Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Arsenal yampa Cech mkataba miaka minne

Timu ya Arsenal ya ligi kuu ya England imemsajili mlinda mlango wa Chelsea, Petr Cech kwa mkataba wa miaka minne

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

ARSENE WENGER ASAINI MKATABA WA MIAKA 3 KUBAKI ARSENAL

Arsene Wenger ameongeza miaka mitatu Arsenal. KOCHA wa Arsenal, Arsene Wenger ameongeza mkataba wa miaka mitatu kubaki klabuni hapo. Atakuwa Arsenal mpaka mwaka 2017 kwa mkataba wa pauni milioni 24 sawa na bilioni 66.9 za Tanzania. Wenger baada ya kutwaa Kombe la FA. Kocha huyo aliyetwaa Kombe la FA baada ya ukame wa makombe kwa miaka tisa, amepatiwa pauni milioni 100 kwa ajili ya usajili. Wenger mwenye miaka 64,… ...

 

10 years ago

Africanjam.Com

THE REASON WHY PETR CECH CHOSE NO.33 JERSEY AT ARSENAL


Petr Cech has explained the reasons behind his decision to wear the number 33 jersey at Arsenal.The Czech keeper – who joined from London rivals Chelsea this summer – took to Twitter to clarify his reasons behind the choice, with David Ospina and Wojciech Szczesny also competing for the No1 spot at the Emirates.
It is of course Cech’s age and the Czech Republic custodian also joins Arsenal having played 333 Premier League games for Chelsea.In a subsequent Tweet, Cech also came out with...

 

10 years ago

GPL

PETR CECH ASAJILIWA ARSENAL KWA PAUNI 11

Petr Cech akionyesha jezi ya Arsenal baada  ya uhamisho wa pauni 11 na mshahara wake unatajwa kuwa ni pauni 100,000 kwa wiki. Akiwa katika mapozi.…

 

10 years ago

Africanjam.Com

ROMAN ABRAMOVICH AMRUHUSU PETR CECH KUTIMKIA ARSENAL


Ijumaa iliyopita, Sky Sports walidai kwamba Cech angesaini Emirates siku hiyo, lakini haikutokea.Mashabiki wa Arsenal wamechoka kusikia tetesi inayotangaza kwamba watamsajili golikipa wa Chelsea, Petr Cech, lakini siku ya kufanya hivyo haijulikani.Kwa wiki kadhaa, taarifa zimekuwa zikitoka kuwa Cech anaweza kusaini leo, lakini hiyo leo haifiki.
Hii inazua wasiwasi kama kweli Cech atajiunga na Arsenal majira haya ya kiangazi kwa dau la paundi milioni 11.Hata hivyo, Jose Mourinho hapendi kuona...

 

9 years ago

Global Publishers

Miaka Minne Ndani ya Mapango ya Amboni – 43

ILIPOISHIA WIKI ILIYOPITA:
“Wewe ulimuona kwa macho yako huyo jini?”
“Ndiyo nilimuona”
“Yukoje?”

“Ni kama binadamu lakini anatisha.”
“Unajua ninakuuliza maswali mengi kwa sababu tukio lenu limehusisha vifo vya watu wengi. Kwa hiyo ni lazima tupate maelezo ya kina.”
SASA ENDELEA…

Kachero huyo aliendelea kuniambia.

“Tunataka tupate maelezo yanayoeleweka ili tuweze kuyaweka katika jalada la uchunguzi wa vifo vya watu wale. Na hata kama sisi wapelelezaji tunaulizwa nini kiliwaua watu wale,...

 

9 years ago

Global Publishers

Miaka Minne Ndani ya Mapango ya Amboni – 41

ILIPOISHIA WIKI ILIYOPITA:
“Kaikush alikuwa amepata hasira,” Faiza aliniambia.
“Ni ile hasira ya kuniacha mimi.”
“Na pia ameona ninatoroshwa.”
Baada ya kuzipita zile maiti nne hatukutembea mwendo mrefu tukaanza kuona mwanga kwa mbali.“Naona tumeukaribia mlango wa pango!” nikamwambia Faiza kwa matumaini. SASA ENDELEA…

“Utakuwa ni ule kule mbele, kuna mwanga.” Faiza akaniambia.
“Sasa tukazane tufike.”
Ingawa tulikuwa tumechoka, tulipogundua kuwa tulikuwa tumeukaribia mlango wa pango hilo...

 

10 years ago

BBCSwahili

Mtoto wa miaka minne atekwa Mwanza

Mkoani Mwanza,Tanzania watu wasiofahamika wamevunja nyumba na kumteka mtoto mwenye ulemavu wa ngozi maarufu kama albino na kutoweka naye.

 

11 years ago

GPL

AISHI KWENYE HANDAKI MIAKA MINNE

Stori: Makongoro Oging’
DUNIA haiishi vituko! Chacha Makenge (36)  mzaliwa wa Kijiji cha Kisangula, Mtukula, Serengeti mkoani Mara anaishi jijini Dar lakini ndani ya handaki aliloligeuza chumba kwa miaka minne sasa, ni ajabu lakini ni kweli. Akizungumza na mwandishi wetu hivi karibuni nje ya handaki hilo lililopo mita chache kutoka majengo ya biashara ya Mlimani City, Makenge alisema alichukua uamuzi huo baada ya...

 

9 years ago

Global Publishers

Miaka Minne Ndani ya Mapango ya Amboni – 42

ILIPOISHIA WIKI ILIYOPITA:
Kikosi kingine cha askari kikaingizwa ndani ya pango hilo kuhakikisha kama wale watu tuliosema wameuawa, wameuawa kweli. Askari hao waliambiwa kama watakuta maiti zao watoke nazo.

Baada ya mawasilino kufanyika, gari la hospitali likawasili, Waandishi wa habari na wananchi walikuwa wametuzonga wakituhoji maswali lakini polisi waliwaondoa.
Tukapakiwa kwenye gari la hospitali na kupelekwa Hospitali ya Bombo ya jijini Tanga.
SASA ENDELEA…

Wakati tunafikishwa katika...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani