Askofu Anglikana awasihi Watanzania kuhusu uchaguzi
ASKOFU wa Kanisa la Anglikana Tanzania Dayosisi ya Dodoma, Dk Dickson Chilongani amewataka Watanzania wasikubali kuchaguliwa viongozi kwa maslahi binafsi.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima11 Oct
Chilongani awa askofu Anglikana
KANISA la Anglikana Dayosisi ya Central Tanganyika (Dodoma), limemchagua Mchungaji Dk. Dickson Chilongani kuwa Askofu wa sita wa Dayosisi hiyo katika mkutano Maalum. Dk .Chilongani amechaguliwa kufuatia kifo cha aliyekuwa...
9 years ago
Habarileo30 Dec
Askofu Mkuu Anglikana aonya wang’ang’ania madaraka
ASKOFU Mkuu wa Kanisa la Anglikana Tanzania Dk Jacob Chimeledya amewatafadhalisha viongozi wa Afrika kutong’ang’ania madaraka ili kutunza amani ambayo ni chachu kubwa ya maendeleo na ustawi wa taifa.
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-ZYtRNgnAcoo/VWtgpizxV1I/AAAAAAAC5Q8/rD8UAIgG4Vs/s72-c/16.jpg)
WAZIRI MEMBE AWASIHI WATANZANIA KUTOCHAGUA VIONGOZI WANAOSAKA UONGOZI KWA KUTOA RUSHWA
![](http://3.bp.blogspot.com/-ZYtRNgnAcoo/VWtgpizxV1I/AAAAAAAC5Q8/rD8UAIgG4Vs/s640/16.jpg)
lililofanyika katika viwanja vya Shule ya Sekondari Benjamin Mkapa na kudhaminiwa na Kampuni ya Dira ya Mtanzania. PICHA NA MICHUZI JR.PICHA ZAIDI BOFYA HAPA
![](http://2.bp.blogspot.com/-Q4Nn6kOfI3M/VWtgplbIDGI/AAAAAAAC5Q4/dsuPNWP8-7w/s640/17.jpg)
10 years ago
MichuziASKOFU AWATAKA WATANZANIA WAJITOKEZE KUJIANDIKISHA
Isanja aliwaasa Watanzania kutozembea nafasi hiyo muhimu na badala yake waitumie fursa hiyo itakayoleta mabadiliko yanayotarajiwa na wengi.
Akizungumza katika mahafali ya Wahitimu wa Diploma ya masomo ya Biblia...
11 years ago
Habarileo31 Dec
Askofu ahimiza Watanzania kuombea taifa
WATANZANIA wametakiwa kuongeza nguvu kuombea taifa kwa kile kilichoelezwa linapita katika kipindi kigumu kinachohitaji maombi.
10 years ago
Habarileo26 Sep
Askofu: Watanzania watachukua uraia kwingine
ASKOFU Msaidizi wa Jimbo Katoliki la Bukoba, Mhashamu Method Kilaini amesema kukataa uraia pacha ni sawa na kukubali kupoteza watoto na nchi kubaki kama kisiwa wakati nchi nyingine zinafanya hivyo, jambo ambalo Watanzania wengi watakimbilia uraia wa nchi nyingine.
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-RNHlHMsJ1j4/VlC59msV4WI/AAAAAAAIHsE/Gy-uxMbRzpg/s72-c/unnamed.jpg)
10 years ago
Habarileo25 Nov
Askofu ataka Watanzania kuombea amani ya Kenya
ASKOFU Julius Salu wa Kanisa la Anglikana Dayosisi ya Mombasa nchini Kenya amewataka Watanzania kuombea amani ya nchi hiyo, kutokana na kuwa na hali mbaya ya kiusalama.
11 years ago
Habarileo08 Apr
Askofu TAG ataja sababu za Watanzania kutopiga kura
SERIKALI imeshauriwa kuangalia upya siku za upigaji kura katika uchaguzi zake mbalimbali zinazowahusisha wananchi wote hususani zile za udiwani, ubunge na urais ili kuhamasisha wananchi wengi zaidi kujitokeza.