA baada ya kubamiza Hull City kwa jumla ya magoli 3 – 2 kwenye fainali iliyofanyika katika uwanja wa Wembley siku ya jumamosi.

pics 1 arnesal

Wachezaji wa Arsenal wakishangilia ushindi

Katika mechi hiyo ya fainali Hull City ndio waliokuwa wa kwanza kuutikisa wavu wa Arsenal kwa magoli mawili ya haraka haraka yaliyofungwa ndani ya dakika 10 kipindi kwanza.

Goli la kwanza lilifungwa na James Chester dakika ya 3 huku goli la pili la Hull likifungwa katika dakika...

 

9 years ago

BBCSwahili

Arsenal wapewa Barca ligi ya mabingwa Ulaya

Arsenal ya Uingereza imepangwa na Barcelona ya Uhispania kwenye hatua ya 16 bora Ligi ya Klabu Bingwa Ulaya.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani