ASKOFU KILAINI AMVAA DR SLAA KUHUSU MAASKOFU KUHONGWA NA LOWASSA
![](http://3.bp.blogspot.com/-Ehg9k46RGpY/VehcBtswJtI/AAAAAAAAANU/Hc9ne9aufis/s72-c/kilaini.jpg)
Askofu Msaidizi wa jimbo katoliki la Bukoba Askofu Methodius Kilaini ameonesha kusikitishwa na kauli iliyotolewa hivi karibuni na Aliyekuwa katibu Mkuu wa CHADEMA Dr Wilbroad Slaa kuwa baadhi ya maaskofu wa kanisa hilo wamekuwa wakiohongwa fedha na wanasiasa akiwemo mgombea nafasi ya Urais Edward Lowassa.Akiongea na waandishi wa habari leo mjini Bukoba amesema kuwa anaamini kuwa Dr slaa aliteleza kutoa kauli hiyo.
Vijimambo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi04 Sep
Rose Kamili, Askofu Kilaini wamshukia Dk Slaa
9 years ago
Mwananchi09 Sep
Askofu Gwajima: Tatizo la Dk Slaa si Lowassa
10 years ago
Mwananchi06 Apr
Askofu Gwajima: Siwezi kuwatupa Dk Slaa, Lowassa
10 years ago
Dewji Blog17 Mar
Sauti ya Muadhama, Askofu Mkuu Kardinali Pengo akizungumzia kuhusu tamko la Maaskofu juu ya Katiba pendekezwa
Askofu Mkuu wa Kanisa Katoliki Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Muadhama Kardinali Polycarp Pengo.
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/sc-xA_49dck/default.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/l5U69tqPk5VVevXxNQPEKUVlwGHOEjSkwhhEXbkelRU*emEJuoOvg9L*vOsbw*zaqb7a*ZMP4zTkdg3Y9KsVXah2q70tcuNf/DrSlaa.gif?width=650)
KUHUSU DK. SLAA KUMKATAA LOWASSA UKWELI NI HUU
9 years ago
TheCitizen04 Sep
10 years ago
Mwananchi28 Nov
Askofu Kilaini, Nzigirwa wazungumzia tuhuma
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-qEIGUk-O2Yg/Uycna6zgERI/AAAAAAACcsg/OZ7B8lTYtus/s72-c/download.jpg)
Askofu Kilaini alibariki Tamasha la Pasaka
![](http://2.bp.blogspot.com/-qEIGUk-O2Yg/Uycna6zgERI/AAAAAAACcsg/OZ7B8lTYtus/s1600/download.jpg)
Mhashamu Kilaini ambaye ni Askofu Msaidizi wa Jimbo Katoliki la Bukoba, ameyasema hayo alipozungumza na Gazeti hili kuhusu Tamasha la Pasaka linalotarajiwa kufanyika katika jiji la Dar es Salaam, Aprili 20...