YOUNG DEE: AKANA MADAI YA KUKACHA SHULE
Msanii wa muziki wa Bongo Fleva, Young Dee akiwa katika studio za Global TV online. makala: Chande Abdallah Leo hii kwenye Live Chumba cha Habari ya Global Publishers tunaye bwa’ mdogo machachari anayewakilisha vilivyo kwenye muziki wa Hip Hop, Young Dee. Dogo anafanya poa na nyimbo zake kadhaa kama: Dada Anaolewa, Tunapeta, Fununu na Siyo Mchoyo. Katika mahojiano na safu hii inayorushwa pia kupitia Global Tv Online,...
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo507 Oct
Young Killer ajiunga na kundi la Mtu Chee, achukua nafasi ya Young Dee aliyejitoa
9 years ago
Bongo513 Oct
Young Killer atoa ufafanuzi kuhusu kama kweli amejiunga rasmi Mtu Chee, na kama ana beef na Young Dee baada ya kum-unfollow Instagram
10 years ago
BBCSwahili25 Sep
Asamoah Gyan akana madai ya kafara
11 years ago
GPL20 Jul
10 years ago
Africanjam.Com11 years ago
GPLFUMANIZI LA LULU, YOUNG DEE UTATA
10 years ago
GPL19 Sep
5 years ago
BBCSwahili22 Jun
Justin Bieber akana madai ya ubakaji anayodaiwa kufanya mwaka 2014
9 years ago
Bongo518 Dec
Country Boy: Sina tatizo na Young Dee
Rapa wa kundi la Mtu Chee, Country Boy amesema hana tatizo na Young Dee licha ya kupishana lugha miezi michache iliyopita baada ya rapa huyo kujitoa katika kundi hilo.
<img src="http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/10/Mtu-Chee.jpg" alt="Mtu Chee" width="640" height="640" class="alignnone size-full wp-image-129808" /0
Country Boy anasema hajawahi kuoongea na Young Dee toka atangaze kuachana na Mtu Chee.
“Sina tatizo na Young Dee, yeye alichagua kufanya kile anachokitaka na sisi...