Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Marekani yatinga fainali kikapu

Marekani imetinga fainali kombe la dunia mpira wa kikapu kwa kuichapa Lithuania vikapu 96-68.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Vijana, Jogoo wanusa robo fainali ya kikapu

Vijana imejiweka katika mazingira mazuri ya kuingia robo fainali ya Ligi ya Taifa ya Mpira wa Kikapu (NBL) baada ya kuigaragaza Dodoma Spurs kwa pointi 76-28, huku Jogoo wakipewa ushindi wa mezani baada ya wapinzani wao, Ilala Flat kutotokea uwanjani.

 

10 years ago

BBCSwahili

Barcelona yatinga fainali

Miamba ya soka ya Hispania Barcelona, wamefanikiwa kutinga fainali baada ya kuibwaga Bayern Munich kwa jumla ya mabao 5-3 .

 

10 years ago

BBCSwahili

Arsenal yatinga fainali ya FA

Makosa ya kipa Adam Federic yalipaatia Arsenal ushindi huku mechi hiyo ikikamilika 2-1 kupitia mabao yaliofungwa na Alexi Sanchez.

 

9 years ago

BBCSwahili

New Zealand yatinga fainali

Timu ya taifa ya mchezo wa raga ya New Zealand wamefanikiwa kutinga fainali ya michuano ya dunia

 

10 years ago

BBCSwahili

Borussia Dortmund yatinga fainali

Borussia Dortmund imetinga Fainali ya Kombe la ujerumani (DFB-POKAL)baada ya kuwabwaga Mabingwa Watetezi Bayern Munich

 

10 years ago

BBCSwahili

Arsenal yatinga robo fainali FA

Arsenal imefanikiwa kutinga hatua ya robo fainali na kukomesha safari ya Middlesbrough kwa kuifunga 2-0.

 

10 years ago

BBCSwahili

Ghana yatinga nusu Fainali

Ghana imekua timu ya tatu kutinga nusu fainali ya kombe la mataifa ya Afrika ,baada ya kuibanjua Guinea kwa mabao 3-0.

 

10 years ago

BBCSwahili

Ivory Coast yatinga fainali za Afcon

Ivory Coast wamefuzu kucheza fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika, Afcon baada ya kuilaza Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo 3-1

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani