Askofu Mkuu Anglikana aonya wang’ang’ania madaraka
ASKOFU Mkuu wa Kanisa la Anglikana Tanzania Dk Jacob Chimeledya amewatafadhalisha viongozi wa Afrika kutong’ang’ania madaraka ili kutunza amani ambayo ni chachu kubwa ya maendeleo na ustawi wa taifa.
habarileo
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili02 Mar
Wademocrat wang’ang’ana kumsaka anayeweza kumshinda Trump 2020
10 years ago
Tanzania Daima11 Oct
Chilongani awa askofu Anglikana
KANISA la Anglikana Dayosisi ya Central Tanganyika (Dodoma), limemchagua Mchungaji Dk. Dickson Chilongani kuwa Askofu wa sita wa Dayosisi hiyo katika mkutano Maalum. Dk .Chilongani amechaguliwa kufuatia kifo cha aliyekuwa...
11 years ago
Tanzania Daima30 Apr
CCM inang’ang’ania madaraka kama ruba
NITANGULIE kueleza kuwa ‘ruba’, pia ‘mwata’ ni mdudu wa maji baridi anayeng’ata na kujishikamanisha na mwili wa kiumbe kama mtu au mnyama na kufyonza damu. Ndivyo kilivyo Chama Cha Mapinduzi...
10 years ago
Habarileo09 Mar
Askofu Anglikana awasihi Watanzania kuhusu uchaguzi
ASKOFU wa Kanisa la Anglikana Tanzania Dayosisi ya Dodoma, Dk Dickson Chilongani amewataka Watanzania wasikubali kuchaguliwa viongozi kwa maslahi binafsi.
9 years ago
Mwananchi07 Dec
Mbajo wa Chadema azidi kumng’ang’ania Dk Mathayo
10 years ago
Habarileo13 Nov
Askofu aonya wanasiasa
KIONGOZI wa kanisa la Cathedral of Joy, Askofu John Komanya amehadharisha wabunge na watu wanaowania nafasi za uongozi katika chaguzi zijazo, kutojihusisha na ushirikina kwa kile alichodai wakifanya hivyo, hawatashinda.
11 years ago
Habarileo27 Dec
Askofu Mkude aonya kupanda gharama za umeme
ASKOFU wa Kanisa Katoliki Jimbo la Morogoro, Telesphor Mkude, amesema ,kupanda kwa gharama za umeme kwa asilimia zaidi ya 40 kuanzia Januari 2014 , si habari nzuri hata kidogo.
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Vtq79wzxjfo/U4NdD4sLHFI/AAAAAAAFlIk/XYDAhs99ZJU/s72-c/unnamed+(30).jpg)
KATIBU MKUU WA SHIRIKA LA USAFIRI WA ANGA DUNIANI (ICAO) ATEMBELEA OFISI ZA HUDUMA ZA HALI YA HEWA KWA USAFIRI WA ANGA NCHINI (TMA)
![](http://4.bp.blogspot.com/-Vtq79wzxjfo/U4NdD4sLHFI/AAAAAAAFlIk/XYDAhs99ZJU/s1600/unnamed+(30).jpg)
10 years ago
BBCSwahili19 Apr
Mkuu wa kanisa Anglikana azuru Misri