Askofu: Nataka serikali inayokubali makosa
Joto la uchaguzi limezidi kupanda, huku wanasiasa wakongwe na wastaafu katika utumishi wakiendelea kumimina baraka zao kwa wagombea mbalimbali.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LoK3NXOIwpEAnr9hjcRfxQ5sLBhDmkzcymiYKpbD4xMshCIBuhGo96UuFJc-veC-CGIEDVW7sO-IiafOJ0LJlpSzvsDZJz-x/wo.jpg?width=650)
WOLPER: NATAKA SERIKALI MBILI
11 years ago
Habarileo26 Feb
Shibuda -Nataka serikali mbili
MJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba, John Shibuda amesema msimamo wake ni kuwapo kwa Serikali mbili, huku akisisitiza kuwa ilipaswa wajumbe wa bunge hilo wapewe elimu ya ufahamu ya kazi yao.
11 years ago
BBCSwahili17 Mar
Serikali yakiri makosa ya vurumai Nigeria
10 years ago
Mwananchi18 Feb
CCM itatua mzigo wa makosa ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa?
10 years ago
MichuziSerikali yajidhatiti Kudhibiti Makosa ya Utakatishaji fedha haramu Nchini- AG Masaju
BOFYA HAPA KUONA PICHA ZAIDI
9 years ago
Dewji Blog15 Sep
Serikali yaendelea kutoa elimu ya Sheria ya makosa ya mtandao kwa Maafisa Habari
Mkurugenzi msaidizi Idara ya Habari (MAELEZO) Bi Zamaradi Kawawa akifurahia jambo na Mkuu wa Masuala ya Siasa na Habari wa Umoja wa nchi za Ulaya (EU) nchini Tanzania Bi Luana Reale wakati wa warsha ya Maafisa Mawasiliano Serikalini kuhusu Sheria ya makosa ya mtandao ya mwaka 2015 (cybercrime Act 2015. iliyofanyika jana Jijini Dar es salaam.(Picha zote na Frank Mvungi-Maelezo).
11 years ago
Tanzania Daima26 Jun
Askofu: Wananchi wataamua muundo wa serikali
ASKOFU Mkuu wa Kanisa la Tanzania Assemblies of God (TAG), Dk. Barnabas Mtokambali, amewataka wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba kutambua kuwa maamuzi ya mwisho ya kuchagua muundo wa serikali...
10 years ago
Habarileo03 Nov
Askofu aipa mbinu Serikali kushusha ada
SERIKALI imeombwa kurudisha mfumo wa zamani wa kuzipatia shule binafsi ruzuku, lengo ni kuzifanya shule hizo kupunguza ada na hivyo kusaidia kuondoa tabaka la kielimu miongoni mwa Watanzania.
10 years ago
Habarileo05 Apr
Askofu ahimiza serikali kusimamia haki, usawa
ASKOFU wa Kanisa la Africa Inland (AIC) wa Dayosisi ya Pwani, Charles Salalah amesema serikali isiyo na dini ndiyo itakayosimamia haki na usawa katika taifa, kinyume cha hapo inatafuta matatizo.