Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Askofu: Nataka serikali inayokubali makosa

Joto la uchaguzi limezidi kupanda, huku wanasiasa wakongwe na wastaafu katika utumishi wakiendelea kumimina baraka zao kwa wagombea mbalimbali.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

WOLPER: NATAKA SERIKALI MBILI

MWIGIZAJI staa Bongo, Jacqueline Wolper ameifungukia rasimu ya katiba mpya ambayo ipo bungeni kujadiliwa kwa sasa akisema yeye matakwa yake ni kuwepo kwa serikali mbili na si tatu wala ya mkataba.
Akipiga stori na safu hii juzi jijini Dar, Wolper alisema anaamini serikali ya tatu itakuwa mzigo kwa wananchi ambao ndiyo walipa kodi. Muigizaji staa Bongo, Jacqueline Wolper “Serikali mbili ndiyo mpango mzima, ya tatu ni...

 

11 years ago

Habarileo

Shibuda -Nataka serikali mbili

MJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba, John Shibuda amesema msimamo wake ni kuwapo kwa Serikali mbili, huku akisisitiza kuwa ilipaswa wajumbe wa bunge hilo wapewe elimu ya ufahamu ya kazi yao.

 

11 years ago

BBCSwahili

Serikali yakiri makosa ya vurumai Nigeria

Serikali ya Nigeria imekiri makosa yaliyosababisha mkanyagano wa watu pale walipokuwa wakihudhuria zoezi la serikali la kuwaajiri watu kazi nchini humo.

 

10 years ago

Mwananchi

CCM itatua mzigo wa makosa ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa?

Machi mwaka huu Chama cha Mapinduzi (CCM) kinatarajia kuanza rasmi mchakato wake wa kura ya maoni ya kuwapata wagombea wa nafasi za ubunge na udiwani watakaopeperusha bendera ya chama hicho kwenye Uchaguzi Mkuu.

 

10 years ago

Michuzi

Serikali yajidhatiti Kudhibiti Makosa ya Utakatishaji fedha haramu Nchini- AG Masaju

Mawakili wa Serikali kutoka Ofisi za Mwanasheria Mkuu za Singida,Pwani na Dar es Salaam wakifuatilia mafunzo kwa makini.Washiriki wa Mafunzo wakifuatilia hotuba ya ufunguzi ya ufunguzi wa kutoka kwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali (hayupo pichani) kushoto ni Bw. Denis Mongula kutoka Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali.
Bi Rhoda Martin ,Hakimu Mkazi Mahakama ya Wilaya Dodoma akitoa neno la shukrani mara baada ya mafunzo hayo kufunguliwa rasmi.

BOFYA HAPA KUONA PICHA ZAIDI

 

9 years ago

Dewji Blog

Serikali yaendelea kutoa elimu ya Sheria ya makosa ya mtandao kwa Maafisa Habari

9

Mkurugenzi msaidizi Idara ya Habari (MAELEZO) Bi Zamaradi Kawawa akifurahia jambo na Mkuu wa Masuala ya Siasa na Habari wa Umoja wa nchi za Ulaya (EU) nchini Tanzania  Bi Luana Reale wakati wa warsha ya Maafisa Mawasiliano Serikalini kuhusu Sheria ya makosa ya mtandao ya mwaka 2015 (cybercrime Act 2015. iliyofanyika jana Jijini Dar es salaam.(Picha zote na Frank Mvungi-Maelezo).

 

11 years ago

Tanzania Daima

Askofu: Wananchi wataamua muundo wa serikali

ASKOFU Mkuu wa Kanisa la Tanzania Assemblies of God (TAG), Dk. Barnabas Mtokambali, amewataka wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba kutambua kuwa maamuzi ya mwisho ya kuchagua muundo wa serikali...

 

10 years ago

Habarileo

Askofu aipa mbinu Serikali kushusha ada

Mhashamu Askofu Tarcius NgalalekumtwaSERIKALI imeombwa kurudisha mfumo wa zamani wa kuzipatia shule binafsi ruzuku, lengo ni kuzifanya shule hizo kupunguza ada na hivyo kusaidia kuondoa tabaka la kielimu miongoni mwa Watanzania.

 

10 years ago

Habarileo

Askofu ahimiza serikali kusimamia haki, usawa

ASKOFU wa Kanisa la Africa Inland (AIC) wa Dayosisi ya Pwani, Charles Salalah amesema serikali isiyo na dini ndiyo itakayosimamia haki na usawa katika taifa, kinyume cha hapo inatafuta matatizo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani