Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Asamoah Gyan akana madai ya kafara

Nahodha wa timu ya taifa ya Ghana, Asamoah Gyan, amekanusha madai kuwa alimtoa kafara yake ambaye pia alikuwa mwanamuziki mashuhuri nchini Ghana Castro.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Asamoah Gyan kuikosa mechi na Senegal

Nahodha wa timu Ghana Asamoah Gyan anaugua maradhi yanayosemekana kuwa ni malaria na huenda asikipige na Senegal leo.

 

10 years ago

GPL

YOUNG DEE: AKANA MADAI YA KUKACHA SHULE

Msanii wa muziki wa Bongo Fleva, Young Dee akiwa katika studio za Global TV online. makala: Chande Abdallah
Leo hii kwenye Live Chumba cha Habari ya Global Publishers tunaye bwa’ mdogo machachari anayewakilisha vilivyo kwenye muziki wa Hip Hop, Young Dee. Dogo anafanya poa na nyimbo zake kadhaa kama: Dada Anaolewa, Tunapeta, Fununu na Siyo Mchoyo. Katika mahojiano na safu hii inayorushwa pia kupitia Global Tv Online,...

 

5 years ago

BBCSwahili

Justin Bieber akana madai ya ubakaji anayodaiwa kufanya mwaka 2014

Mwanamuziki wa kimataifa wa miondoko aina ya R&B na Pop Justine Bieber amekanusha madai ya ubakaji yaliyojitokeza kwenye mtandao wa Twitter kupitia akaunti ya mtu asiyejulikana

 

11 years ago

BBC

Ghana squad behind Appiah - Asamoah

Ghana international Kwadwo Asamoah says the Black Stars squad is united in its support of coach Kwesi Appiah.

 

10 years ago

BBC

Kwadwo Asamoah set to miss Nations Cup

Ghana's preparations for the Nations Cup suffer a blow with Juventus star Kwadwo Asamoah set to miss the tournament through injury.

 

9 years ago

StarTV

Mwili waharibika kwa madai ya kuhifadhiwa chini kwa  madai ya uzembe Sekou Toure

Mwili wa kijana aliyekuwa akiishi mitaani jijini Mwanza marehemu Baraka Hamisi hatimaye umezikwa baada ya kukosa hifadhi katika jokofu la maiti kwa takribani siku sita katika Hospitali ya Mkoa wa Mwanza Sekou Toure

Marehemu Bakari Hamisi mwenye umri wa miaka 22 kijana wa mitaani aliyekuwa akijishughulisha na biashara ndogondogo alifariki dunia alipokuwa akipelekwa hospitalini hapo na vijana wenzake wa mitaani kwa ajili ya kupata matibabu.

Awali kabla ya kufikwa na mauti, vijana wenzake wa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

‘Waziri Masele ni mbuzi wa kafara’

SERIKALI imedaiwa kumtoa kafara Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Stepen Masele, kwa lengo la kuficha udhaifu wake katika sakata la tuhuma alizozitoa dhidi ya Balozi wa Uingereza nchini Tanzania,...

 

10 years ago

GPL

AJALI MUSOMA YADAIWA NI KAFARA!

Stori: Musa Mateja aliyekuwa Mara
Inauma sana! Ajali mbaya iliyosababisha vifo vya watu 39 iliyohusisha Basi la Kampuni ya J4 Express lenye nambari za usajili T 677 CYC, lililokuwa likitoka Musoma kuelekea Sirari mkoani Mara baada ya kugongana uso kwa uso na basi lingine la Kampuni ya Mwanza Coach lenye nambari za usajili T 736 AWJ katika eneo la Saba Saba mjini Musoma mkoani Mara, Ijumaa iliyopita, imedaiwa kuna ushirikina au...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kwanini JK amemtoa kafara Jaji Warioba?

WAHENGA wanasema rafiki yako ndiye adui yako. Wengine wakasema akumulikaye mchana usiku atakuchoma. Hivi ndivyo alivyofanyiwa aliyekuwa Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba. Jaji Warioba amekejeliwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani