Askofu Mkude aonya kupanda gharama za umeme
ASKOFU wa Kanisa Katoliki Jimbo la Morogoro, Telesphor Mkude, amesema ,kupanda kwa gharama za umeme kwa asilimia zaidi ya 40 kuanzia Januari 2014 , si habari nzuri hata kidogo.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo31 Dec
Askofu Mkude aasa viongozi kuwa waadilifu
WATUMISHI wa umma wa ngazi mbalimbali waliopewa dhamana ya kuwatumikia wananchi wameombwa kuzisoma na kusikiliza kwa umakini hotuba mbalimbali za Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere ili ziwaweke kwenye msingi wa kuwa na maadili mema, uadilifu na uwazi.
10 years ago
Mwananchi30 Oct
Wananchi walizwa kupanda kwa gharama Muhimbili
10 years ago
Habarileo13 Nov
Askofu aonya wanasiasa
KIONGOZI wa kanisa la Cathedral of Joy, Askofu John Komanya amehadharisha wabunge na watu wanaowania nafasi za uongozi katika chaguzi zijazo, kutojihusisha na ushirikina kwa kile alichodai wakifanya hivyo, hawatashinda.
9 years ago
Habarileo30 Dec
Askofu Mkuu Anglikana aonya wang’ang’ania madaraka
ASKOFU Mkuu wa Kanisa la Anglikana Tanzania Dk Jacob Chimeledya amewatafadhalisha viongozi wa Afrika kutong’ang’ania madaraka ili kutunza amani ambayo ni chachu kubwa ya maendeleo na ustawi wa taifa.
11 years ago
Mwananchi01 Jan
Umeme kupandisha gharama
11 years ago
Mwananchi10 Jan
Mnyika kuivaa Tanesco gharama za umeme
11 years ago
Mwananchi30 May
Tumieni umeme wa maji, gharama yake ni nafuu
10 years ago
Habarileo08 Mar
‘Msidanganywe, gharama za kuunganisha umeme ni 177,000/-’
MWENYEKITI wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini, Richard Ndassa amewaambia wakazi wa kata ya Ibihwa iliyopo Bahi mkoani Dodoma kuwa gharama za kuunganishiwa huduma ya umeme zimeshuka hadi Sh 177,000.