Askofu: Watanzania watachukua uraia kwingine
ASKOFU Msaidizi wa Jimbo Katoliki la Bukoba, Mhashamu Method Kilaini amesema kukataa uraia pacha ni sawa na kukubali kupoteza watoto na nchi kubaki kama kisiwa wakati nchi nyingine zinafanya hivyo, jambo ambalo Watanzania wengi watakimbilia uraia wa nchi nyingine.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo25 Aug
Wahamiaji wajiandikisha uraia wakidai Watanzania
MAMLAKA ya Vitambulisho vya Taifa (Nida) imesema baadhi ya wakazi wa Wilaya ya Newala ni wahamiaji kutoka Msumbiji na wamekuwa wakijitambulisha kuwa Watanzania wakati wa kujaza fomu.
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Y3Hmig3Fkvw/UwueaVgQ5QI/AAAAAAAFPUA/Vyt4Kz-DFH8/s72-c/2318784-flag-of-tanzania-waving-in-the-wind.jpg)
Hoja ya haja ya Mwenyekiti wa Watanzania wa Washington-Seattle kuhusu uraia pacha
![](http://4.bp.blogspot.com/-Y3Hmig3Fkvw/UwueaVgQ5QI/AAAAAAAFPUA/Vyt4Kz-DFH8/s1600/2318784-flag-of-tanzania-waving-in-the-wind.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-jxN7CiEYIPk/UzFBsN6wVYI/AAAAAAAFWH8/qEI4Vj27y4w/s72-c/unnamed+(8).jpg)
john mashaka ajitosa mjadala wa uraia pacha: Haki Ya Kuzaliwa Ya Watanzania Ughaibuni
![](http://2.bp.blogspot.com/-jxN7CiEYIPk/UzFBsN6wVYI/AAAAAAAFWH8/qEI4Vj27y4w/s1600/unnamed+(8).jpg)
11 years ago
MichuziSERIKALI YAWAPA VYETI VYA URAIA WATANZANIA WENYE ASILI YA KISOMALI 1,514
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-J4HcuqAdqOc/VTy_fKQzjNI/AAAAAAAA7lg/BPF6sXt0B3I/s72-c/1.%2BPICHA-UHAKIKI.jpg)
UGAWAJI WA VYETI VYA URAIA KWA WATANZANIA WAPYA 152,572 WAFIKIA UKINGONI
![](http://4.bp.blogspot.com/-J4HcuqAdqOc/VTy_fKQzjNI/AAAAAAAA7lg/BPF6sXt0B3I/s1600/1.%2BPICHA-UHAKIKI.jpg)
11 years ago
Habarileo31 Dec
Askofu ahimiza Watanzania kuombea taifa
WATANZANIA wametakiwa kuongeza nguvu kuombea taifa kwa kile kilichoelezwa linapita katika kipindi kigumu kinachohitaji maombi.
10 years ago
MichuziASKOFU AWATAKA WATANZANIA WAJITOKEZE KUJIANDIKISHA
Isanja aliwaasa Watanzania kutozembea nafasi hiyo muhimu na badala yake waitumie fursa hiyo itakayoleta mabadiliko yanayotarajiwa na wengi.
Akizungumza katika mahafali ya Wahitimu wa Diploma ya masomo ya Biblia...
10 years ago
Habarileo09 Mar
Askofu Anglikana awasihi Watanzania kuhusu uchaguzi
ASKOFU wa Kanisa la Anglikana Tanzania Dayosisi ya Dodoma, Dk Dickson Chilongani amewataka Watanzania wasikubali kuchaguliwa viongozi kwa maslahi binafsi.
10 years ago
Habarileo25 Nov
Askofu ataka Watanzania kuombea amani ya Kenya
ASKOFU Julius Salu wa Kanisa la Anglikana Dayosisi ya Mombasa nchini Kenya amewataka Watanzania kuombea amani ya nchi hiyo, kutokana na kuwa na hali mbaya ya kiusalama.