Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Askofu Mkude aonya kupanda gharama za umeme

ASKOFU wa Kanisa Katoliki Jimbo la Morogoro, Telesphor Mkude, amesema ,kupanda kwa gharama za umeme kwa asilimia zaidi ya 40 kuanzia Januari 2014 , si habari nzuri hata kidogo.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Askofu Mkude aasa viongozi kuwa waadilifu

ASKOFU Telesphor Mkude wa Kanisa Katoliki Jimbo la MorogoroWATUMISHI wa umma wa ngazi mbalimbali waliopewa dhamana ya kuwatumikia wananchi wameombwa kuzisoma na kusikiliza kwa umakini hotuba mbalimbali za Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere ili ziwaweke kwenye msingi wa kuwa na maadili mema, uadilifu na uwazi.

 

10 years ago

Mwananchi

Wananchi walizwa kupanda kwa gharama Muhimbili

Baadhi ya wananchi wamelalamikia mabadiliko ya gharama za utoaji huduma katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MNH) kwa madai kuwa wanaumia kutokana na kuwa na vipato vidogo.

 

10 years ago

Habarileo

Askofu aonya wanasiasa

KIONGOZI wa kanisa la Cathedral of Joy, Askofu John Komanya amehadharisha wabunge na watu wanaowania nafasi za uongozi katika chaguzi zijazo, kutojihusisha na ushirikina kwa kile alichodai wakifanya hivyo, hawatashinda.

 

9 years ago

Habarileo

Askofu Mkuu Anglikana aonya wang’ang’ania madaraka

ASKOFU Mkuu wa Kanisa la Anglikana Tanzania Dk Jacob Chimeledya amewatafadhalisha viongozi wa Afrika kutong’ang’ania madaraka ili kutunza amani ambayo ni chachu kubwa ya maendeleo na ustawi wa taifa.

 

11 years ago

Mwananchi

Umeme kupandisha gharama

Wachumi mbalimbali wamebashiri kuibuka kwa mfumuko wa bei wa vitu mbalimbali, kutokana na kupanda kwa bei ya umeme inayoanza leo.

 

11 years ago

Mwananchi

Mnyika kuivaa Tanesco gharama za umeme

Mbunge wa Ubungo ambaye pia ni Waziri Kivuli wa Nishati na Madini, John Mnyika ametoa wito kwa wananchi walioathirika na kupanda kwa bei ya umeme kutoa mapendekezo na kueleza athari wanazozipata.

 

11 years ago

Mwananchi

Tumieni umeme wa maji, gharama yake ni nafuu

Wizara ya Nishati na Madini imetangaza kuwa umeme wa maji ndio nafuu zaidi kuliko umeme unaotokana na vyanzo vingine.

 

10 years ago

Habarileo

‘Msidanganywe, gharama za kuunganisha umeme ni 177,000/-’

MWENYEKITI wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini, Richard NdassaMWENYEKITI wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini, Richard Ndassa amewaambia wakazi wa kata ya Ibihwa iliyopo Bahi mkoani Dodoma kuwa gharama za kuunganishiwa huduma ya umeme zimeshuka hadi Sh 177,000.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani