Picha za historia Afrika Kusini
Kumefanyika maonyesho ya picha zinazoelezea historia ya ubaguzi wa rangi uliokuweko nchini humo.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo502 Nov
Cassper Nyovest aweka historia kwa kuwa msanii wa kwanza wa Afrika Kusini kujaza ukumbi wa watu 20,000
![cassper soldout](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/cassper-soldout-94x94.png)
9 years ago
Bongo502 Nov
Rais Jacob Zuma wa Afrika Kusini ampongeza Cassper Nyovest kwa kuweka historia, itazame show iliyomletea heshima hiyo (Video)
![casper the dome](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/casper-the-dome-94x94.jpg)
11 years ago
Bongo518 Jul
Picha 10 za utengenezaji wa video ya Feza Kessy ‘My papa’, Afrika Kusini
9 years ago
Bongo528 Sep
Picha: Tiffah alivyoiongezea furaha familia ya Zari Afrika Kusini
9 years ago
Bongo509 Nov
BTS za utengenezaji wa video tofauti za Ben Pol na Mwana FA Afrika Kusini (Picha)
![11925676_463374680501587_1567968702_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/11925676_463374680501587_1567968702_n-300x194.jpg)
Ben Pol na Mwana FA wote wapo nchini Afrika Kusini walikoenda kushoot video zao.
Ben Pol akiwa kwenye moja ya scene za video yake
Ben ameendelea kushoot video ya wimbo wake ‘Ningefanyaje’ aliowashiriki Avril na Rossie M.
Ben Pol na Rossie M wakiwa location huku Justin Campos akiendelea na kazi yake
Muimbaji huyo amemaliza kufanya video hiyo Jumapili hii akimtumia muongozaji wa nchini humo, Justin Campos wa Gorilla Films. Avril wa Kenya hakuonekana kwenye location hizo.
Timu nzima...
10 years ago
Vijimambo09 Nov
PICHA ZA DIAMOND NA WAJE WAKISHUTI VIDEO YA COLLABO MJINI CAPE TOWN NCHINI AFRIKA KUSINI
![](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2014/11/wajee.jpg)
![](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2014/11/diamond.jpg)
![](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2014/11/IMG-20141104-WA036.jpg)
![](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2014/11/IMG-20141104-WA009.jpg)
![](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2014/11/IMG-20141104-WA023.jpg)
![](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2014/11/waje.jpg)
9 years ago
Bongo520 Nov
Picha: Lil Ommy wa Times FM afanya ziara kwenye redio za Afrika Kusini, aeleza alichojifunza
![de98d706-c2ab-4594-bc30-a595db645200](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/de98d706-c2ab-4594-bc30-a595db645200-300x194.jpg)
Mtangazaji wa kipindi cha The Playlist cha Times FM, Lil Ommy yupo jijini Johannesburg alikoenda kwenye ziara maalum kujifunza mambo yanayohusiana na redio.
Akiwa huko amezunguka kwenye vituo mbalimbali vya redio na TV vikiwemo vituo vya SABC. Amesema amejifunza mambo mengi kwenye redio na muziki.
“Jamaa wana promote zaidi muziki wao na lugha yao kwenye redio wanachanganya Zulu, wanapenda kujifunza Kiswahili, wanaichukulia kama lugha kubwa ya bara la Afrika ukiachana na Kiingereza kuwa...
9 years ago
Bongo525 Nov
Hanscana aenda Afrika Kusini kutafuta connection za kimataifa na kuongeza ujuzi kwa Justin Campos (picha)
![Hanscana na campos-5](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/Hanscana-na-campos-5-300x194.jpg)
Muongozaji na mtayarishaji wa video Hanscana yuko nchini Afrika Kusini, alikoenda kwaajili ya kuongeza ujuzi pamoja na kutafuta connection za kuwezesha kazi zake zifike kwenye vituo vya runinga vya kimataifa.
Hanscana akiwa an Justin Campos na mkewe Candice
Wiki hii Hanscana amekuwa akipost picha mbalimbali Instagram akiwa na director Justin Campos na mke wake Candice Campos ambaye pia ni producer wa video wa kampuni ya Gorilla Films.
Hanscana amepiga story na Bongo 5 na ametueleza...
5 years ago
BBCSwahili08 May
Virusi vya Corona: Kikao cha bunge cha mtandaoni Afrika kusini chadukuliwa kwa picha za ngono