Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Asili na historia ya neno la picha ya mnato ya "SELFIE"


Na Sultani Kipingo 
wa Globu ya Jamii
Karibu kila mtu duniani leo hii analijua neon “Selfie” ambalo maana yake ni picha ya mnato ya kujipiga mwenyewe kwa kujielekeza Camera, lakini ni wachache wanaojua kwamba neno hilo lilianza kuvuma muda mwaka juzi tu, pale watunzi wa kamusi za Oxford walipoliweka kwenye kamusi zao na kulitaja kuwa ndilo neno la mwaka la 2013 na kulipa maana hiyo ya kujipiga picha mwenyewe na kutundikwa kwenye mitando ya kijamii.
Ingawa matumizi ya neno “Selfie” linaonekana...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

Hii ndio Historia na Asili ya Mji wa Tanga.???

Mji wa Tanga ni Mji Mkuu wa Mkoa wa Tanga uliopo ufukweni mwa Bahari ya Hindi. Tanga ina bandari kubwa kabisa katika sehemu ya kaskazini mwa Tanzania. Njia ya reli kwenda Mji wa Moshi inaanza hapa.
Jina hili la mji wa Tanga lilitokana neno la Kiajemi lenye maana nne tofauti ambazo ni: Iliyo nyooka; Bonde lenye rutuba; Barabara upande wa mto na Shamba juu ya mlima.Neno hilohilo la Tanga kwa kabila la Kibondei ambalo ni wenyeji wa mkoa huo lina maana ya shamba, wao hulitamka N'tanga.
Tanga...

 

11 years ago

Bongo5

Kim Kardashian kutoa kitabu cha picha za Selfie kitakachoitwa ‘Selfish’

Kuwepo kwa mtandao wa picha wa Instagram kumewaongezea kwa kiasi kikubwa watu wengi hasa mastaa sababu za kujipiga picha maarufu kama‘Selfie’, na kushare katika mtandao huo. Lakini kwa mama North na kipenzi cha rapper Kanye, Kim Kardashian yeye amewaza nje ya box na kuamua kufanya biashara kupitia lundo la ‘selfie’ anazojipiga kila kukicha. Kim amesema […]

 

11 years ago

BBCSwahili

Picha za historia Afrika Kusini

Kumefanyika maonyesho ya picha zinazoelezea historia ya ubaguzi wa rangi uliokuweko nchini humo.

 

10 years ago

Bongo5

Picha: Kili Music Tour 2014 yaacha historia Kigoma

Diamond na Wasafi wakitumbuiza Umati wa mashabiki ukiisubiria burudani katika uwanja wa Lake Tanganyika Backstage: Christian Bella, Nikki wa Pili na Amini Backstage: MwanaFA Backstage: Profesa Jay Mfalme wa Taarab nchini Mzee Yusuph ndiye aliufungua usiku wa Kili Music Tour Amini akiwaimbisha mashabiki moja ya nyimbo zake Mwasiti ambaye asili yake ni mkoa wa Kigoma […]

 

10 years ago

Bongo5

Picha: Weusi waacha historia Arusha, Joh Makini azungumza

Kwa zaidi ya miaka miwili wapenzi wa muziki jijini Arusha hawajashuhudia shangwe za Fiesta, lakini Jumamosi, November 1, Weusi walifanikiwa kuwapa show yenye ukubwa unaokaribiana na tamasha hilo la kila mwaka. Wakiandaa wao wenyewe, Weusi walifanikisha kuvutia nyomi la kutosha kwenye uwanja wa Triple A jijini Arusha. “Mungu ametuonesha kwamba tunaweza kufanya makubwa zaidi ya […]

 

10 years ago

Bongo5

Picha: T.I, Davido, Waje na wengine waacha historia Serengeti Fiesta Dar 2014

T.I, Davido, Waje, Victoria Kimani pamoja na wasanii wa hapa nyumbani jana October 18 wameacha historia katika tamasha la Serengeti Fiesta lililofanyikia katika viwanja vya Leaders Club jijini Dar es Salaam. Msanii wa Hip Hop kutoka Marekani, T.I. Tazama picha za show hiyo. Diamond alipanda na gwanda za jeshi Diamond na Davido wakicheza kwa madaha […]

 

10 years ago

Michuzi

SELFIE

Ankal akipata selfie na wadau wa Globu ya jamii uwanja wa ndege wa Geita gold mines asubuhi hii.

 

9 years ago

Global Publishers

RED Selfie

RED Selfie Kila wiki washindi wawili wanajishindia #SamsungJ2 kupitia @Opera na @VodacomTanzania  #REDSelfie

 

 

10 years ago

Michuzi

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani