Vijana, Jogoo wanusa robo fainali ya kikapu
Vijana imejiweka katika mazingira mazuri ya kuingia robo fainali ya Ligi ya Taifa ya Mpira wa Kikapu (NBL) baada ya kuigaragaza Dodoma Spurs kwa pointi 76-28, huku Jogoo wakipewa ushindi wa mezani baada ya wapinzani wao, Ilala Flat kutotokea uwanjani.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Djf6zSwIyD8/U_HRnCChxaI/AAAAAAAGAcI/qNfQAmdP1dw/s72-c/unnamed%2B(1).jpg)
VIJANA WAZIDI KUJIFUA KWA ROBO FAINALI YA DANCE 100% INAYODHAMINIWA NA VODACOM TANZANIA
![](http://3.bp.blogspot.com/-Djf6zSwIyD8/U_HRnCChxaI/AAAAAAAGAcI/qNfQAmdP1dw/s1600/unnamed%2B(1).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-nAi5BEOGJog/U_HRou9KPJI/AAAAAAAGAcQ/gwrDW7AcFJE/s1600/unnamed%2B(2).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-XEzPwdpAAsg/U_HRndmhBdI/AAAAAAAGAcM/KKTwKLRM5CU/s1600/unnamed%2B(3).jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-dxMtz2qcX6o/XlVDwRJphfI/AAAAAAALfZU/CmzMoR33AfMOnaZCOQqdu2fh37EuQn7wwCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-02-25%2Bat%2B18.55.52.jpeg)
SIMBA YATANGULIA ROBO FAINALI HATUA YA ROBO FAINAL MICHUANO YA AZAM SPORT FEDERATION CUP
![](https://1.bp.blogspot.com/-dxMtz2qcX6o/XlVDwRJphfI/AAAAAAALfZU/CmzMoR33AfMOnaZCOQqdu2fh37EuQn7wwCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-02-25%2Bat%2B18.55.52.jpeg)
TIMU ya soka ya Simba ya jijini Dar es Salaam imefanikiwa kuingia hatua robo faina ya michuano ya Azam Sports Federation CUP baada ya kuibuka na ushindi kwenye mchezo wao wa leo dhidi ya Stand United.
Mchezo kati ya timu ya Simba na Stand United umepigwa katika dimba la Kambarage Shinyanga na hadi mpira huo unamaliza timu hizo zilitoka sare ya bao 1-1 na hivyo kuingia hatua ya matuta.
Hatua hiyo ya matuta iliiwezesha Simba kushinda penalt 3 -2 ambapo kwa...
10 years ago
BBCSwahili12 Sep
Marekani yatinga fainali kikapu
9 years ago
Dewji Blog04 Dec
Baada ya michezo ya robo fainali ya Capital One, hii ndiyo ratiba ya michezo ya nusu fainali
Na Rabi Hume, Modewjiblog
Michezo ya robo fainali ya kombe la Capital One la nchini Wingereza linaloshirikisha ligi za Daraja la kwanza, pili na timu zinazoshiriki ligi kuu ya Wingereza imekamilika kwa timu nne kufuzu kuingia hatua ya nusu fainali.
Matokeo ya robo fainali ilikuwa hivi;
Everton 2 – 0 Middlesbrough
Manchester City 4 – 1 Hull City
Stoke City 2 – 0 Sheffield Wednesday
Southampton 1 – 6 Liverpool
Baada ya michezo hiyo, ratiba ya michezo ya nusu fainali ni kama...
11 years ago
BBCSwahili04 Jul
Mpambano wa robo fainali Brazil
10 years ago
BBCSwahili15 Feb
Liverpool yafuzu robo fainali ya FA
10 years ago
BBCSwahili16 Feb
Arsenal yatinga robo fainali FA
9 years ago
BBCSwahili30 Nov
Robo fainali CECAFA kuanza leo
9 years ago
Habarileo28 Aug
KMKM yatinga robo fainali ya Makocha
MAAFANDE wa timu ya soka ya Kikosi Maalumu cha Kuzuia Magendo (KMKM) wametinga hatua ya robo fainali ya michuano ya Kombe la Makocha kwa ushindi wa bao 1-0 dhidi ya African Boys.