Arsenal yatinga fainali ya FA
Makosa ya kipa Adam Federic yalipaatia Arsenal ushindi huku mechi hiyo ikikamilika 2-1 kupitia mabao yaliofungwa na Alexi Sanchez.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili16 Feb
Arsenal yatinga robo fainali FA
Arsenal imefanikiwa kutinga hatua ya robo fainali na kukomesha safari ya Middlesbrough kwa kuifunga 2-0.
9 years ago
BBCSwahili25 Oct
New Zealand yatinga fainali
Timu ya taifa ya mchezo wa raga ya New Zealand wamefanikiwa kutinga fainali ya michuano ya dunia
10 years ago
BBCSwahili13 May
Barcelona yatinga fainali
Miamba ya soka ya Hispania Barcelona, wamefanikiwa kutinga fainali baada ya kuibwaga Bayern Munich kwa jumla ya mabao 5-3 .
10 years ago
BBCSwahili10 Dec
Arsenal yatinga 16 bora
Arsenal imefanikiwa kumaliza katika nafasi ya pili ya kundi D ,Ligi ya Mabingwa Ulaya na kutinga hatua ya kumi na sita bora
10 years ago
BBCSwahili29 Apr
Borussia Dortmund yatinga fainali
Borussia Dortmund imetinga Fainali ya Kombe la ujerumani (DFB-POKAL)baada ya kuwabwaga Mabingwa Watetezi Bayern Munich
10 years ago
BBCSwahili12 Sep
Marekani yatinga fainali kikapu
Marekani imetinga fainali kombe la dunia mpira wa kikapu kwa kuichapa Lithuania vikapu 96-68.
10 years ago
BBCSwahili02 Feb
Ghana yatinga nusu Fainali
Ghana imekua timu ya tatu kutinga nusu fainali ya kombe la mataifa ya Afrika ,baada ya kuibanjua Guinea kwa mabao 3-0.
10 years ago
Mwananchi20 Dec
Dodoma yatinga fainali kwa kishindo
Dodoma imeiduwaza Kigoma baada ya kuichapa mabao 2-1 na kufanikiwa kutinga fainali ya mashindano ya Copa-Coca-Cola jana kwenye Uwanja wa Karuma, Dar es Salaam.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania